Sarakasi za Deus Seif na Abubakari Alawi kukisambaratisha Chama cha Walimu Tanzania

HaMachiach

JF-Expert Member
Dec 15, 2015
3,399
6,077
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo tarehe 28 Juni 2022 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani ambapo walikaa siku 5 tu kisha wakawa nje kwa falsafa yao ya kwamba “HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI” Baada ya kumaliza kifungo chao, wamekuwa wakifanya harakati kadhaa ikiwemo kujisafisha, na kwa kutumia mbinu wanazozijua wao walifutiwa makosa yao na kuwa huru hii inathibishwa na mwenendo wa kesi (court proceedings). Baada ya hapo walianza harakati za kuuchafua uongozi uliopo madarakani kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwatumia baadhi ya waliokuwa viongozi wa CWT lengo likiwa ni kujaribu kurejea tena madarakani.

Mmoja ya watu hao ni mwalimu Jerry Paulo Msangi mwalimu wa Shule ya Sekondari Tandika aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Temeke ambaye aliondolewa madarakani na mkutano mkuu wa CWT wilaya kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa viongozi ikiwemo kuwatukana na kuwadhalilisha kwenye mitandao ya kijamii(picha yake hapo juu). Deus na Alawi wamekuwa wakiwafadhili watu wa aina hiyo huku wakikosa hoja za msingi katika kuthibitisha tuhuma na madai yao.

View attachment 2588697
Tarehe 12 April 2023, Jerry aliongea na vyombo vya habari akizusha tuhuma zifuatazo.

  1. Kuwatuhumu viongozi wa CWT Bi Leah Ulaya Rais wa Chama na Japhet Maganga Katibu Mkuu akidai wamekataa uteuzi wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania katika nafasi za ukuu wa wilaya; Je taarifa ya kwamba wamekataa uteuzi na kwamba wamemuandikia Rais barua za kukataa uteuzi yeye alizipata wapi? Kwa nini hakuthibitisha kwenye vyombo vya habari? Na Je yeye anajua ni kipi viongozi hao walichozungumza na mamlaka ya uteuzi? Viongozi anaowatuhumu, waliomba na kuchaguliwa na wanachama kuwa kwenye nafasi walizopo. Kwa nini haoni kama walikuwa na haki ya kuendelea kutumikia nafasi walizochaguliwa na wanachama? Kwa mfano wangekuwa wamekataa nafasi walizoteuliwa kwazo, je hili ni kosa la kinidhamu kwenye utumishi? Je hawa ni viongozi wa kwanza kuteuliwa na kutoenda kwenye nafasi walizoteuliwa? Jibu ni hapana. Viongozi waliowahi kupata uteuzi na kutokwenda waliwahi kuwajibishwa? Jibu ni hapana. Jerry anachokisema hakielewi kwa sababu ametumwa tu kusema.
  2. Kuutuhumu Mkutano Mkuu wa CWT Disemba 2022 kuwa ulihongwa kumrejesha Bi. Leah Ulaya Rais wa Chama Madarakani. Mwaka 2020 mwezi Julai, Deus na Alawi kupitia kamati ya Utendaji ya Taifa na kupitia hoja binafsi zilizoletwa na mwalimu Westenslaus Leo aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Manyara na Mwalimu Chacha wa Karatu, Seif na Alawi kwa kuwahonga wajumbe wa baraza la taifa walimsimamisha uongozi Bi. Leah Ulaya ambaye alikuwa kikwazo cha upigaji wa fedha na rasilimali za chama. Sanjari na hilo, ililetwa pia hoja binafsi iliyoandaliwa na Seif na Alawi ya kumsimamisha Japhet Maganga nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu lakini haikukidhi vigezo kwa kuwa ililetwa siku 5 badala ya siku 7 kabla ya kikao hivyo ikatupiliwa mbali. Mkutano wa Disemba 2022 uliletewa hoja ya baraza la taifa ya kuthibitisha kuondolewa madarakani kwa Leah Ulaya, Mkutano Mkuu kama chombo cha mwisho cha maamuzi kwa mujibu wa katiba ya CWT kilitengua maamuzi ya baraza la taifa na kumrejesha madarakani Bi. Leah Ulaya aliyeonewa na baraza la taifa.
  3. Kutotambua uhalali wa Japhet Maganga kuwa Katibu Mkuu; Huu ni uthibitisho wa kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Temeke ni ama haifahamu vema katiba ya Chama chake ama anatumika na baadhi ya watu wenye maslahi binafsi wanaojaribu kupindisha Katiba ya CWT iliyobainisha wazi kwamba Katibu Mkuu anapokua au amefariki, au kujiuzulu, au kuondolewa madarakani kwa namna yoyote naibu katibu mkuu moja kwa moja (Automatically) anakuwa ndiye katibu mkuu na nafasi ya naibu inajazwa na baraza la taifa ambalo limekaimishwa mamlaka hiyo na mkutano mkuu wa chama. Ukifananisha na Katiba ya Nchi yetu ni sawa sawa na leo hii mtu kuhoji uhalali wa uwepo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha kwamba eti hakupigiwa kura kuwa Rais. Huu ni upunguwani wa mawazo. Jerry ni mmoja wa vibaraka wanaotumika na watu kufanya jambo asilolijua pengine ufadhili wa kifedha aliokuwa akipatiwa na Deus na Alawi siku zilizopita ndio ulikuwa unamponza.
  4. Kumtuhumu Katibu Mkuu kufanya hamisho mbalimbali za watumishi na baadhi kutowapangia vituo; Jerry ni mbumbumbu wa katiba ya chama chake, ninamshauri akasome katiba ya CWT toleo la VI 2014 na kanuni za utumishi za chama cha walimu kanuni ya 2.17(a) ambayo inampa Katibu Mkuu uhalali au mamlaka kumhamisha mtumishi yeyote mahala popote kadri atakavyoona inafaa ili kumsaidia kwenye utekelezaji wa majukumu ikiwemo kurahisisha kutoa utoaji wa huduma kwa walimu. Kuhusu Makatibu kutokuwepo kwenye vituo na kulipwa mishahara, ametoa mifano ya Abubakari Mpimbi na Amani Msanga, asichokifahamu jerry ni kwamba wakati wa swahiba yake Deus, makatibu wafuatao walisimamishwa kazi wakakaa nyumbani na kulipwa mishahara kwa miaka kadhaa na wengine hadi leo.
Jina la Katibu Alipokuwepo

1. Nuru Shenkalwa Katibu Mkoa Manyara

2. Veronica Mtalo Katibu Mkoa Arusha

3. Fraten Kwahison Katibu Mkoa Rukwa

4. Leonard Kisamba Katibu Mkoa Lindi

5. Steven Mnguto Katibu Wilaya Kibaha

6. Prosper Lubuva Katibu Bukoba Manispaa

7. Salum Musoma Katibu Wilaya Namtumbo

8. Godfrey Irumba Katibu Moshi Manispaa

9. Alphonse Mbasa Katibu Wilaya Mkalama

10. Joyce Maisa Katibu Wilaya Ubungo

11. Sarabanzi Katibu Wilaya Chato

Makatibu hawa 11 kwa uchache, Jerry Hafahamu kama walisimamishwa kazi na Deus?

