World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Haya mwambie SAF amrudishe MANU akawasaidie kuchukua tena ubingwa msimu ujao. Jamaa mkali nilishangaa sana SAF alipoamua kutompa contract extension pamoja na yeye kuonyesha nia ya kubaki MANU.

SAF akimwona sasahivi lazima ajutie kimoyoni..ha ha,too late nasemaga!! Tevez is still good!
 
Sasa mechi kali ni ya Ujrerumani na Argentina Jumamosi ijayo. Hapatoshi siku hiyo
mkuu hii mechi kama refa hatoiharibu ,itakuwa match of the tournament! acha kalenda lisonge mbele haraka hii siku ifike.
 
Ndege ya Uchumi wahi home ukapate zawadi yako mana ukichelewa utaikosa!..lol
Umenikumbusha BJ, Maana Leo ni Full Shangwe Home ila sasa German Vs Argies duh this NyU Vs Mama NyU, hapo Zawadi hamna kawa sababu Lazima Mmoja Anune
 
FYI Mara ya Mwisho Argentna alimfunga Ujerumani moja bila ( 1-0)kwenye Mechi ya Kirafiki, Goli lilifungwa na Gonzalo higuain Pale Alianz Arena ni mwaka huu huu so Mashabiki wa Argentina msiwe na wasiwasi Ujerumani anafungika tu
 
heheeh mimi ni argentina kwa gemu linalokuja, nilikuwa mjerumani leo kwasababu I HATE ENGLAND.

Hapo tunaongea lugha moja!!..see yu hiyo jmosi hapa jamvini!!..kesho nipo Brazia na Holland kwenye mechi zote mbili!!
 
Hapo tunaongea lugha moja!!..see yu hiyo jmosi hapa jamvini!!..kesho nipo Brazia na Holland kwenye mechi zote mbili!!
kesho nipo CHILE na HOLLAND, hapo orange tuko pamoja ! tunatoast , kwa ushindi wa orange! cheers
 
Umenikumbusha BJ, Maana Leo ni Full Shangwe Home ila sasa German Vs Argies duh this NyU Vs Mama NyU, hapo Zawadi hamna kawa sababu Lazima Mmoja Anune

Usijekuta mama NuY anakoroma,ha ha..jmosi lazima tu mmoja wenu anune mana mshindi muhimu kupatikana,hivyo hamna jinsi mkuu!!!
 
Well done Ghana; :A S thumbs_up: it was well deserved! they played very well.... It's annoying how the US fans feel that they should've won, even though their team weren't playing that good to begin with.

they should have known better, considering what Ghana did to them in 2006....
 
Headlines from English tabloids:

ept_sports_sow_experts-790280463-1277665868.jpg



ept_sports_sow_experts-200030883-1277665892.jpg



ept_sports_sow_experts-928124606-1277665914.jpg



ept_sports_sow_experts-484462258-1277665940.jpg
 
Nadhani kwa mwendo unavyoenda kule south africa - siku ya huyu mchizi kutembea uchi inakaribia.​

Quote:
Diego Maradona said he will be walking Naked In Streets If Argentina Wins the FIFA 2010 World Cup next month in South Africa
Diego Maradona did say during a BBC Interview how he scored using his Hand back in 1986 World Cup

maradona-150x150.jpg
flickr
 
:biggrin1:hahahaha Sidhani kama linaweza kuweka hizo bidhaa njema mitaani
 
Mbona safari ya Argentina kurudi kwao imefika!

Hawawezi kupita mbele ya 'Chuma cha Pua' cha Mjerumani!!
 
:biggrin1:hahahaha Sidhani kama linaweza kuweka hizo bidhaa njema mitaani

swaafi sana mama, hapo kwenye red. pokea na ka thenksi.
lakini ukumbuke hili dude ni teja la kutupwa - ni li kichwa maji, linaweza kuzianika hizo bidhaa njema kama lilivyoahidi.
 
Maradona can do that, he is addicted to drugs, so he may one day walk around the
thoroughfare, u can just see what he is doing during the match when Argentina is on the pitch,
 
Back
Top Bottom