Watu wanaotumia bank kama CRDB,huwa hawaibiwi pesa kwa mtindo huu wa kuswap hata siku moja kutokana na kitu umeeleza hapo. NMB hawaja implement hii kitu kwao ndo maana watu wengi(99.99%) wanaoibiwa pesa kwa mobile banking ni wa NMB. Na mara nying ni just social engineering wanafanya kupata password yako.
NMB bado hawajaboresha security zao eeeh? then ni risk sana kutumia mobile bank yao
Sisi (umojaswitch) tunatoa mobile banking kwa TWB, Kilimanjaro, Mwanga, Mbinga community bank, mufindi community bank na benki kama hizo na tume-implement IMSI, hawa NMB na ukuwa wote ule bado?