Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
wamejitaidi sana wa mexico na watatesa huko mbeleni kwani watoto wao watakuwa na uzoefu zaidi.nawatakia kila la kheri na timu yao.
Blackberry mkuu (maybe)
hakikisha unakuwepo JF kesho, hakuna samba wala lambada kesho ni kipigo tu kwa BRAZIL
OK lets wait what Germans gonna do, i smell disaster.
Duu yaani unanitukana hivi hivi tu~kwi kwi kwi!.
que supimos conseguir ! Coronados de gloria vivamos......viva Argentina.......:horn::horn::horn::horn:
Hapana mimi nataka nikulie hela yako....amua mwenyewe basi tupinge kwa shilingi ngapi.....
Itakuwa ni Revenge ya 2006 Mkuu kwenye Robo Fainaliitakuwa the best game i think.
hakikisha unakuwepo JF kesho, hakuna samba wala lambada kesho ni kipigo tu kwa BRAZIL
na CHILE ,na wewe nikuulize ,hivi mechi ya mwisho ya kirafiki ya BRAZIL walicheza na nani?hakuna mahali naenda mi ni wahapahapa....ngoja nikuulize kitu....hivi anacheza na nani tena?
kubet ni big NO . but kesho jitayarishe mkuu, BRAZIL no more
Duu yaani unanitukana hivi hivi tu~kwi kwi kwi!.
na CHILE ,na wewe nikuulize ,hivi mechi ya mwisho ya kirafiki ya BRAZIL walicheza na nani?
tukutane kesho hapa JF kulipigilia misumari jeneza la BRAZILnajua unaogopa kwa vile unajua China wako hawatafurukuta.......ungekuwa na uhakika na ushindi wala usingekataa
tukutane kesho hapa JF kulipigilia misumari jeneza la BRAZIL
yaliyopita si ndwele tugange yajayo