Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,917
- 6,007
Mkuu tuombe radhi.....wengine
hatuingiliki kirahisi hivyo......unakutanaje na watu huwajui unawapa
simu....?.....ofisi za kampuni hazijui.....?...aseme vizuri bana
kapeleka wapi pesa.....alishindwa nini kumpa mumewe simu aweke
internet..?....au na mumewe ndio wale wale.....angekuwa shoga'ngu
ningemzabua.......
Dada Preta, nisamehe bure!
Last edited by a moderator: