palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
hivi kwanin zinawekwa dk 90? Why not more or less??
mara ya kwanza , mfano 1794 mechi zilikuwa zinachezwa mpaka siku tatu mfululizo mpaka mshindi apatikane. Mwaka 1877 ndipo sheffield football association walikubaliana kutunga sheria mpya ambazo mpira ungechezwa dk 90 na kama mshindi hajapatikana basi dk za nyongeza 30 zitaongezwa na kama mshindi hata patikana basi penati. Sababu kubwa ilikuwa ni kupunguza majeruhi na muda mwingine wachezaji kufariki kabisa.