Hafahamu pia kwamba maafisa wa CWT Makao Makuu, Mwandile Kiguhe, Prosper Lubuva, Simon Keha na Dagobeth Deogratius aliwashusha vyeo kutoka ukuu wa idara na ukuu wa idara wasaidizi makao makuu kuwa makatibu wa wilaya?

Jerry hafahamu utitiri wa wafanyakazi wa CWT walioamua kustaafu kabla ya muda wa lazima kwa kumuogopa Deus kuwaangamiza?

Mwalimu Jerry mbona hasemi kwamba makatibu Muhtasi 27 wa ngazi za wilaya na mikoa Deus aliwaondoa kazini bila kuwalipa stahiki zao?

Mwalimu Jerry kwa nini hasemi kwamba Deus alimuajiri aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Taifa akiwakilisha mkoa wa Mara, Munubi Sabato aliyebainishwa na serikali kuwa na cheti feki kumuajiri kuwa katibu wa wilaya ya Mpanda?

Kwa nini hasemi pia kwamba Deus Seif aliajiri wafanyakazi 8 wote kutoka Geita alikokua afisa elimu kuwa wafanyakazi wa makao makuu akiwemo dereva wa familia yake Faraji Kanyama na mtoto wa Shemeji yake dada wa mke wake Ancila Protas kama katibu wake Muhtasi?

Kwa nini Jerry habainishi kwamba Queen Augustino Luvanda(aliyebainishwa na jerry kama mwanasheria mkuu wa chama cheo ambacho hakipo) Deus alifanikisha kumuajiri kama mwanasheria akitokea Geita huku akiwa na ajira mbili, ile ya likizo bila malipo na ile ya kudumu ya CWT kwa wakati mmoja ambayo ni makosa makubwa?

Kwa nini jerry hasemi kwamba Deus alimuajiri kwa nafasi ya uhasibu Marietha Masanja aliyekuwa nae kama Mhasibu wa manispaa Geita akiwa na mikataba 2, ule wa likizo bila malipo miaka 3 na ule wa ajira ya kudumu CWT? Haoni kwamba hawa wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa na ajira 2?

Kwa nini Jerry hasemi kwamba mwalimu Alexander wakati Deus akiwa afisa elimu Geita DC alikua afisa elimu wake wa takwimu na vifaa na sasa amemuajiri makao makuu kwenye idara ya huduma kwa walimu?

Kuhusu suala la Tshirt za Meimosi, Jerry amechochewa na Deus kulisema jambo hili. Huu ni uongo kwani mchakato wa Tshirt anaufahamuje wakati hana nafasi ya kujua mchakato wake na akiwa kama nani ndani ya chama, Habari alizozitoa kwenye mazungumzo yake na vyombo vya habari alizipata wapi? Alichoongea ni umbea na uzishi Hapa lengo lake ni kuzusha taharuki miongoni mwa walimu. Na kama ana ushahidi wowote si angepeleka mahakamani au TAKUKURU?

Kwa nini hasemi kwamba kuna suala la Deus Seif na Abubakari Alawi na baadhi ya maafisa wa chama waliofanya ufisadi kwenye manunuzi ya Tshirt za 2021 ambapo TAKUKURU hata baada ya kukamilishiwa kila aina ya ushahidi bado wamekaa kimya?

Suala hili ni la muda mrefu na gumu, na siku ya Mei Mosi walimu watabeba mabango ya kumuomba mheshiwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatilia suala la ufisadi kupitia manunuzi ya fulana na kofia 2021 uliofanywa na chama na suala hili TAKUKURU wanalo kwa miaka 2 hakuna kinachofanyika. Walimu wamepania na utaratibu wa kukamilisha namna ya kumfahamisha mheshimiwa Rais kwa njia ya mabango ya walimu umeshakamilika na utaratibiwa vema.

Kinachoonekana kuhusiana na kinachoendelea ndani ya CWT ni vurugu na propaganda zinazoanzishwa na kusimamiwa na genge linalofadhiliwa na Deus Seif na Abubakari Alawi linalofanya mambo mawili.

1. Kuupotosha umma na wanachama wa CWT

2. Kutoa picha isiyo sahihi kuhusu viongozi wa CWT, Kamati ya utendaji ya taifa na namna wanavyokiendesha chama.

Ni vema ifahamike kwamba, baada ya mahakama kuu kutoa maamuzi ya kuwafutia makosa Deus Seif na Abubakari Alawi kama yalivyokuwa yemebainishwa na mahakama ya Kisutu, taarifa ya viongozi hao kuwa huru imewapa matumaini ya wao kurejea tena ndani ya chama cha walimu kuendelea kukihujumu chama na ndio maana wanawatumia watu kama Jerry Msangi, Erick Msangi, Evod Kanyayangio na Mwandala Nachacha kuendelea kukichafua chama. Ifahamike kuwa wanayoyazungumza sio msimamo wa walimu bali ni misimamo yao, matumbo yao na ya Mabwana zao. Ni vema tukasubiri hukumu ya mahakama ya rufaa baada ya Jamhuri kukata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyowasafisha Deus Seif na Abubakari Alawi ambao ni miongoni mwa walimu matajiri zaidi Tanzania waliojipatia fedha kwa kuwahujumu walimu wenzao wakimiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kiiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.
This is 2023 broh...
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi,
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi,
kwenye time travel watanzania tuko vizuri.
 
🤣🤣🤣walimu bana halafu mkidharauliwa hadi na bodaboda mnaanza kutafuta huruma ya jamii 🙏tumewachokaaa
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani ambapo walikaa siku 5 tu kisha wakawa nje kwa falsafa yao ya kwamba “HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI” Baada ya kumaliza kifungo chao, wamekuwa wakifanya harakati kadhaa ikiwemo kujisafisha, na kwa kutumia mbinu wanazozijua wao walifutiwa makosa yao na kuwa huru hii inathibishwa na mwenendo wa kesi (court proceedings). Baada ya hapo walianza harakati za kuuchafua uongozi uliopo madarakani kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwatumia baadhi ya waliokuwa viongozi wa CWT lengo likiwa ni kujaribu kurejea tena madarakani.

Mmoja ya watu hao ni mwalimu Jerry Paulo Msangi mwalimu wa Shule ya Sekondari Tandika aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Temeke ambaye aliondolewa madarakani na mkutano mkuu wa CWT wilaya kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa viongozi ikiwemo kuwatukana na kuwadhalilisha kwenye mitandao ya kijamii(picha yake hapo juu). Deus na Alawi wamekuwa wakiwafadhili watu wa aina hiyo huku wakikosa hoja za msingi katika kuthibitisha tuhuma na madai yao.

View attachment 2588697
Tarehe 12 April 2023, Jerry aliongea na vyombo vya habari akizusha tuhuma zifuatazo.



