Wizi arusha......

Mkuu niseme uongo ili iweje?....mie nimefika hapo na kuandika maelezo mida ya saa mbili jioni na nilimkuta Askari wa kiume na kike na hapa nina RB na baadaye kidogo nitapita hapo ili nimjue mpelezi wa kesi yangu....naomba uangalie vizuri or muulize askari aliyekua zamu jana jioni atakuonyesha hilo file mkuu.....

uliibiwa jmosi lakini ukaripo jana..huu mji ni mdogo tega kwenye kona zao..
 
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumamosi maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...
Mkuu vijiwe vyote vinavyouzwa computer, ipads simu navifahamu sasa ngoja niwaulize kama wanayo Ipad32G halafu wewe nitakufanya kama mteja ambaye ni rafiki yangu sasa ndiyo nakusaidia kutafuta. Pls unatakiwa usiwe na jazba kabisa, mambo yanaweza kwenda vizuri.
 
pole sana. bora hata huko arusha walikuwa vibaka 5o. juzi alhamisi hapo maeneo ya selander bridge nimeshuhudia mdada wa kuzungu akikabwa na kupiga mayowe akaporwa simu jamaa akatokomea kwenye mikoko. ilikuwa saa moja na nusu asubuhi yaani kweupeee na kituo cha polisi kipo just opposite. Magari yako kwenye foleni na watu wanapita ila hakuna kilichofanyika. hali halisi ya Tanzania ndio hiyo
 
Pole sana mkuu, hayo ndiyo matokeo ya kuwa na kundi kubwa la vijana ambao wako nje ya ajira. Kuhusu IPAD, fanya tuwasiliane ili nikutafutie nyingine kwa bei rahisi sana. Si unajua tena sisi ndiyo wazee wa mjini, hata ukitaka side mirrors zako ulizoibiwa hapa utapata tu.
[h=6]有没有地方那么远。我相信自己[/h]
 
hao watakuwa underground dogs watoto wa line polisi fire na daraja mbili ingekuwa mitaa ya makao au kaloleni ingekuwa ni junior nako. Kama unataka kuipata nenda kwenye maduka ya used electronics hii njia ya makao ka unaenda masjid quba au nenda stend ya magari ya moshi tafta wale mashashaa watakuelekeza ila uandae pesa ya kutosha kuwalipa hii ndo chuga town leo ningekuwa town ungenipm ungeipata ila lazima unilipe
 
Kweli mkuu vijana wa Ungalimited noma hakuna mfano wake ninachowapendea ni mashabiki wazuri sana wa Kamanda Lema.

Kiongozi pole sana!!
Hakyanani nimejisikia kama ni mimi nimefanyiwa hilo jambo!
Vijana wa Unga Ltd ni hatari sana!..Polisi wanajua sana kuhusu hali hiyo lakini hawajaamua kuchukua hatua yoyote!
Tuombe Mungu lakini uwezekano wa kuipata hiyo Ipod ni narrow...cha msingi kaza buti ujiandae na kuwekeza ili ununue nyengine, hata kama utaipata hiyo iliyoibiwa basi utajua cha kufanya!
Ushauri, next time angalia sana maeneo unayotembelea i relation to vitu unavyobeba!..ingawaje mahala lilipokutokea hilo tukio ni mjini kabisa!...ajabu!
Pole sana broda!
 
Mkuu vijiwe vyote vinavyouzwa computer, ipads simu navifahamu sasa ngoja niwaulize kama wanayo Ipad32G halafu wewe nitakufanya kama mteja ambaye ni rafiki yangu sasa ndiyo nakusaidia kutafuta. Pls unatakiwa usiwe na jazba kabisa, mambo yanaweza kwenda vizuri.

Mkuu! Huyu aliyeibiwa labda ndiyo wale wale kwani kama wewe ni mgeni kwenye mji wa watu na akashindwa hata kutafuta mwanajamiiforums yoyote hapa A town na anajua kbs kwmb tupo tumejaa na angalia siku aliyeibiwa ni jumamosi ni wikiend yeye anaenda kutembea na vibegi vyake lain ile ambayo inarecord hapa A town,Acha aibiwe,Mkuu! Kama cyo namwogopa MUNGU ningekushauri usihangaike naye iwe fundisho afikapo Mikoani atafutage wenyeji. Huyu ni Shwain kweli!!
 
