Hivi kwanin zinawekwa dk 90? why not more or less??
why lunch iwe mchana badala ya saa sita usiku?
is just a formality or conventional ambayo watu wameadapt lunch iwe mchana. utaratibu ambapo at optimum njaa
walau inawakumba kwengi zaidi.
Dk-90 ni optimum time walau wachezaji wanakuwa na guvu kuendeleza burudan, na zaidi ya hapo wanakuwa
wamechoka sana.
maoni yangu tafadhali.