Kumbe USA hawakutaka kabisa Argentina apite? naona wanahuzuni sana du
![]()
Alionekana anafikichafikicha macho yamekuwa mekundu, ila hakuna aliyekuwa na uhakika kama alikuwa analia au la.
Toka lin US wakapenda soka hivi??
Toka lin US wakapenda soka hivi??
Kumbe USA hawakutaka kabisa Argentina apite? naona wanahuzuni sana du
![]()
kumbuka uswazi raisi wao wa FIFA yupo hapa kuwashangilia hawezi kumwangusha
nakutafuta kwa nguvu zote ujue
Basi sawaa
Wanakuja taratibu na hakuna washangiliaji wazuri duniani kama Wamarekani, kama kungekuwa na kombe la ushangiliaji basi USA wangechukua kila waliposhiriki kwenye WC. Muulize Bwa'Nchuchu
mara ya kwanza , mfano 1794 mechi zilikuwa zinachezwa mpaka siku tatu mfululizo mpaka mshindi apatikane. Mwaka 1877 ndipo sheffield football association walikubaliana kutunga sheria mpya ambazo mpira ungechezwa dk 90 na kama mshindi hajapatikana basi dk za nyongeza 30 zitaongezwa na kama mshindi hata patikana basi penati. Sababu kubwa ilikuwa ni kupunguza majeruhi na muda mwingine wachezaji kufariki kabisa.
Kilo 20 mama twende tukazichote!!! Wapi Bulldog ???????
why lunch iwe mchana badala ya saa sita usiku?
is just a formality or conventional ambayo watu wameadapt lunch iwe mchana. utaratibu ambapo at optimum njaa
walau inawakumba kwengi zaidi.
Dk-90 ni optimum time walau wachezaji wanakuwa na guvu kuendeleza burudan, na zaidi ya hapo wanakuwa
wamechoka sana.
maoni yangu tafadhali.
Nipo park hapa na-host tailgate party.....
Karibu hot dogs mazee....