  1. Kuwatuhumu viongozi wa CWT Bi Leah Ulaya Rais wa Chama na Japhet Maganga Katibu Mkuu akidai wamekataa uteuzi wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania katika nafasi za ukuu wa wilaya; Je taarifa ya kwamba wamekataa uteuzi na kwamba wamemuandikia Rais barua za kukataa uteuzi yeye alizipata wapi? Kwa nini hakuthibitisha kwenye vyombo vya habari? Na Je yeye anajua ni kipi viongozi hao walichozungumza na mamlaka ya uteuzi? Viongozi anaowatuhumu, waliomba na kuchaguliwa na wanachama kuwa kwenye nafasi walizopo. Kwa nini haoni kama walikuwa na haki ya kuendelea kutumikia nafasi walizochaguliwa na wanachama? Kwa mfano wangekuwa wamekataa nafasi walizoteuliwa kwazo, je hili ni kosa la kinidhamu kwenye utumishi? Je hawa ni viongozi wa kwanza kuteuliwa na kutoenda kwenye nafasi walizoteuliwa? Jibu ni hapana. Viongozi waliowahi kupata uteuzi na kutokwenda waliwahi kuwajibishwa? Jibu ni hapana. Jerry anachokisema hakielewi kwa sababu ametumwa tu kusema.
  2. Kuutuhumu Mkutano Mkuu wa CWT Disemba 2022 kuwa ulihongwa kumrejesha Bi. Leah Ulaya Rais wa Chama Madarakani. Mwaka 2020 mwezi Julai, Deus na Alawi kupitia kamati ya Utendaji ya Taifa na kupitia hoja binafsi zilizoletwa na mwalimu Westenslaus Leo aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Manyara na Mwalimu Chacha wa Karatu, Seif na Alawi kwa kuwahonga wajumbe wa baraza la taifa walimsimamisha uongozi Bi. Leah Ulaya ambaye alikuwa kikwazo cha upigaji wa fedha na rasilimali za chama. Sanjari na hilo, ililetwa pia hoja binafsi iliyoandaliwa na Seif na Alawi ya kumsimamisha Japhet Maganga nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu lakini haikukidhi vigezo kwa kuwa ililetwa siku 5 badala ya siku 7 kabla ya kikao hivyo ikatupiliwa mbali. Mkutano wa Disemba 2022 uliletewa hoja ya baraza la taifa ya kuthibitisha kuondolewa madarakani kwa Leah Ulaya, Mkutano Mkuu kama chombo cha mwisho cha maamuzi kwa mujibu wa katiba ya CWT kilitengua maamuzi ya baraza la taifa na kumrejesha madarakani Bi. Leah Ulaya aliyeonewa na baraza la taifa.
  3. Kutotambua uhalali wa Japhet Maganga kuwa Katibu Mkuu; Huu ni uthibitisho wa kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Temeke ni ama haifahamu vema katiba ya Chama chake ama anatumika na baadhi ya watu wenye maslahi binafsi wanaojaribu kupindisha Katiba ya CWT iliyobainisha wazi kwamba Katibu Mkuu anapokua au amefariki, au kujiuzulu, au kuondolewa madarakani kwa namna yoyote naibu katibu mkuu moja kwa moja (Automatically) anakuwa ndiye katibu mkuu na nafasi ya naibu inajazwa na baraza la taifa ambalo limekaimishwa mamlaka hiyo na mkutano mkuu wa chama. Ukifananisha na Katiba ya Nchi yetu ni sawa sawa na leo hii mtu kuhoji uhalali wa uwepo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha kwamba eti hakupigiwa kura kuwa Rais. Huu ni upunguwani wa mawazo. Jerry ni mmoja wa vibaraka wanaotumika na watu kufanya jambo asilolijua pengine ufadhili wa kifedha aliokuwa akipatiwa na Deus na Alawi siku zilizopita ndio ulikuwa unamponza.
  4. Kumtuhumu Katibu Mkuu kufanya hamisho mbalimbali za watumishi na baadhi kutowapangia vituo; Jerry ni mbumbumbu wa katiba ya chama chake, ninamshauri akasome katiba ya CWT toleo la VI 2014 na kanuni za utumishi za chama cha walimu kanuni ya 2.17(a) ambayo inampa Katibu Mkuu uhalali au mamlaka kumhamisha mtumishi yeyote mahala popote kadri atakavyoona inafaa ili kumsaidia kwenye utekelezaji wa majukumu ikiwemo kurahisisha kutoa utoaji wa huduma kwa walimu. Kuhusu Makatibu kutokuwepo kwenye vituo na kulipwa mishahara, ametoa mifano ya Abubakari Mpimbi na Amani Msanga, asichokifahamu jerry ni kwamba wakati wa swahiba yake Deus, makatibu wafuatao walisimamishwa kazi wakakaa nyumbani na kulipwa mishahara kwa miaka kadhaa na wengine hadi leo.
Jina la Katibu Alipokuwepo

1. Nuru Shenkalwa Katibu Mkoa Manyara

2. Veronica Mtalo Katibu Mkoa Arusha

3. Fraten Kwahison Katibu Mkoa Rukwa

4. Leonard Kisamba Katibu Mkoa Lindi

5. Steven Mnguto Katibu Wilaya Kibaha

6. Prosper Lubuva Katibu Bukoba Manispaa

7. Salum Musoma Katibu Wilaya Namtumbo

8. Godfrey Irumba Katibu Moshi Manispaa

9. Alphonse Mbasa Katibu Wilaya Mkalama

10. Joyce Maisa Katibu Wilaya Ubungo

11. Sarabanzi Katibu Wilaya Chato

Makatibu hawa 11 kwa uchache, Jerry Hafahamu kama walisimamishwa kazi na Deus?

Hafahamu pia kwamba maafisa wa CWT Makao Makuu, Mwandile Kiguhe, Prosper Lubuva, Simon Keha na Dagobeth Deogratius aliwashusha vyeo kutoka ukuu wa idara na ukuu wa idara wasaidizi makao makuu kuwa makatibu wa wilaya?

Jerry hafahamu utitiri wa wafanyakazi wa CWT walioamua kustaafu kabla ya muda wa lazima kwa kumuogopa Deus kuwaangamiza?

Mwalimu Jerry mbona hasemi kwamba makatibu Muhtasi 27 wa ngazi za wilaya na mikoa Deus aliwaondoa kazini bila kuwalipa stahiki zao?

Mwalimu Jerry kwa nini hasemi kwamba Deus alimuajiri aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Taifa akiwakilisha mkoa wa Mara, Munubi Sabato aliyebainishwa na serikali kuwa na cheti feki kumuajiri kuwa katibu wa wilaya ya Mpanda?

Kwa nini hasemi pia kwamba Deus Seif aliajiri wafanyakazi 8 wote kutoka Geita alikokua afisa elimu kuwa wafanyakazi wa makao makuu akiwemo dereva wa familia yake Faraji Kanyama na mtoto wa Shemeji yake dada wa mke wake Ancila Protas kama katibu wake Muhtasi?

Kwa nini Jerry habainishi kwamba Queen Augustino Luvanda(aliyebainishwa na jerry kama mwanasheria mkuu wa chama cheo ambacho hakipo) Deus alifanikisha kumuajiri kama mwanasheria akitokea Geita huku akiwa na ajira mbili, ile ya likizo bila malipo na ile ya kudumu ya CWT kwa wakati mmoja ambayo ni makosa makubwa?

Kwa nini jerry hasemi kwamba Deus alimuajiri kwa nafasi ya uhasibu Marietha Masanja aliyekuwa nae kama Mhasibu wa manispaa Geita akiwa na mikataba 2, ule wa likizo bila malipo miaka 3 na ule wa ajira ya kudumu CWT? Haoni kwamba hawa wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa na ajira 2?

Kwa nini Jerry hasemi kwamba mwalimu Alexander wakati Deus akiwa afisa elimu Geita DC alikua afisa elimu wake wa takwimu na vifaa na sasa amemuajiri makao makuu kwenye idara ya huduma kwa walimu?



