Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,545
- 6,499
- Thread starter
- #201
dares salaamAhaaa hebu Nipe location
dares salaamAhaaa hebu Nipe location
mkuu wanaume wengi sasa hv awatoi hela ni kweli but sio wote wanohonga et wanasura mbaya saazingine upendo tu kwa mtu mfano mimi hiyo sura mbaya sinaMiss Natafuta Ms R kwa comment zenu inaonekana mtaani wanaume wengi wamekua wabahili kutoa hela 😁
Wanaume wanaohonga wapo, ila wengi Wana sura mbaya hivyo hamuwataki..
nakuja PM nikuone kama una hizo sifa za kunipeleshaivi wanaume wa kuwapelekesha kama wewe mnapatikana wapiiiii,,kama bado huna mwingine karibu pm☺️
sina,mi ni single maza mkuu usijenakuja PM nikuone kama una hizo sifa za kunipelesha
Usingle maza kwangu sio tatzo mkuusina,mi ni single maza mkuu usije
Nenda kajiweke kwenye mshahara WA mtusina,mi ni single maza mkuu usije
😁😁😁😁 niliishaachana nae bwana acheni kukuza mamboNenda kajiweke kwenye mshahara WA mtu
Vp hana vizingaMimi ndio maana niliamua kuishi na Binti wa zamani 😌
Exactly 💯, Hana vipengele, hana makuu , hana ukuda, kiufupi hana kwere 👌Vp hana vizinga
😆😆😆 Unasema kweliUsingle maza kwangu sio tatzo mkuu
Eeeeh itasaidia kweli!?Nenda kajiweke kwenye mshahara WA mtu
Ex na Andazi…..Kwa kweli tupo tofauti ni kama kushoto na kulia Ex harudiwi hata iwaje
Aliyekuwa anampa kiburi cha hela naye kamchoka kama ww.
Nachagua Andazi 😀Ex na Andazi…..
Bila shaka mkuuAliyekuwa anampa kiburi cha hela naye kamchoka kama ww.
Uhakika yani sema sura iwepo tu😆😆😆 Unasema kweli
Penzi au biashara...!!?Wanaume tuna shida sana, hapa unapambania penzi.
Mapenzi hayaingiliwi, pambana mwenyewe maana mliko pendana sisi hatukuwepo wala hukutushirikisha.Wakuu niliwahi kutoa kisa changu humu nilikutana na kitoto cha 2003 kizuri sana . Shida ikaja kwamba kanapenda hela sana pia hana adabu.
Yani kifupi ni chuma ulete na stori yake niliwahi ileta humu ephen_ Half american Balqior na wengineo nashukuru mlinishauri sana kuhusu kumuacha huyo mdada nikashindwa mwisho wa siku aliniacha yeye baada ya kuniomba 100k nikamwambia nitakupa next week bac akaniambia nifute namba yake na matusi kibao yakamtoka.
Hiyo ilikuwa mwez wa tatu mwishoni bac tukaachana mwezi wa 6 nashangaa ananitafuta na kunibembeleza sana kwamba anaomba turudiane nikakataa ila siku siku zinavyozidi kwenda bado ananisumbua so nimeshindwa kujua kilichomrudisha kwangu ni nini hapa nimebaki na maswali vp wenzangu huwa mnakaribiana vp na hii hali?? Na lengo lake hasa ni nini maana kipindi anataka kuniacha alikuwa na kiburi sana na dharau pia muda wote alikuwa online nashangaa saiv kawa mpole sana mpaka namshangaa.
Naweka hapa txt zake za nyuma muone tabia alizokuwa nazo huyu binti.