Hii ni taasisi ya Fedha inayojihusisha na mikopo kwa wafanyakazi na wafanyabiashara
Juni 2021 mfanyakazi (sitamtaja) alikopa ths 3,500,000 kwa makato ya Tsh 126,400 kwa mwezi,
Sasa picha limeanza mwaka huu mfanyakaz akataka kuwalipa deni lao (kumbuka ameshakatwa kama miezi 20)
Toka Juni 2021,
Kwanza wakasema balance Yao mpaka uende kwenye branchi zao za mikoa na kwa kesi yake yeye ikabidi aende Morogoro mjini, Akajaza fomu kuomba kupewa deni lake Ili alipe (afute mkopo) wakamwambia balance haitoki kirahisi hivyo ni mpaka miezi mitatu! Akasema sawa akarudi zake kijijin
Tarehe 6 (alhamis) Kabla ya Pasaka wakamwambia balance yake imetoka akachukue
Kutoka siku Ile Hadi kufika Moro goro mjini ni ngumu,
Kesho yake ilikua ijumaa kuu,
Na jumatatu ikawa ni jumatatu ya Pasaka!
Akaenda jumanne akaletewa deni la 3,930,000 ( na kumbuka alishakatwa zaidi ya miezi 20 !! Makato ya 126400 ambapo ukizidisha toka Juni 2021 Hadi march (126400*21= 2,654,400) ambayo tayari ilishalipwa..
Lakini jamaa akasema potelea pote akaamua kuwalipa iyo 3.93 m!
Baada ya kusoma iyo statement wameandika pesa mwisho kulipa ni tr 14!
Kumbuka hapo wameweka siku 7 Bila kuhesabu wikiend au zile siku za pasaka!
Jamaa kajipinda kaja kulipa tar 17 (siku 3) mbele
Anapeleka risiti Letshego wanasema amechelewa kulipa na hivyo aongeze 56,000 kama faini!!
Jamaa uvumilivu ukamshinda akasema haongezi pesa!
Na wao wakasema wataendelea kumkata! Iyo 126,400 Kila mwezi kama kawaida!
Jamani huyu jamaa afanyeje hapo katika mazingira haya!
Asanteni
Juni 2021 mfanyakazi (sitamtaja) alikopa ths 3,500,000 kwa makato ya Tsh 126,400 kwa mwezi,
Sasa picha limeanza mwaka huu mfanyakaz akataka kuwalipa deni lao (kumbuka ameshakatwa kama miezi 20)
Toka Juni 2021,
Kwanza wakasema balance Yao mpaka uende kwenye branchi zao za mikoa na kwa kesi yake yeye ikabidi aende Morogoro mjini, Akajaza fomu kuomba kupewa deni lake Ili alipe (afute mkopo) wakamwambia balance haitoki kirahisi hivyo ni mpaka miezi mitatu! Akasema sawa akarudi zake kijijin
Tarehe 6 (alhamis) Kabla ya Pasaka wakamwambia balance yake imetoka akachukue
Kutoka siku Ile Hadi kufika Moro goro mjini ni ngumu,
Kesho yake ilikua ijumaa kuu,
Na jumatatu ikawa ni jumatatu ya Pasaka!
Akaenda jumanne akaletewa deni la 3,930,000 ( na kumbuka alishakatwa zaidi ya miezi 20 !! Makato ya 126400 ambapo ukizidisha toka Juni 2021 Hadi march (126400*21= 2,654,400) ambayo tayari ilishalipwa..
Lakini jamaa akasema potelea pote akaamua kuwalipa iyo 3.93 m!
Baada ya kusoma iyo statement wameandika pesa mwisho kulipa ni tr 14!
Kumbuka hapo wameweka siku 7 Bila kuhesabu wikiend au zile siku za pasaka!
Jamaa kajipinda kaja kulipa tar 17 (siku 3) mbele
Anapeleka risiti Letshego wanasema amechelewa kulipa na hivyo aongeze 56,000 kama faini!!
Jamaa uvumilivu ukamshinda akasema haongezi pesa!
Na wao wakasema wataendelea kumkata! Iyo 126,400 Kila mwezi kama kawaida!
Jamani huyu jamaa afanyeje hapo katika mazingira haya!
Asanteni