World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

jamani ngoja nilale sasa

mnaoendelea kuangalia nitasoma updates zenu asubuhi nikijaliwa uzima,... Malafyale tuko pamoja #teamusa

tchao
 
Last edited by a moderator:
Team zote zilizoingia robo fainali mpaka sasa ni zile zilizoshika no 1 kwenye magroup yao,why not Belgium,go red devils uungane na no 1 wenzako
 
Yaani France, Netherlands, German, Argentina zimepita kwa wasi wasi sana na lazima zitapunguzwa
 
Nje ya Mada

Brazilian star Kaká confirms move to MLS newcomers Orlando City

BreylJEIIAAPYU7.png
 
hureeeee haya ndugu nieleweshe sasa

Hiyo kantangazee ni kamsemo tu kametokea sababu watu wengi wamezoea kutangaziana mambo,kuchafuana n.k, si unajua tena kila siku misemo inaibuka kama vile Utajiju,kudada
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom