Wizi wa Fastjet, TCAA mpo kweli?

Wizi wa Fastjet, TCAA mpo kweli?

Kama unanamba yake raise matter na tcaa nenda naye huyo mtoto..ndan kuna cctv watakupeleka nakukuonyesha muda anapita kwenye geti lakuingilia..anavua mkanda na muda anafika kwenye counter..thwn cheki ule muda ni sawa muda wa closing tym...kama amepitiliza muda wa closing tym aga unaenda chooni tokea get la nyuma..kama wamefunga kabla na kulikuwa.na foleni..aisee nipm nakutafutia lawyer unatulipa baada ya kumaliza kesi
 
mkuu mi sisafiri na hizo ndege daladala,mfano mdogo tu ni kwamba last month on way from Italy to Denmark nilikaa kwenye foleni sio.mpaka nafika check inn wananambia umekosea ikawa too late boarding.by the way ni wao walichange check inn door no,ndege iliondoka ikaniacha.nikawa refunded na first class ticket na huduma zoote nilizotumia pale Belgium kwa masaa manne ilikua juu yao.
Fastjet inawezekana wana system nzuri tu,tatizo utakuta kuna kina mwajuma na sefu wafanyakazi hapo wanalazimisha kupata chochote na ndio wanaowaumiza.

Wote tunaolalamika tuna uzoefu na mashirika ya ndege. Hatulalamiki kwa sababu yametupata, hapana ila wenzetu yamewapata na ndiyo akili ya waliosoma. yabidi tuwapiganiye wanaonyanyaswa. Sisi ni binadamu.

Achana na hizo offer zako, mimi nilishapewa free tickets 3 kwa mwaka kwa makosa ya kuniacha uwanja huo huo wa Zaventem, ambao wewe unauita Brussels. Hawa fastjet wanafanyia wa-TZ wenzetu upuuzi kabisa na ni malalamiko ya muda mrefu yanayofanywa na desk lao.

Tukatae, tukiendelea hivi baadaye NIA-DIA itakuwa kama Lagos.
 
Nyuma ya huyo dogo wa 14 yrs kulikuwa na watu? Au yeye ndo alikuwa wa mwisho?
Kama hao watu waliokuwa nyuma yake walifanya nin baada ya hapo?
Nairobian jibu swali hilo kwanza ndipo tuchangie
maana hukumalizia baada ya kuambiwa 300,000/= mlitoa
au kijana alilala aurport
au ni mwanao
 
Mimi iliwahi kunitokea mwanza, niliambiwa nimechelewa ila nilikuwa nawaona watu wakiwa bado wanapima mizigo yao kwa ndani. Nilimbembeleza jamaa nikamwambia takupa soda, alimtafuta incharge wao, nikaingia na nikampa 30,000. Dar pia niliwahi kuchelewa, wakaniambia wameshafunga counter, nikatangaza dau, wakaniambia ngoja tumtafute jamaa....ni mzoefu, hakupatikana na ilibidi nilipie kama 120,000 ili niondoke na ndege inayofuata, na wakanihimiza nilipie fasta.
Cha msingi fastjet wawe na online checking kama mashirika mengine, kwani hata kama umefika counter imefungwa, bado watakusubiri na watatangaza kwenye spika zao, kutegemeana na rubani, anaweza kukusubiri mpaka muda wa kuondoka.
 
Wewe ni mwongo.Haiwezekani mtu akiwa kwenye foleni akaambiwa muda umeisha.
What if check in Clerk alikuwa too slow katika kazi yake?

Hilo unalolisema halipo.As long as upo kwenye mstari, au umeikuta foleni ni lazima ucheck in.

Usitake kutufanya wote humu wajinga.
Unaktaa as if ulikuwapo!
 
za kutosha,mkuu

Komaa wakurudishe hewani mi napenda sana adventure za vindege vidogo.
Kama vipi nipe bei za route kabisa nijipange for adventure utakapokuwa umekamilisha na TCAA
DAR-JRO
DAR-MWZ
DAR-MBI
DAR-ARK

Nipe bei mwana
 
Wewe ni mwongo.Haiwezekani mtu akiwa kwenye foleni akaambiwa muda umeisha.
What if check in Clerk alikuwa too slow katika kazi yake?

Hilo unalolisema halipo.As long as upo kwenye mstari, au umeikuta foleni ni lazima ucheck in.

Usitake kutufanya wote humu wajinga.

Mkuu inatokea mara nyingi sana..labda mwenzetu hutumii hii daladala.
 
Leo asubuhi nikielekea Mwanza, nimekutana na kisa cha ajabu sana na Fastjet.

Kuna mtoto mdogo wa kiume miaka kama 14 aliyekuwa wa mwisho kwenye foleni kwenye check in kuelekea Mwanza. Ilipofika zamu yake, akafungiwa kwamba muda umepita. Huyu mtoto hakuelewa cha kufanya na kukosa ndege.

Matokeo yake kaambiwa aende kwenye desk iliyopo nyuma ya check in desks. Mbaya zaidi pale pia akaambiwa atoke nje ya Geti akabadilishe ticket. Kwa vile nilikuwa na muda, nililazimika kutoka naye nje. Huko nje pia kaambiwa alipie Tsh. 300,000. Kwa kipi, nilishindwa kuelewa kusema kweli.

Hii nchi inaendeshwa kana kwamba hakuna sheria. Mtu unanunua ticket kwa Shillingi 130,000 lakini hawajali, wana kuambia ulipie karibia mara tatu? TCAA na Ndugu Suleiman nadhani wamelala au kama wako macho, wameyafumbia macho haya.

Watanzania hii ya Fastjet tulipiganie. Huu ni wizi wa mchana kweupe!
Ulikua unaenda Mwanza, ghafla ukawa na muda...
 
LAKINI FAST JET WANABOA KWENYE NDEGE UNARUHUSIWA KUBEBA KG 150 Ila sio SHIRIKA HILI WAKUU, nasema kwa sababu nimesafiri NA emirates NA South African airways wake poa Sana Ila kufika fast jet nikakuta tofauti Kubwa begi kubwa unalipa Kama basi bwana Hawa NDEGE zao in bajaji zile
 
Nairobian

mkome,
muwe mnapanda hivi videge vidogo vidogo vya wazawa
hatuna ubaguzi wala nini
kama umechelewa foleni tazara,unanipigia simu nakusubiri, mpaka ufike,bei 95,500..dar`````` mwanza``````karibu

Nakutafuta kwa kweli sio kwa kitonga hiii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom