X wangu anataka turudiane

X wangu anataka turudiane

Hupendwi!
Anaomba kama vile aliiweka.
Kuna wadada kwasababu ya tabia zao za kuomba omba hela wanaume, mara nyingi wapo single, hawana mahusiano yanayoeleweka, wanasingizia jini mahaba, kulogwa, wanaume waongo, kumbe character zao mbovu..mara nyingi financial request wanazoomba hao wadada, hata mwanaume akisikiliza anaona hazina umuhimu na anahisi anapigwa.

Mwanaume anaejielewa akipiga hesabu anaona anapata hasara tu kwenye hayo mahusiano, effort anayoweka ni kubwa kuliko anachopata, hivyo anaishia kukimbia, mdada anajikuta anakimbiwa na kila mwanaume kisa kupiga vizinga.

Hio nahisi ndo sababu ex wa mtoa mada karudi kwa mtoa mada, theory yangu ni kwamba wanaume waliojaribu ku-date na ex wa mtoa mada waliona huyo mdada ni hasara kwenye mahusiano, sababu ya vizinga wakaamua kukimbia, bidada akaamua arudi kwa melancholic.. ephen_ Melancholic
 
Kuna wadada kwasababu ya tabia zao za kuomba omba hela wanaume, mara nyingi wapo single, hawana mahusiano yanayoeleweka, wanasingizia jini mahaba, kulogwa, wanaume waongo, kumbe character zao mbovu..mara nyingi financial request wanazoomba hao wadada, hata mwanaume akisikiliza anaona hazina umuhimu na anahisi anapigwa.

Mwanaume anaejielewa akipiga hesabu anaona anapata hasara tu kwenye hayo mahusiano, effort anayoweka ni kubwa kuliko anachopata, hivyo anaishia kukimbia, mdada anajikuta anakimbiwa na kila mwanaume kisa kupiga vizinga.

Hio nahisi ndo sababu ex wa mtoa mada karudi kwa mtoa mada, theory yangu ni kwamba wanaume waliojaribu ku-date na ex wa mtoa mada waliona huyo mdada ni hasara kwenye mahusiano, sababu ya vizinga wakaamua kukimbia, bidada akaamua arudi kwa melancholic.. ephen_ Melancholic
Na kwanini arudi kwangu
 
Tatizo wewe bado unampenda ndo maana umeshindwa kuachana naye jumla.
Sasa ametumika huko kwingine amechoka ameamua kurudisha majeshi kwa chaka lake zamani ambaye ni wewe
 
Wakuu niliwahi kutoa kisa changu humu nilikutana na kitoto cha 2003 kizuri sana . Shida ikaja kwamba kanapenda hela sana pia hana adabu.

Yani kifupi ni chuma ulete na stori yake niliwahi ileta humu ephen_ Half american Balqior na wengineo nashukuru mlinishauri sana kuhusu kumuacha huyo mdada nikashindwa mwisho wa siku aliniacha yeye baada ya kuniomba 100k nikamwambia nitakupa next week bac akaniambia nifute namba yake na matusi kibao yakamtoka.

Hiyo ilikuwa mwez wa tatu mwishoni bac tukaachana mwezi wa 6 nashangaa ananitafuta na kunibembeleza sana kwamba anaomba turudiane nikakataa ila siku siku zinavyozidi kwenda bado ananisumbua so nimeshindwa kujua kilichomrudisha kwangu ni nini hapa nimebaki na maswali vp wenzangu huwa mnakaribiana vp na hii hali?? Na lengo lake hasa ni nini maana kipindi anataka kuniacha alikuwa na kiburi sana na dharau pia muda wote alikuwa online nashangaa saiv kawa mpole sana mpaka namshangaa.

Naweka hapa txt zake za nyuma muone tabia alizokuwa nazo huyu binti.
A girl's worst nightmare is seeing a man she left for another become better, richer and fitter, then date a more beautiful and feminine woman than her.
 
dosho12 ety ex anarudiwa au harudiwi kaka

Subiri niongez nyama za kujipa point😂😂😂ety hata akiwa smart yaani yule wife material mliaachana kwa vitu vidogo sio kama ex wa huyu mleta Uzi SI una mrudia ety kaka 😂😂😂
Kwa nilichokiona jana kwenye uzi wa selfika, samahani sana ndugu yangu mimi nipo upande wa Chica Gee usinijaji hata wewe ungeona nilichokiona najua ungenikana mchana kweupe.😅😅
 
Wakuu niliwahi kutoa kisa changu humu nilikutana na kitoto cha 2003 kizuri sana . Shida ikaja kwamba kanapenda hela sana pia hana adabu.

Yani kifupi ni chuma ulete na stori yake niliwahi ileta humu ephen_ Half american Balqior na wengineo nashukuru mlinishauri sana kuhusu kumuacha huyo mdada nikashindwa mwisho wa siku aliniacha yeye baada ya kuniomba 100k nikamwambia nitakupa next week bac akaniambia nifute namba yake na matusi kibao yakamtoka.

Hiyo ilikuwa mwez wa tatu mwishoni bac tukaachana mwezi wa 6 nashangaa ananitafuta na kunibembeleza sana kwamba anaomba turudiane nikakataa ila siku siku zinavyozidi kwenda bado ananisumbua so nimeshindwa kujua kilichomrudisha kwangu ni nini hapa nimebaki na maswali vp wenzangu huwa mnakaribiana vp na hii hali?? Na lengo lake hasa ni nini maana kipindi anataka kuniacha alikuwa na kiburi sana na dharau pia muda wote alikuwa online nashangaa saiv kawa mpole sana mpaka namshangaa.

Naweka hapa txt zake za nyuma muone tabia alizokuwa nazo huyu binti.
Huko alipoenda ameshindwa kuvumiliwa kaona arudi kwako maana wewe unamvumilia na kumpa pesa kirahisi. Kwa kifupi kaona wewe ndio bwege wake kwani chochote anachotaka kwako kwa lazima anakuamrisha umpatie na wewe bila hiyana unafanya hivyo
 
Me mkuu demu kama wa Melancholic unaweza sema hafai kurudiwa

Ila Kuna maex wengine unaona kabisa huyu ni mtu aliye smart na hata kuachana kwenu inaweza ikawa ni kununiana tu kwanini nisimrudie
Sasa mkuu mtu yupo smart utaachanaje kisa kununa?
Au neno smart unamaanisha kwenye nguo na mwili sio akili?
Mtu yuko smart mtaachanaje? Au yeye anakuacha wewe ndo unakuwa hauko smart hauendani nae sio?
 
Back
Top Bottom