X wangu anataka turudiane

X wangu anataka turudiane

Demu anakuomba 120k tu kwa mwezi, mmeachana.
Kama huwezi kummudu, usirudiane naye.
 
Muombe 0714 atakimbia
Je kama ni expert kwenye hiyo michezo, napo atakimbia? By the way hii mbinu ya kuomba sijui 0714 wala sio ujanja kwa mwanaume ni usnge sana... Mwanaume hatakiwi kubehave tabia kama hii ya kishetani..
 
Seems like wewe unampenda sana huyo binti na katika list yake amekuja kubaini wewe ndio ulikuwa unampenda kwa dhati na ulikuwa Genuine ATM machine. cha msingi achana na hiyo Mbuzi mwishowe saa 2:00 usije tajwa ITV umebembea kwa shingo
 
Seems like wewe unampenda sana huyo binti na katika list yake amekuja kubaini wewe ndio ulikuwa unampenda kwa dhati na ulikuwa Genuine ATM machine. cha msingi achana na hiyo Mbuzi mwishowe saa 2:00 usije tajwa ITV umebembea kwa shingo
Siwez kufanya upuuz huo
 
Je kama ni expert kwenye hiyo michezo, napo atakimbia? By the way hii mbinu ya kuomba sijui 0714 wala sio ujanja kwa mwanaume ni usnge sana... Mwanaume hatakiwi kubehave tabia kama hii ya kishetani..
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom