World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Nasubiri Belgium watanipa raha,hata hivyo Nesi katoka kapa leo.
 
mamamama yangu#timuswiz


Nilijuwa nawewe mtoto ndiyo maana nikakaa kimya

Ngoma yenu watoto haikeshi hata baada ya kufanya rafu nyingi za hovyo na refa akiwaangalia first halfu.

Polen vijana mdumange ndiyo saizi yenu.
 
Switzerland wanapata maumivu ya kufungwa dk za mwisho mwisho kama waliyopata Mexico, Nigeria, Algeria, ..
 
mie ni fan wa timu zote huwa kila siku nachagua timu gani ya kushangilia siyo kwa sababu nataka isonge mbele.

sawa mkuu, basi kama vipi usiku mwema tukutane tena kesho ila ntakuja kuwa nachungulia mechi ya ubelgiji humu baadaye
 
Hii WC noma mpaka sasa sijaona timu ambayo ilikuwa ya pili kwenye makundi ikisonga mbele. Walioongoza makundi kweli walijipanga.
Tusubiri mechi ya pili tuone.
 
everlenk , ushindi huoooooooo japo mwembamba

Messi kaonesha anaweza fanya maajabu saa yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom