nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,701
- 14,101
Naam ila kwa sasa nimepigwa benchi...nina noma na TCAA.Kweli kabisa mkuu. Are you piloting these ndege aina ya Cessna?
Naam ila kwa sasa nimepigwa benchi...nina noma na TCAA.Kweli kabisa mkuu. Are you piloting these ndege aina ya Cessna?
Mhhh hawa jamaa ni wahuni sana last week, mwanza to dar reporting time saa 6:05 am tumefika 6:10 am tukakuta check in tayari ndege badala ya kuondoka 8:05 am tukandoka 7:05 am nahisi kuna watu waliachwa wasio enda na muda
Kama genuinely amechelewa huo ndio utaratibu. Lakini unaiomba serikali ipi ukusaidie? Unajua nikigogo gani yupo nyuma ya fastjet? au kwavile unaona viongozi wake wazungu basi unadhani niyakigeni hii kampuni? Utapiga kelelee buree wanakuangalia tu maana nchi ishatekwa nakundi lawanyang`anyi mnapoona wabunge wa ukawa wakipiga kelele bungeni kuwa serikali imetekwa, uongozi ni dhaifu, Katiba pendekezwa namajanga, ccm haifai mnaona niwasaka tonge nawana njaa. Hii ichi ina wenye nchi ambao washaweka mizizi ya mirija yao wanakamua tu maziwa ... Ata uyo Magufuli haujui moto wao. Msidhani wapo silent maana wanauwezo haswa! Haya
Kama mnaweza kujustify hiyo scenario, wasiliana na TCAA-CCC. Ofisi zao ziko PPF tower, hawa ndo wanahusika moja kwa moja na kumlinda mlaji wa huduma za anga. Otherwise poleni sana wakuu.
mdogo wako alichelewa,next time muwahi maana ndege si daladala.ukishachelewa rules apply,it means km untaka kwenda na ndege ya saa hiyohiyo inabidi ulipe express ticket na ndo hapo badala ya 32000 unalipa 300000.for the same trip.
Ndugu yangu usibishe kama haujui kitu,hao fastjet ni watu wa ajabu sana!watu wanashindwa kucheck in wakiwa kwenye msitari.
Tatizo hapa hiyo system yao inajifunga automatic na ipo Nairobi,na wanakuambia kuwa hawana uwezo nayo,kibaya zaidi watumishi wake nao hawana nidhamu ya kazi hata kidogo,kusafiri na hawa jamaa ni kero ila hatuna jinsi,kibegi kidogo tu unakilipia!na ukishangaa nacho wakati unalipa system ikajifunga inakula kwako!nilishashuhudia watu wakikwama wakiwa kwenye msitari ndugu yangu,inauma sana jinsi serikali inavyojitia upofu kutetea wananchi wake.
Dharula ni kitu cha kawaida katika maisha,ikitokea bahati mbaya umepata tatizo la ghafla,tiketi kuibadili ni bora kununua nyingine!!gharama ni za kutisha!binafsi tiketi 2 niliachana nazo,moja ilikuwa kwenda mwanza tarehe 22/5/2015 na nyingine mwaka jana mwezi 4,nilipojaribu kubadili tarehe ilikuwa ni balaa!sikuamini!
nafikiri mleta uzi hataki kusema ukweli kuhusu huyo mdogo wake kuwa alichelewa. jamani usafiri wa ndege sio kama dala dala au mabasi ya mikoani una taratibu zake. siku nyingine muwahishe huyo mdogo wako masaa 2 kabla ya safari halafu uone kama ataachwa. watanzania walio wengi wagumu sana kwenda na muda.
Ingawa sijui kilichomtekea kijana huyo lakini kwa vyovyote vile haiwezi kuwa kama ilivyoletwa.Leo asubuhi nikielekea Mwanza, nimekutana na kisa cha ajabu sana na Fastjet.
Kuna mtoto mdogo wa kiume miaka kama 14 aliyekuwa wa mwisho kwenye foleni kwenye check in kuelekea Mwanza. Ilipofika zamu yake, akafungiwa kwamba muda umepita. Huyu mtoto hakuelewa cha kufanya na kukosa ndege.
Matokeo yake kaambiwa aende kwenye desk iliyopo nyuma ya check in desks. Mbaya zaidi pale pia akaambiwa atoke nje ya Geti akabadilishe ticket. Kwa vile nilikuwa na muda, nililazimika kutoka naye nje. Huko nje pia kaambiwa alipie Tsh. 300,000. Kwa kipi, nilishindwa kuelewa kusema kweli.
Hii nchi inaendeshwa kana kwamba hakuna sheria. Mtu unanunua ticket kwa Shillingi 130,000 lakini hawajali, wana kuambia ulipie karibia mara tatu? TCAA na Ndugu Suleiman nadhani wamelala au kama wako macho, wameyafumbia macho haya.
Watanzania hii ya Fastjet tulipiganie. Huu ni wizi wa mchana kweupe!
Ila tu chili shirika Huduma Zao si user friend. Kweli MTU upo security check foleni wao close desk bila kuja kucheck na waliokwenye ukaguzi kama mashirika mengine wafanyavyo . Gate check ni moja queue ni ndefu. Wabadilike hapo kiukweli
hahaha mjifunze kwena na wakati....
Ila tayari huyo mtoto tayari amesha chelewa mipango yake kama alikuwa anaenda kuwahi shule au mtihani tayari ni tatizo,hayo malalamiko yatafuata kama formalities
Mkuu ni kweli kabisa kuwa ameshaathirika, ila tunachoshauri hapo ni namna anavyoweza kupata haki yake ikiwa ni pamoja na fidia kwa athari aliyoipata. Nimemshauri apeleke malalamiko TCAA-CCC kwa sababu hapo ndo mahali pa kuanzia kudai haki na badae hata mahakani, Wakati mwingine inabidi kukomaa dhidi ya hawa mabeberu ili iwe fundisho. Tumefika mahali tuache ile mambo ya KUBALI YAISHE.
