Mkuu niseme uongo ili iweje?....mie nimefika hapo na kuandika maelezo mida ya saa mbili jioni na nilimkuta Askari wa kiume na kike na hapa nina RB na baadaye kidogo nitapita hapo ili nimjue mpelezi wa kesi yangu....naomba uangalie vizuri or muulize askari aliyekua zamu jana jioni atakuonyesha hilo file mkuu.....
Mkuu vijiwe vyote vinavyouzwa computer, ipads simu navifahamu sasa ngoja niwaulize kama wanayo Ipad32G halafu wewe nitakufanya kama mteja ambaye ni rafiki yangu sasa ndiyo nakusaidia kutafuta. Pls unatakiwa usiwe na jazba kabisa, mambo yanaweza kwenda vizuri.Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumamosi maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...
chek na makao makuu ya ccm arusha lazima watajua mwizi na nani anauza??
[h=6]有没有地方那么远。我相信自己[/h]Pole sana mkuu, hayo ndiyo matokeo ya kuwa na kundi kubwa la vijana ambao wako nje ya ajira. Kuhusu IPAD, fanya tuwasiliane ili nikutafutie nyingine kwa bei rahisi sana. Si unajua tena sisi ndiyo wazee wa mjini, hata ukitaka side mirrors zako ulizoibiwa hapa utapata tu.
Sasa hapo ndiyo unamfariji au unamkatisha tamaa?Pole sana, hiyo ipod inauzwa USD. 1650 dukani. Pole sana mpendwa
Kiongozi pole sana!!
Hakyanani nimejisikia kama ni mimi nimefanyiwa hilo jambo!
Vijana wa Unga Ltd ni hatari sana!..Polisi wanajua sana kuhusu hali hiyo lakini hawajaamua kuchukua hatua yoyote!
Tuombe Mungu lakini uwezekano wa kuipata hiyo Ipod ni narrow...cha msingi kaza buti ujiandae na kuwekeza ili ununue nyengine, hata kama utaipata hiyo iliyoibiwa basi utajua cha kufanya!
Ushauri, next time angalia sana maeneo unayotembelea i relation to vitu unavyobeba!..ingawaje mahala lilipokutokea hilo tukio ni mjini kabisa!...ajabu!
Pole sana broda!
Mkuu vijiwe vyote vinavyouzwa computer, ipads simu navifahamu sasa ngoja niwaulize kama wanayo Ipad32G halafu wewe nitakufanya kama mteja ambaye ni rafiki yangu sasa ndiyo nakusaidia kutafuta. Pls unatakiwa usiwe na jazba kabisa, mambo yanaweza kwenda vizuri.
Du...MKUU!Mkuu! Huyu aliyeibiwa labda ndiyo wale wale kwani kama wewe ni mgeni kwenye mji wa watu na akashindwa hata kutafuta mwanajamiiforums yoyote hapa A town na anajua kbs kwmb tupo tumejaa na angalia siku aliyeibiwa ni jumamosi ni wikiend yeye anaenda kutembea na vibegi vyake lain ile ambayo inarecord hapa A town,Acha aibiwe,Mkuu! Kama cyo namwogopa MUNGU ningekushauri usihangaike naye iwe fundisho afikapo Mikoani atafutage wenyeji. Huyu ni Shwain kweli!!
有没有地方那么远。我相信自己
Sasa hapo ndiyo unamfariji au unamkatisha tamaa?
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumamosi maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...
Mkuu! Huyu aliyeibiwa labda ndiyo wale wale kwani kama wewe ni mgeni kwenye mji wa watu na akashindwa hata kutafuta mwanajamiiforums yoyote hapa A town na anajua kbs kwmb tupo tumejaa na angalia siku aliyeibiwa ni jumamosi ni wikiend yeye anaenda kutembea na vibegi vyake lain ile ambayo inarecord hapa A town,Acha aibiwe,Mkuu! Kama cyo namwogopa MUNGU ningekushauri usihangaike naye iwe fundisho afikapo Mikoani atafutage wenyeji. Huyu ni Shwain kweli!!
Kweli mkuu vijana wa Ungalimited noma hakuna mfano wake ninachowapendea ni mashabiki wazuri sana wa Kamanda Lema.