Wizi wa aina mpya ukiwa Kariakoo

Wizi wa aina mpya ukiwa Kariakoo

Udokozi wa namna hiyo upo muda mrefu tu kwa mji wa Dar...

Itakuwa wewe wa kuletwa Dar na ndio maana umepigwa na watoto wa mjini...
 
Pole sana, lakini wizi wa namna hiyo si mpya kama unavyodai mkuu.
 
Habari zenu wanajamvi!

Dhumuni la uzi huu ni kutoa taarifa ya tahadhari muwapo maeneo ya Kariakoo mitaa ya Agrey na msimbazi au Agrey yote! Jana baada ya yakutoka katika mizunguko yangu mida ya saa kumi za jioni! Nilipitia maeneo hayo na wadada fulani wawili niliowapa lift wakaniomba niwashushe kuna kitu walikua wanahitaji maeneo hayo!

Sasa baada ya kuwashusha kusogea mbele kidogo nikasikia jamaa akiniita kunieleza kua naitwa ile kugeuka kutizama tu kushoto kwangu jamaa mwengine akaingiza kichwa na kuchomoa simu yangu aina ya s8 galaxy iliokuepo kwenye charge! Kumbe kufunga vioo pia inasaidia sana kupunguza wahalifu kufanya yao!kwahiyo hapa nilipo maumivu yangu ni makali mnoo!hata kazini sijakwenda kwa maumivu ya jana!!

so nawapa angalizo muwapo maeneo hayo!!
Lift tukiomba masela mnakaza.fresh tu wacha kulia lia umenunua tecno w2 sasa
 
We hauna hata xmas tatu mjini inavoonesha umemfata kaka yako wa kolomije daudi albert bashite gari,charger,wanawake,s8galaxy,kkoo,agrey sawa sasa rudi kwenu kahadithie
Hahahah hahaha hahaha hahah nimecheka Sana mkuu hawa watu wanaofika mjini mwaka WA magu wanataka tujue nao wanafahamu mitaa
 
Sasa na mimi simu yangu iliibiwa na aliyenayon nikapata namba yake nani anaweza kumkamata RB ninayo nina 100000
 
Habari zenu wanajamvi!

Dhumuni la uzi huu ni kutoa taarifa ya tahadhari muwapo maeneo ya Kariakoo mitaa ya Agrey na msimbazi au Agrey yote! Jana baada ya yakutoka katika mizunguko yangu mida ya saa kumi za jioni! Nilipitia maeneo hayo na wadada fulani wawili niliowapa lift wakaniomba niwashushe kuna kitu walikua wanahitaji maeneo hayo!

Sasa baada ya kuwashusha kusogea mbele kidogo nikasikia jamaa akiniita kunieleza kua naitwa ile kugeuka kutizama tu kushoto kwangu jamaa mwengine akaingiza kichwa na kuchomoa simu yangu aina ya s8 galaxy iliokuepo kwenye charge! Kumbe kufunga vioo pia inasaidia sana kupunguza wahalifu kufanya yao!kwahiyo hapa nilipo maumivu yangu ni makali mnoo!hata kazini sijakwenda kwa maumivu ya jana!!

so nawapa angalizo muwapo maeneo hayo!!
Kwa kariakoo huo sio wizi mpya mkuu
 
Kwann uwape wanawake lft ? Unaonesha ww dhaifu sana eee, halafu inaonekana huna uzoefu wa kumiliki motokaa muda mrefu
 
Habari zenu wanajamvi!

Dhumuni la uzi huu ni kutoa taarifa ya tahadhari muwapo maeneo ya Kariakoo mitaa ya Agrey na msimbazi au Agrey yote! Jana baada ya yakutoka katika mizunguko yangu mida ya saa kumi za jioni! Nilipitia maeneo hayo na wadada fulani wawili niliowapa lift wakaniomba niwashushe kuna kitu walikua wanahitaji maeneo hayo!

Sasa baada ya kuwashusha kusogea mbele kidogo nikasikia jamaa akiniita kunieleza kua naitwa ile kugeuka kutizama tu kushoto kwangu jamaa mwengine akaingiza kichwa na kuchomoa simu yangu aina ya s8 galaxy iliokuepo kwenye charge! Kumbe kufunga vioo pia inasaidia sana kupunguza wahalifu kufanya yao!kwahiyo hapa nilipo maumivu yangu ni makali mnoo!hata kazini sijakwenda kwa maumivu ya jana!!

so nawapa angalizo muwapo maeneo hayo!!
Wizi wa aina hiyo mbona upo muda mrefu tu hapo Kariakoo.
 
Pole sana kijana..
Wizi wa aina hiii sio mpya,labda wewe ndiye mpya hapa mjini ndomaana umelizwa kizembe hivyo
 
kama sikujui hiyo lift hupati....
uepndo wa wengi umepoa
 
Umekuja mjini lini,,,huo wizi upo dar tangia sijazaliwa,,,pole wamekukaribisha mjini
 
Back
Top Bottom