Kuhusu suala la Tshirt za Meimosi, Jerry amechochewa na Deus kulisema jambo hili. Huu ni uongo kwani mchakato wa Tshirt anaufahamuje wakati hana nafasi ya kujua mchakato wake na akiwa kama nani ndani ya chama, Habari alizozitoa kwenye mazungumzo yake na vyombo vya habari alizipata wapi? Alichoongea ni umbea na uzishi Hapa lengo lake ni kuzusha taharuki miongoni mwa walimu. Na kama ana ushahidi wowote si angepeleka mahakamani au TAKUKURU?

Kwa nini hasemi kwamba kuna suala la Deus Seif na Abubakari Alawi na baadhi ya maafisa wa chama waliofanya ufisadi kwenye manunuzi ya Tshirt za 2021 ambapo TAKUKURU hata baada ya kukamilishiwa kila aina ya ushahidi bado wamekaa kimya?

Suala hili ni la muda mrefu na gumu, na siku ya Mei Mosi walimu watabeba mabango ya kumuomba mheshiwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatilia suala la ufisadi kupitia manunuzi ya fulana na kofia 2021 uliofanywa na chama na suala hili TAKUKURU wanalo kwa miaka 2 hakuna kinachofanyika. Walimu wamepania na utaratibu wa kukamilisha namna ya kumfahamisha mheshimiwa Rais kwa njia ya mabango ya walimu umeshakamilika na utaratibiwa vema.



Kinachoonekana kuhusiana na kinachoendelea ndani ya CWT ni vurugu na propaganda zinazoanzishwa na kusimamiwa na genge linalofadhiliwa na Deus Seif na Abubakari Alawi linalofanya mambo mawili.

1. Kuupotosha umma na wanachama wa CWT

2. Kutoa picha isiyo sahihi kuhusu viongozi wa CWT, Kamati ya utendaji ya taifa na namna wanavyokiendesha chama.

Ni vema ifahamike kwamba, baada ya mahakama kuu kutoa maamuzi ya kuwafutia makosa Deus Seif na Abubakari Alawi kama yalivyokuwa yemebainishwa na mahakama ya Kisutu, taarifa ya viongozi hao kuwa huru imewapa matumaini ya wao kurejea tena ndani ya chama cha walimu kuendelea kukihujumu chama na ndio maana wanawatumia watu kama Jerry Msangi, Erick Msangi, Evod Kanyayangio na Mwandala Nachacha kuendelea kukichafua chama. Ifahamike kuwa wanayoyazungumza sio msimamo wa walimu bali ni misimamo yao, matumbo yao na ya Mabwana zao. Ni vema tukasubiri hukumu ya mahakama ya rufaa baada ya Jamhuri kukata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyowasafisha Deus Seif na Abubakari Alawi ambao ni miongoni mwa walimu matajiri zaidi Tanzania waliojipatia fedha kwa kuwahujumu walimu wenzao wakimiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.
Miaka inakimbia, kumbe tuko 2028!
 
CWT, CCM, TUCTA, HELSB, TANESCO, BUNGE, nk zote hizi ni 🚮 tu. Hivyo ni vizuri tu zikapuuzwa.
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani ambapo walikaa siku 5 tu kisha wakawa nje kwa falsafa yao ya kwamba “HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI” Baada ya kumaliza kifungo chao, wamekuwa wakifanya harakati kadhaa ikiwemo kujisafisha, na kwa kutumia mbinu wanazozijua wao walifutiwa makosa yao na kuwa huru hii inathibishwa na mwenendo wa kesi (court proceedings). Baada ya hapo walianza harakati za kuuchafua uongozi uliopo madarakani kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwatumia baadhi ya waliokuwa viongozi wa CWT lengo likiwa ni kujaribu kurejea tena madarakani.

Mmoja ya watu hao ni mwalimu Jerry Paulo Msangi mwalimu wa Shule ya Sekondari Tandika aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Temeke ambaye aliondolewa madarakani na mkutano mkuu wa CWT wilaya kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa viongozi ikiwemo kuwatukana na kuwadhalilisha kwenye mitandao ya kijamii(picha yake hapo juu). Deus na Alawi wamekuwa wakiwafadhili watu wa aina hiyo huku wakikosa hoja za msingi katika kuthibitisha tuhuma na madai yao.

View attachment 2588697
Tarehe 12 April 2023, Jerry aliongea na vyombo vya habari akizusha tuhuma zifuatazo.



  1. Kuwatuhumu viongozi wa CWT Bi Leah Ulaya Rais wa Chama na Japhet Maganga Katibu Mkuu akidai wamekataa uteuzi wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania katika nafasi za ukuu wa wilaya; Je taarifa ya kwamba wamekataa uteuzi na kwamba wamemuandikia Rais barua za kukataa uteuzi yeye alizipata wapi? Kwa nini hakuthibitisha kwenye vyombo vya habari? Na Je yeye anajua ni kipi viongozi hao walichozungumza na mamlaka ya uteuzi? Viongozi anaowatuhumu, waliomba na kuchaguliwa na wanachama kuwa kwenye nafasi walizopo. Kwa nini haoni kama walikuwa na haki ya kuendelea kutumikia nafasi walizochaguliwa na wanachama? Kwa mfano wangekuwa wamekataa nafasi walizoteuliwa kwazo, je hili ni kosa la kinidhamu kwenye utumishi? Je hawa ni viongozi wa kwanza kuteuliwa na kutoenda kwenye nafasi walizoteuliwa? Jibu ni hapana. Viongozi waliowahi kupata uteuzi na kutokwenda waliwahi kuwajibishwa? Jibu ni hapana. Jerry anachokisema hakielewi kwa sababu ametumwa tu kusema.
  2. Kuutuhumu Mkutano Mkuu wa CWT Disemba 2022 kuwa ulihongwa kumrejesha Bi. Leah Ulaya Rais wa Chama Madarakani. Mwaka 2020 mwezi Julai, Deus na Alawi kupitia kamati ya Utendaji ya Taifa na kupitia hoja binafsi zilizoletwa na mwalimu Westenslaus Leo aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Manyara na Mwalimu Chacha wa Karatu, Seif na Alawi kwa kuwahonga wajumbe wa baraza la taifa walimsimamisha uongozi Bi. Leah Ulaya ambaye alikuwa kikwazo cha upigaji wa fedha na rasilimali za chama. Sanjari na hilo, ililetwa pia hoja binafsi iliyoandaliwa na Seif na Alawi ya kumsimamisha Japhet Maganga nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu lakini haikukidhi vigezo kwa kuwa ililetwa siku 5 badala ya siku 7 kabla ya kikao hivyo ikatupiliwa mbali. Mkutano wa Disemba 2022 uliletewa hoja ya baraza la taifa ya kuthibitisha kuondolewa madarakani kwa Leah Ulaya, Mkutano Mkuu kama chombo cha mwisho cha maamuzi kwa mujibu wa katiba ya CWT kilitengua maamuzi ya baraza la taifa na kumrejesha madarakani Bi. Leah Ulaya aliyeonewa na baraza la taifa.
  3. Kutotambua uhalali wa Japhet Maganga kuwa Katibu Mkuu; Huu ni uthibitisho wa kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Temeke ni ama haifahamu vema katiba ya Chama chake ama anatumika na baadhi ya watu wenye maslahi binafsi wanaojaribu kupindisha Katiba ya CWT iliyobainisha wazi kwamba Katibu Mkuu anapokua au amefariki, au kujiuzulu, au kuondolewa madarakani kwa namna yoyote naibu katibu mkuu moja kwa moja (Automatically) anakuwa ndiye katibu mkuu na nafasi ya naibu inajazwa na baraza la taifa ambalo limekaimishwa mamlaka hiyo na mkutano mkuu wa chama. Ukifananisha na Katiba ya Nchi yetu ni sawa sawa na leo hii mtu kuhoji uhalali wa uwepo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha kwamba eti hakupigiwa kura kuwa Rais. Huu ni upunguwani wa mawazo. Jerry ni mmoja wa vibaraka wanaotumika na watu kufanya jambo asilolijua pengine ufadhili wa kifedha aliokuwa akipatiwa na Deus na Alawi siku zilizopita ndio ulikuwa unamponza.
  4. Kumtuhumu Katibu Mkuu kufanya hamisho mbalimbali za watumishi na baadhi kutowapangia vituo; Jerry ni mbumbumbu wa katiba ya chama chake, ninamshauri akasome katiba ya CWT toleo la VI 2014 na kanuni za utumishi za chama cha walimu kanuni ya 2.17(a) ambayo inampa Katibu Mkuu uhalali au mamlaka kumhamisha mtumishi yeyote mahala popote kadri atakavyoona inafaa ili kumsaidia kwenye utekelezaji wa majukumu ikiwemo kurahisisha kutoa utoaji wa huduma kwa walimu. Kuhusu Makatibu kutokuwepo kwenye vituo na kulipwa mishahara, ametoa mifano ya Abubakari Mpimbi na Amani Msanga, asichokifahamu jerry ni kwamba wakati wa swahiba yake Deus, makatibu wafuatao walisimamishwa kazi wakakaa nyumbani na kulipwa mishahara kwa miaka kadhaa na wengine hadi leo.
Jina la Katibu Alipokuwepo