Mkuu! Huyu aliyeibiwa labda ndiyo wale wale kwani kama wewe ni mgeni kwenye mji wa watu na akashindwa hata kutafuta mwanajamiiforums yoyote hapa A town na anajua kbs kwmb tupo tumejaa na angalia siku aliyeibiwa ni jumamosi ni wikiend yeye anaenda kutembea na vibegi vyake lain ile ambayo inarecord hapa A town,Acha aibiwe,Mkuu! Kama cyo namwogopa MUNGU ningekushauri usihangaike naye iwe fundisho afikapo Mikoani atafutage wenyeji. Huyu ni Shwain kweli!!
Du...MKUU!
Naona umevaa miwani ya mbao!!
 
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumamosi maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na kundi la Vijana zaidi ya 50 waliokua wanaandamana wakaninyang'anya hand bag yangu kwa kuivuta kwa nguvu hadi ikakatika mkanda, nikashuka kuwafatilia wakatoa visu pamoja na sime wakanambia kama nataka kufa niwafate watu waliokuwepo around walinisihi nisiwafate maana wale jamaa ni watu wabaya na waweza hata niua,mie bado mgeni hapa Arusha, then wakatokomea nayo kuelekea maeneo ya Unga limited...kwenye hand bag yangu kulikua na IPAD aina ya APPLE 32GB pamoja na vitu vingine vidogo vidogo...nilifika kuripoti kituo cha police cha Unga limited askari nilimkuta akitiririka jasho kanambia ndiyo tu kwanza katoka kukimbizana na jamaa hao hao walimu-attack jamaa moja na kumchania suruali yake wakachukua pesa pamoja na walet yake pia huko njiani walikua wakipiga watu na kuwanyang'anya vitu kama handbags kwa akina mama?dada...Ombi langu kwa wana Jamii wa Arusha PLease ukiona mtu anauza IPOD mtaani au anataka kukuuzia or umepata fununu inauzwa sehemu naomba uni-PM or toa taarifa kituo cha polisi.......Nimefungua file pale Central na nina RB.....ninahitaji sana msaada wenu ndugu zangu maana hiyo IPOD ndiyo ilikua inanisadia kufanyia kazi zangu zote hata ku-browse hapa jamvini......natanguliza shukrani zangu kwenu nyote...

Pale Arusha bila kumng'oa Lema, patachafuka sana sana na bado. Matatizo yote haya yanatokana na huyu jamaa wa Chadema. Sasa hivi watalii hawakai mjini, guest house hazina watu, vibaka kibao plus so many uncouth things happening randomly.
Sina hakika kama ana shule yoyote na sijui watu wenye akili kama Arusha Municipality walivyo wanachanguaje mtu wa namna hii?!
 
Mkuu! Huyu aliyeibiwa labda ndiyo wale wale kwani kama wewe ni mgeni kwenye mji wa watu na akashindwa hata kutafuta mwanajamiiforums yoyote hapa A town na anajua kbs kwmb tupo tumejaa na angalia siku aliyeibiwa ni jumamosi ni wikiend yeye anaenda kutembea na vibegi vyake lain ile ambayo inarecord hapa A town,Acha aibiwe,Mkuu! Kama cyo namwogopa MUNGU ningekushauri usihangaike naye iwe fundisho afikapo Mikoani atafutage wenyeji. Huyu ni Shwain kweli!!

Nikiwa kama MOD ninaye ratibu jukwaa la walioibiwa na kuingizwa mjini nakutunuku BAN ya sekunde kadhaa.
 
Kweli mkuu vijana wa Ungalimited noma hakuna mfano wake ninachowapendea ni mashabiki wazuri sana wa Kamanda Lema.

Na wale wahuni wa kaloleni (junior nako), na hao wavuta bangi wa mtaa wa Pangani na Bondeni si green guard na mnajivunia wizi wao hapo stand kwa kivuli cha AKIBOA si CCM mnawalea
 
Back
Top Bottom