Wizi wa aina mpya ukiwa Kariakoo

Wizi wa aina mpya ukiwa Kariakoo

Hata yale maeneo ya kwenda kilwa road, karb na kile kidalaja kuna vijana kama saba wanaiba simu kupitia madirisha. Ukiacha kioo waz umejisahau unachat imekula kwako. Washalizwa wengi sana hasa kwny daladala
 
Sijaona uhusiano wa hao wadada,
Huyo aliyekuita kisha kuibiwa.
...
Alafu simu kama ulinunua na una IMEI zake nenda kunakohusika utaipata.
 
Ni vyema upandishe vioo zaidi ya nusu kama hutumii a/c kwa ajili ya usalama wako na mali pia,pia kumbuka kulock milango yote
 
Siku zote mjinga ni wakati wa kwenda Ukiwa unarudi unakuwa ushatia akili .....

Ova
 
Habari zenu wanajamvi!

Dhumuni la uzi huu ni kutoa taarifa ya tahadhari muwapo maeneo ya Kariakoo mitaa ya Agrey na msimbazi au Agrey yote! Jana baada ya yakutoka katika mizunguko yangu mida ya saa kumi za jioni! Nilipitia maeneo hayo na wadada fulani wawili niliowapa lift wakaniomba niwashushe kuna kitu walikua wanahitaji maeneo hayo!

Sasa baada ya kuwashusha kusogea mbele kidogo nikasikia jamaa akiniita kunieleza kua naitwa ile kugeuka kutizama tu kushoto kwangu jamaa mwengine akaingiza kichwa na kuchomoa simu yangu aina ya s8 galaxy iliokuepo kwenye charge! Kumbe kufunga vioo pia inasaidia sana kupunguza wahalifu kufanya yao!kwahiyo hapa nilipo maumivu yangu ni makali mnoo!hata kazini sijakwenda kwa maumivu ya jana!!

so nawapa angalizo muwapo maeneo hayo!!
Huu sio wizi mpya ni wa zamani way back 2003+ ulikuwa maarufu sana kariakoo
 
Sijaona uhusiano wa hao wadada,
Huyo aliyekuita kisha kuibiwa.
...
Alafu simu kama ulinunua na una IMEI zake nenda kunakohusika utaipata.
Kunakohusika ni wap?
 
Huo wizi sio mpya, ni wakaida sana kwenye foleni barabarani..... utaachaje kioo wazi au mlango bila lock?
 
Habari zenu wanajamvi!

Dhumuni la uzi huu ni kutoa taarifa ya tahadhari muwapo maeneo ya Kariakoo mitaa ya Agrey na msimbazi au Agrey yote! Jana baada ya yakutoka katika mizunguko yangu mida ya saa kumi za jioni! Nilipitia maeneo hayo na wadada fulani wawili niliowapa lift wakaniomba niwashushe kuna kitu walikua wanahitaji maeneo hayo!

Sasa baada ya kuwashusha kusogea mbele kidogo nikasikia jamaa akiniita kunieleza kua naitwa ile kugeuka kutizama tu kushoto kwangu jamaa mwengine akaingiza kichwa na kuchomoa simu yangu aina ya s8 galaxy iliokuepo kwenye charge! Kumbe kufunga vioo pia inasaidia sana kupunguza wahalifu kufanya yao!kwahiyo hapa nilipo maumivu yangu ni makali mnoo!hata kazini sijakwenda kwa maumivu ya jana!!

so nawapa angalizo muwapo maeneo hayo!!
sasa nawewe acha hizo ile kugeuka kutizama tu kushoto kwangu jamaa mwengine akaingiza kichwa na kuchomoa simu yangu aina ya s8 galaxy iliokuepo kwenye charge! kama ulifahamu ni jamaa ka kuchomoa cm kwa nini usimkamate
 
Back
Top Bottom