Wizi wa magari Dodoma

Kunakuwa na sensor 2. Moja inafungwa kwenye flywheel lakini lengo lake ni kutoa data za position ya crankshaft. Ya pili inafungwa kwenye camshaft kwa ajili ya kutoa data za position ya camshaft...
 
Fuse mtu anaweza kuunga nyaya maisha yakaendelea... Ila relay ndio mwisho wa yote.... Labda kama mtu amekuja na relay zingine...
Chini ya usukani pale Kuna fyuz iko au katika bonet pale karibu na betri Kuna fyuz ziko ukichomoa tu hakuna kuwasha gari kabisa

kilicho akilini kitumie
 
Mkuu tunahitaji kujua upo wapi? Unaweza kuisaidia polisi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kunakuwa na sensor 2. Moja inafungwa kwenye flywheel lakini lengo lake ni kutoa data za position ya crankshaft. Ya pili inafungwa kwenye camshaft kwa ajili ya kutoa data za position ya camshaft...
Sahihi kabisa

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Uzi bado upo. Yanajibiwa.
 
Tracking inasaidia sana. Wezi wa Tz sio advanced kivile,sidhani kama wamefikia level za kuiba gari zenye immobilizer au keyless. Ukiweka tracker hata ikiibiwa dakika chache tu mnajua iko wapi.
Immobilizer ndo nini?

so gari keyless ina faida kiusalama kuliko ya kuhitaji funguo?
 
Dear tunaomba mbinu za kulinda wasifanye chochote
Kwa gari aina zote ,za funguo na keyless entry pia

nachojua mi ni kulock steering wheel tu

gps tracking sijui zinasaidia?
Alarm?.
Hiyo gari yako hawajaiamulia tu haina security yoyote wanaiba mapema kabisa kabla hata haujalala.

Wanaweza kutumia plastic pipe kukata to get those off. Inachukua sekunde mbili tu hakuna kelele tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…