World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

lol sasa angalau kifafa cha uzalendo kimeniisha
uko mbeleni haijalishi tukisonga poa,lile lengo la afrika kwangu limefika
nina raha ya ajabu
 
bila tashwishi nawafagilia argentina iyo mechi,ila nae diego asianze kufafa na waingereza maana ntamchukia sasa hivi!!aache mapepe....
mechi ya ghana sikucheki maana kimuhemuhe chake mh!!kumbe tulipita bwana?!
 
argentina wanatisha sijui itakuweje gemu vs watoto wa hitler??:mmph:
ila diego nae atulie asianze mapepe ya waingereza tusije muombea dua mbaya nae!

na hawa brazil wakiendelea na kulemba samba zao mtu mzima ataaibishwa...wee ngoja waone:smiling:
 
Mbona yeye mwenyewe ameshasema Brazil ndiyo bingwa Woza 2010 !?
 
_48197659_dutchcaptain_afp.jpg



_48197819_slovakflag_afp.jpg




Haya wapenzi wa soka,mtanange mwingine huu umewadia...je mkongwe mwingine kuumbuka leo?Holland bado wana perfect record kutoka qualifiers hadi hapa walipofikia je rekodi hii itavunjwa,karibuni jamvini...
 
mimi leo niko na UNDERDOGS tu.....na tumeshawakosakosa hawa ORANGE............
 
Robben kafunga 1-0....kama kawaida yake robben akiwa right wing ana-cut in to his deadly left foot.............
 
jamani huyu Diego ni Mwehu! mtu atumie madawa afu awe amepona 100%! i'm not sure hata Waargentina wenyewe wamekosa akili, ona anavyoshangilia kama kichaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Haya Wadachi naona wameshafungua mlango wa magoli, wanastahili kushinda mechi hii.
 
mimi leo niko na UNDERDOGS tu.....na tumeshawakosakosa hawa ORANGE............
mkuu mimi leo nipo orange, kuna kishoka wa SLOVAKIA mmoja alinilostisha miezi kadhaa iliopita, alinifanya nimelichukia sana hili taifa, nitarudi underdog mechi ya BRAZIL.
 
Nipo na Orange team..halafu nimebet,nahisi kulizwa leo!!

BJ hutalizwa keo maana Netherlands ni wazuri mno ukilinganisha na hao Slovakia, lakini kwenye dakika 90 chochote kinaweza kutokea kama vile goli lisilostahili au penalty lol!
 
BJ hutalizwa keo maana Netherlands ni wazuri mno ukilinganisha na hao Slovakia, lakini kwenye dakika 90 chochote kinaweza kutokea kama vile goli lisilostahili au penalty lol!

Kweli BAK,Netherlands wana nafasi nzuri sema mambo ya mpira huwezi jua..kama unavyosema 90mnts tutamjua mshindi ila nahisi NL wanapita..mechi ya badae itakuwa powa sana!!
 
Back
Top Bottom