Chungurumbira
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,170
- 571
Kuna uwezekano kuwa imetokea na si makosa ya FJ, labda kutokujua, kuna siku binti alikuwa anakwenda Mbeya alfajiri, nilimsindikiza hadi JNIA nikamwelekeza vizuri kuwa apange foleni ya kwenda Mbeya na akisha-check in anipigie simu ili nami niondoke kuelekea kazini
Basi nimesubiri hakuna kitu, kuchungulia nikakuta binti yupo kwenye foleni ya kwenda Mwanza wakati huo Mbeya karibu wanafunga gate, ikabidi nimwombe jamaa akamwambie ndo ikawa salama yake vinginevyo angeishia kulalamika kaonewa.
Una bahati sana! siyo hawa FAstjet! wakati wanaanza walikuwa wanabembeleza wateja sana ila siku hizi sheria kali na nyingi ni kuongeza kipato zaidi! Unafika pale check in 40mns kabla ya ndege kuondoka unaambiwa umechelewa!
Angalia wamebadili hata muda wa kubuku tiketi na kulipia! Kwa sasa ni ndani ya dkk 20 tu !