lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,470
- 9,053
Ni kweli kwa wale wanaojua queuing theories, check-in procedures na mambo kama hayo yanayohusiana na sheria za kuishi ni kitu ambacho hakiwezekani lakini kwa uendawazimu ambao Watanzania tumefikia yanawezekana na huenda ikwa ni Tanzania pekee. Kwa jinsi mleta mada alivyoandika inaelekea ni mtu mwelewa na ndio maana naye kashangaa kitu kama hiki kinatokea hadi kufuatailia zaidi na kujua hilo suala la kulipa 300,000/-.Wewe ni mwongo.Haiwezekani mtu akiwa kwenye foleni akaambiwa muda umeisha.
What if check in Clerk alikuwa too slow katika kazi yake?
Hilo unalolisema halipo.As long as upo kwenye mstari, au umeikuta foleni ni lazima ucheck in.
Usitake kutufanya wote humu wajinga.
Ni mambo yanasikitisha sana, naujua udhaifu mkubwa wa Precision air lakini ndio huwa chaguo la kwanza kabla ya hawa jamaa.
Najaribu kufikiri tu kama kijana huyu, waliomsindikiza na waliokuwa wakisubiri kumpokea walikuwa na furaha ya kuteuliwa kwa 'bulldozer' kugombea urais ambayo imetatizwa na tukio hili la fastjet!
cc: Nairobian