1. Nuru Shenkalwa Katibu Mkoa Manyara

2. Veronica Mtalo Katibu Mkoa Arusha

3. Fraten Kwahison Katibu Mkoa Rukwa

4. Leonard Kisamba Katibu Mkoa Lindi

5. Steven Mnguto Katibu Wilaya Kibaha

6. Prosper Lubuva Katibu Bukoba Manispaa

7. Salum Musoma Katibu Wilaya Namtumbo

8. Godfrey Irumba Katibu Moshi Manispaa

9. Alphonse Mbasa Katibu Wilaya Mkalama

10. Joyce Maisa Katibu Wilaya Ubungo

11. Sarabanzi Katibu Wilaya Chato

Makatibu hawa 11 kwa uchache, Jerry Hafahamu kama walisimamishwa kazi na Deus?

Hafahamu pia kwamba maafisa wa CWT Makao Makuu, Mwandile Kiguhe, Prosper Lubuva, Simon Keha na Dagobeth Deogratius aliwashusha vyeo kutoka ukuu wa idara na ukuu wa idara wasaidizi makao makuu kuwa makatibu wa wilaya?

Jerry hafahamu utitiri wa wafanyakazi wa CWT walioamua kustaafu kabla ya muda wa lazima kwa kumuogopa Deus kuwaangamiza?

Mwalimu Jerry mbona hasemi kwamba makatibu Muhtasi 27 wa ngazi za wilaya na mikoa Deus aliwaondoa kazini bila kuwalipa stahiki zao?

Mwalimu Jerry kwa nini hasemi kwamba Deus alimuajiri aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Taifa akiwakilisha mkoa wa Mara, Munubi Sabato aliyebainishwa na serikali kuwa na cheti feki kumuajiri kuwa katibu wa wilaya ya Mpanda?

Kwa nini hasemi pia kwamba Deus Seif aliajiri wafanyakazi 8 wote kutoka Geita alikokua afisa elimu kuwa wafanyakazi wa makao makuu akiwemo dereva wa familia yake Faraji Kanyama na mtoto wa Shemeji yake dada wa mke wake Ancila Protas kama katibu wake Muhtasi?

Kwa nini Jerry habainishi kwamba Queen Augustino Luvanda(aliyebainishwa na jerry kama mwanasheria mkuu wa chama cheo ambacho hakipo) Deus alifanikisha kumuajiri kama mwanasheria akitokea Geita huku akiwa na ajira mbili, ile ya likizo bila malipo na ile ya kudumu ya CWT kwa wakati mmoja ambayo ni makosa makubwa?

Kwa nini jerry hasemi kwamba Deus alimuajiri kwa nafasi ya uhasibu Marietha Masanja aliyekuwa nae kama Mhasibu wa manispaa Geita akiwa na mikataba 2, ule wa likizo bila malipo miaka 3 na ule wa ajira ya kudumu CWT? Haoni kwamba hawa wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa na ajira 2?

Kwa nini Jerry hasemi kwamba mwalimu Alexander wakati Deus akiwa afisa elimu Geita DC alikua afisa elimu wake wa takwimu na vifaa na sasa amemuajiri makao makuu kwenye idara ya huduma kwa walimu?



Kuhusu suala la Tshirt za Meimosi, Jerry amechochewa na Deus kulisema jambo hili. Huu ni uongo kwani mchakato wa Tshirt anaufahamuje wakati hana nafasi ya kujua mchakato wake na akiwa kama nani ndani ya chama, Habari alizozitoa kwenye mazungumzo yake na vyombo vya habari alizipata wapi? Alichoongea ni umbea na uzishi Hapa lengo lake ni kuzusha taharuki miongoni mwa walimu. Na kama ana ushahidi wowote si angepeleka mahakamani au TAKUKURU?

Kwa nini hasemi kwamba kuna suala la Deus Seif na Abubakari Alawi na baadhi ya maafisa wa chama waliofanya ufisadi kwenye manunuzi ya Tshirt za 2021 ambapo TAKUKURU hata baada ya kukamilishiwa kila aina ya ushahidi bado wamekaa kimya?

Suala hili ni la muda mrefu na gumu, na siku ya Mei Mosi walimu watabeba mabango ya kumuomba mheshiwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatilia suala la ufisadi kupitia manunuzi ya fulana na kofia 2021 uliofanywa na chama na suala hili TAKUKURU wanalo kwa miaka 2 hakuna kinachofanyika. Walimu wamepania na utaratibu wa kukamilisha namna ya kumfahamisha mheshimiwa Rais kwa njia ya mabango ya walimu umeshakamilika na utaratibiwa vema.



Kinachoonekana kuhusiana na kinachoendelea ndani ya CWT ni vurugu na propaganda zinazoanzishwa na kusimamiwa na genge linalofadhiliwa na Deus Seif na Abubakari Alawi linalofanya mambo mawili.

