Wizi arusha......

_ BABA _

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
203
19
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumapili maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...
 
jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya jumamosi maeneo ya metropolitan karibu na green heart restaurant kwa wale wanaofahamu arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na ipod aina ya apple 32gb pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...ombi langu kwa wana jamii wa arusha please ukiona mtu anauza ipod mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-pm or toa taarifa kituo cha polisi.......nimefungua file pale central na nina rb.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo ipod ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...
pole mkuu kwa yaliyokukuta ndio mji wetu jitahidi kuwa makini sana hawa jamaa ni hatari wamekataa tamaa na maisha ni magumu so wanayatafuta kwa kila njia....
Hii ni changamoto ya hili jiji , inatia hasira sana hawa polisi badala ya kuhangaika na vibaka kama hawa wanadeal kila siku na wasiasa hasa wachadema ....
 
pole mkuu kwa yaliyokukuta ndio mji wetu jitahidi kuwa makini sana hawa jamaa ni hatari wamekataa tamaa na maisha ni magumu so wanayatafuta kwa kila njia....
Hii ni changamoto ya hili jiji , inatia hasira sana hawa polisi badala ya kuhangaika na vibaka kama hawa wanadeal kila siku na wasiasa hasa wachadema ....
Asante sana mkuu...
 
mkuu hebu nisahihishe vizuri....ni IPOD au IPAD....ili nikisikia niweze kujua....pole sana
 
Muongo wewe! central police naangalia katika Report Book yao hakuna reported case ya namna hiyo. Hata IR register haina case namna hiyo Mkuu, au unamaanisha nn?
 
Kiongozi pole sana!!
Hakyanani nimejisikia kama ni mimi nimefanyiwa hilo jambo!
Vijana wa Unga Ltd ni hatari sana!..Polisi wanajua sana kuhusu hali hiyo lakini hawajaamua kuchukua hatua yoyote!
Tuombe Mungu lakini uwezekano wa kuipata hiyo Ipod ni narrow...cha msingi kaza buti ujiandae na kuwekeza ili ununue nyengine, hata kama utaipata hiyo iliyoibiwa basi utajua cha kufanya!
Ushauri, next time angalia sana maeneo unayotembelea i relation to vitu unavyobeba!..ingawaje mahala lilipokutokea hilo tukio ni mjini kabisa!...ajabu!
Pole sana broda!
 
Muongo wewe! central police naangalia katika Report Book yao hakuna reported case ya namna hiyo. Hata IR register haina case namna hiyo Mkuu, au unamaanisha nn?
Mkuu niseme uongo ili iweje?....mie nimefika hapo na kuandika maelezo mida ya saa mbili jioni na nilimkuta Askari wa kiume na kike na hapa nina RB na baadaye kidogo nitapita hapo ili nimjue mpelezi wa kesi yangu....naomba uangalie vizuri or muulize askari aliyekua zamu jana jioni atakuonyesha hilo file mkuu.....
 
Muongo wewe! central police naangalia katika Report Book yao hakuna reported case ya namna hiyo. Hata IR register haina case namna hiyo Mkuu, au unamaanisha nn?
Nahofia wewe ndiyo muongo!
Nikiangalia haupost via mobile, na kwa uzoefu wangu, pale Central hakuna kompyuta hata ya dawa!...unapostije?:lol::lol::lol:
LAbda kama ipo ni kwenye ofisi ya RPC!...huku kwa wajasiriamali hamna kitu!...hata karatasi za ripoti mbalimbali mwenye shida anatakiwa akatoe photocopy pale ng'ambo ya barabara kwenye kontena la blue!
Acha kudharau na kuwananga watu wenye matatizo wewe!...hayajakukuta!
 
Kiongozi pole sana!!
Hakyanani nimejisikia kama ni mimi nimefanyiwa hilo jambo!
Vijana wa Unga Ltd ni hatari sana!..Polisi wanajua sana kuhusu hali hiyo lakini hawajaamua kuchukua hatua yoyote!
Tuombe Mungu lakini uwezekano wa kuipata hiyo Ipod ni narrow...cha msingi kaza buti ujiandae na kuwekeza ili ununue nyengine, hata kama utaipata hiyo iliyoibiwa basi utajua cha kufanya!
Ushauri, next time angalia sana maeneo unayotembelea i relation to vitu unavyobeba!..ingawaje mahala lilipokutokea hilo tukio ni mjini kabisa!...ajabu!
Pole sana broda!
Asante sana Mkuu kwa ushauri..
 
hapo kwenye hand bag palinichanganya nikadhani ni mdada....
pole sana. usisikitike sana, inatokea. nchi inachosha hii kama nini sijui!
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumamosi maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...
 
Pole sana Mkuu huu ndiyo uzao wa CCM na miaka 50 yao madarakani kwa kweli .
 
kweli wewe lazima ni mgeni hapa arusha,before i comment kwanza hamna mahali arusha panapoitwa metropolitan,panaita metropole,na hapo pembeni yake siyo green heart,ni green-hut.....pole sana ndugu,,hii ndo arusha yetu na mambo kama hayo ni kawaida tu,kama ni vijana wa ungaleloo andika maumivu,wa2 wa a-town wanapenda sana vitu vya cross than vipya so hiyo mashine yako tayari ishauzwa kitambo,na sababu walikuwa wengi,hela ishatafunwa pia,vumilia,jikaze na jipange upya
 
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumamosi maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...

Pole sana mkuu, hayo ndiyo matokeo ya kuwa na kundi kubwa la vijana ambao wako nje ya ajira. Kuhusu IPAD, fanya tuwasiliane ili nikutafutie nyingine kwa bei rahisi sana. Si unajua tena sisi ndiyo wazee wa mjini, hata ukitaka side mirrors zako ulizoibiwa hapa utapata tu.
 
Mbona kawaida hapa mjini!wako kigroups na wana vibosile wanauwatumia nawanalipw ujira kwa kazi zao!kupata hiyo Ipad ni ngumu sana!check tu ustaarabu mwingine
 
Back
Top Bottom