World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

Sasa ndiyo historia itaandikwa, Kichaa aongoza Agentina kutwaa ubingwa wa Dunia.
 
ushindi lazima kwa The DUTCH.! records yao inavutia kuliko ya mpinzani wao.
 
mkuu mimi leo nipo orange, kuna kishoka wa SLOVAKIA mmoja alinilostisha miezi kadhaa iliopita, alinifanya nimelichukia sana hili taifa, nitarudi underdog mechi ya BRAZIL.

duh acha kuzuga...ushaona hakieleweki mapeeema umeamua kuachana na stress......
 
duh acha kuzuga...ushaona hakieleweki mapeeema umeamua kuachana na stress......

heheeh BJ atatoa ushahidi, jioni ya jana tulikubaliana na BJ kwamba leo tuko orange gemu hii na tutakuwa mahasimu next gemu ambapo BJ atapendelea loosing team BRAZIL, mimi nakamata bendera ya winning team CHILE.
mkuu una moyo kweli kusimama upande wa vishoka. heheheheh
 
stupid goalie why foul him while time is over already? sasa kama angepewa kadi nyekundu si ange wa cost wenzake kwenye robo fainali.
 
_48199241_hietingaweiss_afp.jpg



_48199307_rvp_afp.jpg



_48199573_robben_afp.jpg



_48199725_sneijder_ap.jpg
 

Attachments

  • untitled.jpg
    untitled.jpg
    17.4 KB · Views: 360
Back
Top Bottom