1. Kuupotosha umma na wanachama wa CWT

2. Kutoa picha isiyo sahihi kuhusu viongozi wa CWT, Kamati ya utendaji ya taifa na namna wanavyokiendesha chama.

Ni vema ifahamike kwamba, baada ya mahakama kuu kutoa maamuzi ya kuwafutia makosa Deus Seif na Abubakari Alawi kama yalivyokuwa yemebainishwa na mahakama ya Kisutu, taarifa ya viongozi hao kuwa huru imewapa matumaini ya wao kurejea tena ndani ya chama cha walimu kuendelea kukihujumu chama na ndio maana wanawatumia watu kama Jerry Msangi, Erick Msangi, Evod Kanyayangio na Mwandala Nachacha kuendelea kukichafua chama. Ifahamike kuwa wanayoyazungumza sio msimamo wa walimu bali ni misimamo yao, matumbo yao na ya Mabwana zao. Ni vema tukasubiri hukumu ya mahakama ya rufaa baada ya Jamhuri kukata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyowasafisha Deus Seif na Abubakari Alawi ambao ni miongoni mwa walimu matajiri zaidi Tanzania waliojipatia fedha kwa kuwahujumu walimu wenzao wakimiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani ambapo walikaa siku 5 tu kisha wakawa nje kwa falsafa yao ya kwamba “HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI” Baada ya kumaliza kifungo chao, wamekuwa wakifanya harakati kadhaa ikiwemo kujisafisha, na kwa kutumia mbinu wanazozijua wao walifutiwa makosa yao na kuwa huru hii inathibishwa na mwenendo wa kesi (court proceedings). Baada ya hapo walianza harakati za kuuchafua uongozi uliopo madarakani kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwatumia baadhi ya waliokuwa viongozi wa CWT lengo likiwa ni kujaribu kurejea tena madarakani.

Mmoja ya watu hao ni mwalimu Jerry Paulo Msangi mwalimu wa Shule ya Sekondari Tandika aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Temeke ambaye aliondolewa madarakani na mkutano mkuu wa CWT wilaya kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa viongozi ikiwemo kuwatukana na kuwadhalilisha kwenye mitandao ya kijamii(picha yake hapo juu). Deus na Alawi wamekuwa wakiwafadhili watu wa aina hiyo huku wakikosa hoja za msingi katika kuthibitisha tuhuma na madai yao.

View attachment 2588697
Tarehe 12 April 2023, Jerry aliongea na vyombo vya habari akizusha tuhuma zifuatazo.



  1. Kuwatuhumu viongozi wa CWT Bi Leah Ulaya Rais wa Chama na Japhet Maganga Katibu Mkuu akidai wamekataa uteuzi wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania katika nafasi za ukuu wa wilaya; Je taarifa ya kwamba wamekataa uteuzi na kwamba wamemuandikia Rais barua za kukataa uteuzi yeye alizipata wapi? Kwa nini hakuthibitisha kwenye vyombo vya habari? Na Je yeye anajua ni kipi viongozi hao walichozungumza na mamlaka ya uteuzi? Viongozi anaowatuhumu, waliomba na kuchaguliwa na wanachama kuwa kwenye nafasi walizopo. Kwa nini haoni kama walikuwa na haki ya kuendelea kutumikia nafasi walizochaguliwa na wanachama? Kwa mfano wangekuwa wamekataa nafasi walizoteuliwa kwazo, je hili ni kosa la kinidhamu kwenye utumishi? Je hawa ni viongozi wa kwanza kuteuliwa na kutoenda kwenye nafasi walizoteuliwa? Jibu ni hapana. Viongozi waliowahi kupata uteuzi na kutokwenda waliwahi kuwajibishwa? Jibu ni hapana. Jerry anachokisema hakielewi kwa sababu ametumwa tu kusema.
  2. Kuutuhumu Mkutano Mkuu wa CWT Disemba 2022 kuwa ulihongwa kumrejesha Bi. Leah Ulaya Rais wa Chama Madarakani. Mwaka 2020 mwezi Julai, Deus na Alawi kupitia kamati ya Utendaji ya Taifa na kupitia hoja binafsi zilizoletwa na mwalimu Westenslaus Leo aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Manyara na Mwalimu Chacha wa Karatu, Seif na Alawi kwa kuwahonga wajumbe wa baraza la taifa walimsimamisha uongozi Bi. Leah Ulaya ambaye alikuwa kikwazo cha upigaji wa fedha na rasilimali za chama. Sanjari na hilo, ililetwa pia hoja binafsi iliyoandaliwa na Seif na Alawi ya kumsimamisha Japhet Maganga nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu lakini haikukidhi vigezo kwa kuwa ililetwa siku 5 badala ya siku 7 kabla ya kikao hivyo ikatupiliwa mbali. Mkutano wa Disemba 2022 uliletewa hoja ya baraza la taifa ya kuthibitisha kuondolewa madarakani kwa Leah Ulaya, Mkutano Mkuu kama chombo cha mwisho cha maamuzi kwa mujibu wa katiba ya CWT kilitengua maamuzi ya baraza la taifa na kumrejesha madarakani Bi. Leah Ulaya aliyeonewa na baraza la taifa.
  3. Kutotambua uhalali wa Japhet Maganga kuwa Katibu Mkuu; Huu ni uthibitisho wa kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Temeke ni ama haifahamu vema katiba ya Chama chake ama anatumika na baadhi ya watu wenye maslahi binafsi wanaojaribu kupindisha Katiba ya CWT iliyobainisha wazi kwamba Katibu Mkuu anapokua au amefariki, au kujiuzulu, au kuondolewa madarakani kwa namna yoyote naibu katibu mkuu moja kwa moja (Automatically) anakuwa ndiye katibu mkuu na nafasi ya naibu inajazwa na baraza la taifa ambalo limekaimishwa mamlaka hiyo na mkutano mkuu wa chama. Ukifananisha na Katiba ya Nchi yetu ni sawa sawa na leo hii mtu kuhoji uhalali wa uwepo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha kwamba eti hakupigiwa kura kuwa Rais. Huu ni upunguwani wa mawazo. Jerry ni mmoja wa vibaraka wanaotumika na watu kufanya jambo asilolijua pengine ufadhili wa kifedha aliokuwa akipatiwa na Deus na Alawi siku zilizopita ndio ulikuwa unamponza.
  4. Kumtuhumu Katibu Mkuu kufanya hamisho mbalimbali za watumishi na baadhi kutowapangia vituo; Jerry ni mbumbumbu wa katiba ya chama chake, ninamshauri akasome katiba ya CWT toleo la VI 2014 na kanuni za utumishi za chama cha walimu kanuni ya 2.17(a) ambayo inampa Katibu Mkuu uhalali au mamlaka kumhamisha mtumishi yeyote mahala popote kadri atakavyoona inafaa ili kumsaidia kwenye utekelezaji wa majukumu ikiwemo kurahisisha kutoa utoaji wa huduma kwa walimu. Kuhusu Makatibu kutokuwepo kwenye vituo na kulipwa mishahara, ametoa mifano ya Abubakari Mpimbi na Amani Msanga, asichokifahamu jerry ni kwamba wakati wa swahiba yake Deus, makatibu wafuatao walisimamishwa kazi wakakaa nyumbani na kulipwa mishahara kwa miaka kadhaa na wengine hadi leo.
Jina la Katibu Alipokuwepo

1. Nuru Shenkalwa Katibu Mkoa Manyara

2. Veronica Mtalo Katibu Mkoa Arusha

3. Fraten Kwahison Katibu Mkoa Rukwa

4. Leonard Kisamba Katibu Mkoa Lindi

5. Steven Mnguto Katibu Wilaya Kibaha

6. Prosper Lubuva Katibu Bukoba Manispaa

7. Salum Musoma Katibu Wilaya Namtumbo

8. Godfrey Irumba Katibu Moshi Manispaa

9. Alphonse Mbasa Katibu Wilaya Mkalama

10. Joyce Maisa Katibu Wilaya Ubungo

11. Sarabanzi Katibu Wilaya Chato

Makatibu hawa 11 kwa uchache, Jerry Hafahamu kama walisimamishwa kazi na Deus?