Ndugu yangu usibishe kama haujui kitu,hao fastjet ni watu wa ajabu sana!watu wanashindwa kucheck in wakiwa kwenye msitari.
Tatizo hapa hiyo system yao inajifunga automatic na ipo Nairobi,na wanakuambia kuwa hawana uwezo nayo,kibaya zaidi watumishi wake nao hawana nidhamu ya kazi hata kidogo,kusafiri na hawa jamaa ni kero ila hatuna jinsi,kibegi kidogo tu unakilipia!na ukishangaa nacho wakati unalipa system ikajifunga inakula kwako!nilishashuhudia watu wakikwama wakiwa kwenye msitari ndugu yangu,inauma sana jinsi serikali inavyojitia upofu kutetea wananchi wake.
Dharula ni kitu cha kawaida katika maisha,ikitokea bahati mbaya umepata tatizo la ghafla,tiketi kuibadili ni bora kununua nyingine!!gharama ni za kutisha!binafsi tiketi 2 niliachana nazo,moja ilikuwa kwenda mwanza tarehe 22/5/2015 na nyingine mwaka jana mwezi 4,nilipojaribu kubadili tarehe ilikuwa ni balaa!sikuamini!
Leo asubuhi nikielekea Mwanza, nimekutana na kisa cha ajabu sana na Fastjet.
Kuna mtoto mdogo wa kiume miaka kama 14 aliyekuwa wa mwisho kwenye foleni kwenye check in kuelekea Mwanza. Ilipofika zamu yake, akafungiwa kwamba muda umepita. Huyu mtoto hakuelewa cha kufanya na kukosa ndege.
Matokeo yake kaambiwa aende kwenye desk iliyopo nyuma ya check in desks. Mbaya zaidi pale pia akaambiwa atoke nje ya Geti akabadilishe ticket. Kwa vile nilikuwa na muda, nililazimika kutoka naye nje. Huko nje pia kaambiwa alipie Tsh. 300,000. Kwa kipi, nilishindwa kuelewa kusema kweli.
Hii nchi inaendeshwa kana kwamba hakuna sheria. Mtu unanunua ticket kwa Shillingi 130,000 lakini hawajali, wana kuambia ulipie karibia mara tatu? TCAA na Ndugu Suleiman nadhani wamelala au kama wako macho, wameyafumbia macho haya.
Watanzania hii ya Fastjet tulipiganie. Huu ni wizi wa mchana kweupe!
Hapana fastjet wana mambo ya ajabu sana hasa kwenye ruti ya Mwanza. Kwa sababu ni mbali na unaweza kuta kuna mkubwa au mtu maarufu hakuwa amekata tiketi na amepata safari ya ghafla kwenda Mwanza wanachofanya ndio hicho wanatafuta kisingizio ili tu wampatie yule mkubwa nafasi mimi ndugu yangu yalimkuta lakini kwa sababu anaujua huo mchezo alikimbilia ofisini kwao Mwanza wakamrudishia hela yake.nafikiri mleta uzi hataki kusema ukweli kuhusu huyo mdogo wake kuwa alichelewa. jamani usafiri wa ndege sio kama dala dala au mabasi ya mikoani una taratibu zake. siku nyingine muwahishe huyo mdogo wako masaa 2 kabla ya safari halafu uone kama ataachwa. watanzania walio wengi wagumu sana kwenda na muda.
Kwa mashirika mengine hata yale ya kimataifa unapobadilisha siku au muda unalipa kiasi fulani cha heia lakin kwa fastjet gharama ya kubadilisha huwa mara mbili mpaka tatu ya fedha uliyolipa mwanzo. Hii inapelekea kama unahairisha safari kuisamehe nauli yako na kutafuta usafiri mwingine au hata kufanya upya booking.lazima ulipe kiasi fulani na ndio nia yao
NAIROBI PALE NDANI KUNA BANGO LA TCAA LINANAMBA iNCASE UMEONEWA UMEOMBWA RUSHWA NEXT TYM UNAWAPIGIALeo asubuhi nikielekea Mwanza, nimekutana na kisa cha ajabu sana na Fastjet.
Kuna mtoto mdogo wa kiume miaka kama 14 aliyekuwa wa mwisho kwenye foleni kwenye check in kuelekea Mwanza. Ilipofika zamu yake, akafungiwa kwamba muda umepita. Huyu mtoto hakuelewa cha kufanya na kukosa ndege.
Matokeo yake kaambiwa aende kwenye desk iliyopo nyuma ya check in desks. Mbaya zaidi pale pia akaambiwa atoke nje ya Geti akabadilishe ticket. Kwa vile nilikuwa na muda, nililazimika kutoka naye nje. Huko nje pia kaambiwa alipie Tsh. 300,000. Kwa kipi, nilishindwa kuelewa kusema kweli.
Hii nchi inaendeshwa kana kwamba hakuna sheria. Mtu unanunua ticket kwa Shillingi 130,000 lakini hawajali, wana kuambia ulipie karibia mara tatu? TCAA na Ndugu Suleiman nadhani wamelala au kama wako macho, wameyafumbia macho haya.
Watanzania hii ya Fastjet tulipiganie. Huu ni wizi wa mchana kweupe!
Wabongo hatujui kufika kwenye vitu in time ndo tatizo, ukifika kwa mda unaotakiwa sidhani kama unaweza kujikuta bado upo kwenye foleni wakati check in inafungwa. Pia ticket kuwa non refundable ni kitu cha kawaida duniani kote hasa kwenye low cost airlines.