World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Tangu mwaka 1990 Argentina haijawahi kufika Nusu Fainali
 
heheh mkuu ningekuwa na dola 100 ya kupinga ,ningekuwa sauzi namuangalia messi live mida hii ,lakini msimamo wangu ni pale pale kesho BRAZIL anasambaratishwa. Hakikisha unakuwepo JF mida ya gemu.

U must be dreaming K ,
 
no ni Brasil, Argentina then Germany

Sasa kesho wewe unashabikia Chile means unataka Brazil watoke eeh!..By any chance naona game ya Germany nzuri zaidi ya Brazil!!and Argentina,the best for me!!ha ha
 
BJ, hii game imeshakwisha....Argentina watakuwa wanapumzika tu kwa dakika zote zilizobaki ili kukusanya nguvu katika mchapo wao na Wajerumani. Natumai itakuwa mechi kali sana bila maamuzi yenye makosa. Hehe wamepata kamoja ingekuwa 2-1 lol!

naona itakuwa game zuri sana kati ya Argentina vs Germany!..I can't wait on sat!!.sijui utakuwa unashangilia wapi siku hyo!
 
Sasa kesho wewe unashabikia Chile means unataka Brazil watoke eeh!..By any chance naona game ya Germany nzuri zaidi ya Brazil!!and Argentina,the best for me!!ha ha

uzuri wa Brasil wana mbinu nyingi za kucheza...kesho utaona style mpya kabisa...hutaamini
 
Brazil the usual suspect do not count them out, they are always there whether you like it or not.
 
Sasa mechi kali ni ya Ujrerumani na Argentina Jumamosi ijayo. Hapatoshi siku hiyo
 
Brazil the usual suspect do not count them out, they are always there whether you like it or not.

Umemcheki x'player wa man u alivyoonyesha mambo yake kwenye hii mechi..Angekuwa wa Arsenal,full kufungwa..ha ha ha kidding!
 
Back
Top Bottom