Wizara ya Fedha, BoT na TAKUKURU imulikeni Letshego /Faidika Tanzania ni majambazi

Hofu-less

JF-Expert Member
May 19, 2014
520
1,031
Hii ni taasisi ya Fedha inayojihusisha na mikopo kwa wafanyakazi na wafanyabiashara
Juni 2021 mfanyakazi (sitamtaja) alikopa ths 3,500,000 kwa makato ya Tsh 126,400 kwa mwezi,

Sasa picha limeanza mwaka huu mfanyakaz akataka kuwalipa deni lao (kumbuka ameshakatwa kama miezi 20)
Toka Juni 2021,

Kwanza wakasema balance Yao mpaka uende kwenye branchi zao za mikoa na kwa kesi yake yeye ikabidi aende Morogoro mjini, Akajaza fomu kuomba kupewa deni lake Ili alipe (afute mkopo) wakamwambia balance haitoki kirahisi hivyo ni mpaka miezi mitatu! Akasema sawa akarudi zake kijijin

Tarehe 6 (alhamis) Kabla ya Pasaka wakamwambia balance yake imetoka akachukue
Kutoka siku Ile Hadi kufika Moro goro mjini ni ngumu,
Kesho yake ilikua ijumaa kuu,
Na jumatatu ikawa ni jumatatu ya Pasaka!
Akaenda jumanne akaletewa deni la 3,930,000 ( na kumbuka alishakatwa zaidi ya miezi 20 !! Makato ya 126400 ambapo ukizidisha toka Juni 2021 Hadi march (126400*21= 2,654,400) ambayo tayari ilishalipwa..

Lakini jamaa akasema potelea pote akaamua kuwalipa iyo 3.93 m!
Baada ya kusoma iyo statement wameandika pesa mwisho kulipa ni tr 14!
Kumbuka hapo wameweka siku 7 Bila kuhesabu wikiend au zile siku za pasaka!
Jamaa kajipinda kaja kulipa tar 17 (siku 3) mbele
Anapeleka risiti Letshego wanasema amechelewa kulipa na hivyo aongeze 56,000 kama faini!!

Jamaa uvumilivu ukamshinda akasema haongezi pesa!
Na wao wakasema wataendelea kumkata! Iyo 126,400 Kila mwezi kama kawaida!

Jamani huyu jamaa afanyeje hapo katika mazingira haya!

Asanteni
 
Hizi microfinance za kuangaalia kwa jicho latatu hivi hizo nguvu wanaitolea wapi kwa mfano. Walikuja kunishawishi sana nikope zaidi ya miezi 6 watu wakanaambia hao watu wanashida uskope huko. Nikweli hawana masharti mengi ila mateso yake ni hayo bora ukope Benki Crdb, Nmb,Nbc,Azania Bank, Amana bak na nyenginezo ili mradi iwe Bank
 
Hizi microfinance za kuangaalia kwa jicho latatu hivi hizo nguvu wanaitolea wapi kwa mfano. Walikuja kunishawishi sana nikope zaidi ya miezi 6 watu wakanaambia hao watu wanashida uskope huko. Nikweli hawana masharti mengi ila mateso yake ni hayo bora ukope Benki Crdb, Nmb,Nbc,Azania Bank, Amana bak na nyenginezo ili mradi iwe Bank
Iko hivi, hao watakuja kufungiwa na BOT very soon, kesi za hivi ni nzuri mno. Kwanza inaonekana kuna ukiukwaji wa sheria za fedha!
 
Hii ni taasisi ya Fedha inayojihusisha na mikopo kwa wafanyakazi na wafanyabiashara
Juni 2021 mfanyakazi (sitamtaja) alikopa ths 3,500,000 kwa makato ya Tsh 126,400 kwa mwezi,

Sasa picha limeanza mwaka huu mfanyakaz akataka kuwalipa deni lao (kumbuka ameshakatwa kama miezi 20)
Toka Juni 2021,

Kwanza wakasema balance Yao mpaka uende kwenye branchi zao za mikoa na kwa kesi yake yeye ikabidi aende Morogoro mjini, Akajaza fomu kuomba kupewa deni lake Ili alipe (afute mkopo) wakamwambia balance haitoki kirahisi hivyo ni mpaka miezi mitatu! Akasema sawa akarudi zake kijijin

Tarehe 6 (alhamis) Kabla ya Pasaka wakamwambia balance yake imetoka akachukue
Kutoka siku Ile Hadi kufika Moro goro mjini ni ngumu,
Kesho yake ilikua ijumaa kuu,
Na jumatatu ikawa ni jumatatu ya Pasaka!
Akaenda jumanne akaletewa deni la 3,930,000 ( na kumbuka alishakatwa zaidi ya miezi 20 !! Makato ya 126400 ambapo ukizidisha toka Juni 2021 Hadi march (126400*21= 2,654,400) ambayo tayari ilishalipwa..

Lakini jamaa akasema potelea pote akaamua kuwalipa iyo 3.93 m!
Baada ya kusoma iyo statement wameandika pesa mwisho kulipa ni tr 14!
Kumbuka hapo wameweka siku 7 Bila kuhesabu wikiend au zile siku za pasaka!
Jamaa kajipinda kaja kulipa tar 17 (siku 3) mbele
Anapeleka risiti Letshego wanasema amechelewa kulipa na hivyo aongeze 56,000 kama faini!!

Jamaa uvumilivu ukamshinda akasema haongezi pesa!
Na wao wakasema wataendelea kumkata! Iyo 126,400 Kila mwezi kama kawaida!

Jamani huyu jamaa afanyeje hapo katika mazingira haya!

Asanteni
hiyo ni shida yetu wabongo, kila kitu kinajulikana kabla ya kukopa, wakati unahitaji hela akili unaweka mfukoni, hutaki kujua masharti kabisa, una saini tu
baadaye ndo unatoa akili mfukoni
kama anahisi kuna uonevu aende bot wachunguze
 
hiyo ni shida yetu wabongo, kila kitu kinajulikana kabla ya kukopa, wakati unahitaji hela akili unaweka mfukoni, hutaki kujua masharti kabisa, una saini tu
baadaye ndo unatoa akili mfukoni
kama anahisi kuna uonevu aende bot wachunguze
Nitamshauri mkutane mahakamani
 
Inaonekana kwenye hizo Microfinance kuna hela za nje nje, ngoja nifanye utaratibu nisajili Micro-finance moja niwakopeshe Wakulima kwa return ya Mazao
Ni hatari usijaribu mkuu wangu. Jinsi sheria zilivyo ni kwamba wanakuacha unafanya ujinga siku wakija wanakulambusha Money laundering. Very soon microfinance nyingi wamiliki wake watafungwa. Stay tuned mkuu, sheria zake ni kali mno! Ila watu wengi hawajui ingawa walifundishwa
 
Atafute mwanasheria mzuri kabisa
Then atarudishiwa ghalama yake wala wasimtishe atapiga hela ndefu sana akiwashitaki hakuna cha mkataba wala nn
 
Ni hatari usijaribu mkuu wangu. Jinsi sheria zilivyo ni kwamba wanakuacha unafanya ujinga siku wakija wanakulambusha Money laundering. Very soon microfinance nyingi wamiliki wake watafungwa. Stay tuned mkuu, sheria zake ni kali mno! Ila watu wengi hawajui ingawa walifundishwa
Kumbe sheria ziko tight, nilidhani ingekuwa rahisi ili nipige hela kwa Wakulima
 
Back
Top Bottom