World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

Ebana eeh naona huyu Fernandez anawapeleka puta Wa-argentina pale katikati.
 
Haya mashindano yamenishangaza sana kuhusu viwango vya baadhi ya wachezaji

Angalia mtu kama Higuan anashindwa kabisa kuweka heshima kwa Djourou, angalia mtu kama Lavezzi yaani mnyela juu ya mnyela. Angalia Di Maria anavyokimbiza Madrid na huyu Di Maria anayekimbia kimbia tuu uwanjani leo

Ongeza na akina Rooney, Song, Balotelli,Aguero, etc. Neymar & Pirlo tu ndiyo wamecheza ktk viwango vyao.
 
BrejA54IMAAeUwA.jpg
 
Leo ndio tutajuwa hawa swiss watakesha au watasinzia!!
 
Hawakutegemea kama wangewatoa kamasi nyembamba Argentina kiasi hiki, na hapa walipofika wanaona bidii zaidi basi wanaweza kuibuka na ushindi.

kumbuka uswazi raisi wao wa FIFA yupo hapa kuwashangilia hawezi kumwangusha
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Case Solved. Leo mmeamini kuwa magalasa ya Arsenal ni babkubwa kuliko magalasa ya timu nyingine au sio? Naona mnavyosifia kazi inayofanywa na Djourou. Viva Arsenal.
Cc Nzi, Prondo, Belo, DonDonald,Cynic
 
Back
Top Bottom