Hafahamu pia kwamba maafisa wa CWT Makao Makuu, Mwandile Kiguhe, Prosper Lubuva, Simon Keha na Dagobeth Deogratius aliwashusha vyeo kutoka ukuu wa idara na ukuu wa idara wasaidizi makao makuu kuwa makatibu wa wilaya?

Jerry hafahamu utitiri wa wafanyakazi wa CWT walioamua kustaafu kabla ya muda wa lazima kwa kumuogopa Deus kuwaangamiza?

Mwalimu Jerry mbona hasemi kwamba makatibu Muhtasi 27 wa ngazi za wilaya na mikoa Deus aliwaondoa kazini bila kuwalipa stahiki zao?

Mwalimu Jerry kwa nini hasemi kwamba Deus alimuajiri aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Taifa akiwakilisha mkoa wa Mara, Munubi Sabato aliyebainishwa na serikali kuwa na cheti feki kumuajiri kuwa katibu wa wilaya ya Mpanda?

Kwa nini hasemi pia kwamba Deus Seif aliajiri wafanyakazi 8 wote kutoka Geita alikokua afisa elimu kuwa wafanyakazi wa makao makuu akiwemo dereva wa familia yake Faraji Kanyama na mtoto wa Shemeji yake dada wa mke wake Ancila Protas kama katibu wake Muhtasi?

Kwa nini Jerry habainishi kwamba Queen Augustino Luvanda(aliyebainishwa na jerry kama mwanasheria mkuu wa chama cheo ambacho hakipo) Deus alifanikisha kumuajiri kama mwanasheria akitokea Geita huku akiwa na ajira mbili, ile ya likizo bila malipo na ile ya kudumu ya CWT kwa wakati mmoja ambayo ni makosa makubwa?

Kwa nini jerry hasemi kwamba Deus alimuajiri kwa nafasi ya uhasibu Marietha Masanja aliyekuwa nae kama Mhasibu wa manispaa Geita akiwa na mikataba 2, ule wa likizo bila malipo miaka 3 na ule wa ajira ya kudumu CWT? Haoni kwamba hawa wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa na ajira 2?

Kwa nini Jerry hasemi kwamba mwalimu Alexander wakati Deus akiwa afisa elimu Geita DC alikua afisa elimu wake wa takwimu na vifaa na sasa amemuajiri makao makuu kwenye idara ya huduma kwa walimu?



Kuhusu suala la Tshirt za Meimosi, Jerry amechochewa na Deus kulisema jambo hili. Huu ni uongo kwani mchakato wa Tshirt anaufahamuje wakati hana nafasi ya kujua mchakato wake na akiwa kama nani ndani ya chama, Habari alizozitoa kwenye mazungumzo yake na vyombo vya habari alizipata wapi? Alichoongea ni umbea na uzishi Hapa lengo lake ni kuzusha taharuki miongoni mwa walimu. Na kama ana ushahidi wowote si angepeleka mahakamani au TAKUKURU?

Kwa nini hasemi kwamba kuna suala la Deus Seif na Abubakari Alawi na baadhi ya maafisa wa chama waliofanya ufisadi kwenye manunuzi ya Tshirt za 2021 ambapo TAKUKURU hata baada ya kukamilishiwa kila aina ya ushahidi bado wamekaa kimya?

Suala hili ni la muda mrefu na gumu, na siku ya Mei Mosi walimu watabeba mabango ya kumuomba mheshiwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatilia suala la ufisadi kupitia manunuzi ya fulana na kofia 2021 uliofanywa na chama na suala hili TAKUKURU wanalo kwa miaka 2 hakuna kinachofanyika. Walimu wamepania na utaratibu wa kukamilisha namna ya kumfahamisha mheshimiwa Rais kwa njia ya mabango ya walimu umeshakamilika na utaratibiwa vema.



Kinachoonekana kuhusiana na kinachoendelea ndani ya CWT ni vurugu na propaganda zinazoanzishwa na kusimamiwa na genge linalofadhiliwa na Deus Seif na Abubakari Alawi linalofanya mambo mawili.

1. Kuupotosha umma na wanachama wa CWT

2. Kutoa picha isiyo sahihi kuhusu viongozi wa CWT, Kamati ya utendaji ya taifa na namna wanavyokiendesha chama.

Ni vema ifahamike kwamba, baada ya mahakama kuu kutoa maamuzi ya kuwafutia makosa Deus Seif na Abubakari Alawi kama yalivyokuwa yemebainishwa na mahakama ya Kisutu, taarifa ya viongozi hao kuwa huru imewapa matumaini ya wao kurejea tena ndani ya chama cha walimu kuendelea kukihujumu chama na ndio maana wanawatumia watu kama Jerry Msangi, Erick Msangi, Evod Kanyayangio na Mwandala Nachacha kuendelea kukichafua chama. Ifahamike kuwa wanayoyazungumza sio msimamo wa walimu bali ni misimamo yao, matumbo yao na ya Mabwana zao. Ni vema tukasubiri hukumu ya mahakama ya rufaa baada ya Jamhuri kukata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyowasafisha Deus Seif na Abubakari Alawi ambao ni miongoni mwa walimu matajiri zaidi Tanzania waliojipatia fedha kwa kuwahujumu walimu wenzao wakimiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.
F1f1f1f666166266666666662722666626266667666666162621126 F1f1f1f666166266666666662722666626266667666666162621126 z 2621126
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo Juni 2028 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani ambapo walikaa siku 5 tu kisha wakawa nje kwa falsafa yao ya kwamba “HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI” Baada ya kumaliza kifungo chao, wamekuwa wakifanya harakati kadhaa ikiwemo kujisafisha, na kwa kutumia mbinu wanazozijua wao walifutiwa makosa yao na kuwa huru hii inathibishwa na mwenendo wa kesi (court proceedings). Baada ya hapo walianza harakati za kuuchafua uongozi uliopo madarakani kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwatumia baadhi ya waliokuwa viongozi wa CWT lengo likiwa ni kujaribu kurejea tena madarakani.

Mmoja ya watu hao ni mwalimu Jerry Paulo Msangi mwalimu wa Shule ya Sekondari Tandika aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Temeke ambaye aliondolewa madarakani na mkutano mkuu wa CWT wilaya kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa viongozi ikiwemo kuwatukana na kuwadhalilisha kwenye mitandao ya kijamii(picha yake hapo juu). Deus na Alawi wamekuwa wakiwafadhili watu wa aina hiyo huku wakikosa hoja za msingi katika kuthibitisha tuhuma na madai yao.

View attachment 2588697
Tarehe 12 April 2023, Jerry aliongea na vyombo vya habari akizusha tuhuma zifuatazo.



