BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #4,501
BAK mie nitachukulia 1-1..btw sasa ni 3 NIL..Nice goal by Tevez..Sasa ni officially Argentina Vs Germany in 1/4fins..
BJ, hii game imeshakwisha....Argentina watakuwa wanapumzika tu kwa dakika zote zilizobaki ili kukusanya nguvu katika mchapo wao na Wajerumani. Natumai itakuwa mechi kali sana bila maamuzi yenye makosa. Hehe wamepata kamoja ingekuwa 2-1 lol!