Kuna wadada kwasababu ya tabia zao za kuomba omba hela wanaume, mara nyingi wapo single, hawana mahusiano yanayoeleweka, wanasingizia jini mahaba, kulogwa, wanaume waongo, kumbe character zao mbovu..mara nyingi financial request wanazoomba hao wadada, hata mwanaume akisikiliza anaona hazina umuhimu na anahisi anapigwa.Hupendwi!
Anaomba kama vile aliiweka.
Mwanaume anaejielewa akipiga hesabu anaona anapata hasara tu kwenye hayo mahusiano, effort anayoweka ni kubwa kuliko anachopata, hivyo anaishia kukimbia, mdada anajikuta anakimbiwa na kila mwanaume kisa kupiga vizinga.
Hio nahisi ndo sababu ex wa mtoa mada karudi kwa mtoa mada, theory yangu ni kwamba wanaume waliojaribu ku-date na ex wa mtoa mada waliona huyo mdada ni hasara kwenye mahusiano, sababu ya vizinga wakaamua kukimbia, bidada akaamua arudi kwa melancholic.. ephen_ Melancholic