  1. Kuwatuhumu viongozi wa CWT Bi Leah Ulaya Rais wa Chama na Japhet Maganga Katibu Mkuu akidai wamekataa uteuzi wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania katika nafasi za ukuu wa wilaya; Je taarifa ya kwamba wamekataa uteuzi na kwamba wamemuandikia Rais barua za kukataa uteuzi yeye alizipata wapi? Kwa nini hakuthibitisha kwenye vyombo vya habari? Na Je yeye anajua ni kipi viongozi hao walichozungumza na mamlaka ya uteuzi? Viongozi anaowatuhumu, waliomba na kuchaguliwa na wanachama kuwa kwenye nafasi walizopo. Kwa nini haoni kama walikuwa na haki ya kuendelea kutumikia nafasi walizochaguliwa na wanachama? Kwa mfano wangekuwa wamekataa nafasi walizoteuliwa kwazo, je hili ni kosa la kinidhamu kwenye utumishi? Je hawa ni viongozi wa kwanza kuteuliwa na kutoenda kwenye nafasi walizoteuliwa? Jibu ni hapana. Viongozi waliowahi kupata uteuzi na kutokwenda waliwahi kuwajibishwa? Jibu ni hapana. Jerry anachokisema hakielewi kwa sababu ametumwa tu kusema.
  2. Kuutuhumu Mkutano Mkuu wa CWT Disemba 2022 kuwa ulihongwa kumrejesha Bi. Leah Ulaya Rais wa Chama Madarakani. Mwaka 2020 mwezi Julai, Deus na Alawi kupitia kamati ya Utendaji ya Taifa na kupitia hoja binafsi zilizoletwa na mwalimu Westenslaus Leo aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Manyara na Mwalimu Chacha wa Karatu, Seif na Alawi kwa kuwahonga wajumbe wa baraza la taifa walimsimamisha uongozi Bi. Leah Ulaya ambaye alikuwa kikwazo cha upigaji wa fedha na rasilimali za chama. Sanjari na hilo, ililetwa pia hoja binafsi iliyoandaliwa na Seif na Alawi ya kumsimamisha Japhet Maganga nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu lakini haikukidhi vigezo kwa kuwa ililetwa siku 5 badala ya siku 7 kabla ya kikao hivyo ikatupiliwa mbali. Mkutano wa Disemba 2022 uliletewa hoja ya baraza la taifa ya kuthibitisha kuondolewa madarakani kwa Leah Ulaya, Mkutano Mkuu kama chombo cha mwisho cha maamuzi kwa mujibu wa katiba ya CWT kilitengua maamuzi ya baraza la taifa na kumrejesha madarakani Bi. Leah Ulaya aliyeonewa na baraza la taifa.
  3. Kutotambua uhalali wa Japhet Maganga kuwa Katibu Mkuu; Huu ni uthibitisho wa kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Temeke ni ama haifahamu vema katiba ya Chama chake ama anatumika na baadhi ya watu wenye maslahi binafsi wanaojaribu kupindisha Katiba ya CWT iliyobainisha wazi kwamba Katibu Mkuu anapokua au amefariki, au kujiuzulu, au kuondolewa madarakani kwa namna yoyote naibu katibu mkuu moja kwa moja (Automatically) anakuwa ndiye katibu mkuu na nafasi ya naibu inajazwa na baraza la taifa ambalo limekaimishwa mamlaka hiyo na mkutano mkuu wa chama. Ukifananisha na Katiba ya Nchi yetu ni sawa sawa na leo hii mtu kuhoji uhalali wa uwepo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha kwamba eti hakupigiwa kura kuwa Rais. Huu ni upunguwani wa mawazo. Jerry ni mmoja wa vibaraka wanaotumika na watu kufanya jambo asilolijua pengine ufadhili wa kifedha aliokuwa akipatiwa na Deus na Alawi siku zilizopita ndio ulikuwa unamponza.
  4. Kumtuhumu Katibu Mkuu kufanya hamisho mbalimbali za watumishi na baadhi kutowapangia vituo; Jerry ni mbumbumbu wa katiba ya chama chake, ninamshauri akasome katiba ya CWT toleo la VI 2014 na kanuni za utumishi za chama cha walimu kanuni ya 2.17(a) ambayo inampa Katibu Mkuu uhalali au mamlaka kumhamisha mtumishi yeyote mahala popote kadri atakavyoona inafaa ili kumsaidia kwenye utekelezaji wa majukumu ikiwemo kurahisisha kutoa utoaji wa huduma kwa walimu. Kuhusu Makatibu kutokuwepo kwenye vituo na kulipwa mishahara, ametoa mifano ya Abubakari Mpimbi na Amani Msanga, asichokifahamu jerry ni kwamba wakati wa swahiba yake Deus, makatibu wafuatao walisimamishwa kazi wakakaa nyumbani na kulipwa mishahara kwa miaka kadhaa na wengine hadi leo.
Jina la Katibu Alipokuwepo

1. Nuru Shenkalwa Katibu Mkoa Manyara

2. Veronica Mtalo Katibu Mkoa Arusha

3. Fraten Kwahison Katibu Mkoa Rukwa

4. Leonard Kisamba Katibu Mkoa Lindi

5. Steven Mnguto Katibu Wilaya Kibaha

6. Prosper Lubuva Katibu Bukoba Manispaa

7. Salum Musoma Katibu Wilaya Namtumbo

8. Godfrey Irumba Katibu Moshi Manispaa

9. Alphonse Mbasa Katibu Wilaya Mkalama

10. Joyce Maisa Katibu Wilaya Ubungo

11. Sarabanzi Katibu Wilaya Chato

Makatibu hawa 11 kwa uchache, Jerry Hafahamu kama walisimamishwa kazi na Deus?

Hafahamu pia kwamba maafisa wa CWT Makao Makuu, Mwandile Kiguhe, Prosper Lubuva, Simon Keha na Dagobeth Deogratius aliwashusha vyeo kutoka ukuu wa idara na ukuu wa idara wasaidizi makao makuu kuwa makatibu wa wilaya?

Jerry hafahamu utitiri wa wafanyakazi wa CWT walioamua kustaafu kabla ya muda wa lazima kwa kumuogopa Deus kuwaangamiza?

Mwalimu Jerry mbona hasemi kwamba makatibu Muhtasi 27 wa ngazi za wilaya na mikoa Deus aliwaondoa kazini bila kuwalipa stahiki zao?

Mwalimu Jerry kwa nini hasemi kwamba Deus alimuajiri aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Taifa akiwakilisha mkoa wa Mara, Munubi Sabato aliyebainishwa na serikali kuwa na cheti feki kumuajiri kuwa katibu wa wilaya ya Mpanda?

Kwa nini hasemi pia kwamba Deus Seif aliajiri wafanyakazi 8 wote kutoka Geita alikokua afisa elimu kuwa wafanyakazi wa makao makuu akiwemo dereva wa familia yake Faraji Kanyama na mtoto wa Shemeji yake dada wa mke wake Ancila Protas kama katibu wake Muhtasi?

Kwa nini Jerry habainishi kwamba Queen Augustino Luvanda(aliyebainishwa na jerry kama mwanasheria mkuu wa chama cheo ambacho hakipo) Deus alifanikisha kumuajiri kama mwanasheria akitokea Geita huku akiwa na ajira mbili, ile ya likizo bila malipo na ile ya kudumu ya CWT kwa wakati mmoja ambayo ni makosa makubwa?

Kwa nini jerry hasemi kwamba Deus alimuajiri kwa nafasi ya uhasibu Marietha Masanja aliyekuwa nae kama Mhasibu wa manispaa Geita akiwa na mikataba 2, ule wa likizo bila malipo miaka 3 na ule wa ajira ya kudumu CWT? Haoni kwamba hawa wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa na ajira 2?

Kwa nini Jerry hasemi kwamba mwalimu Alexander wakati Deus akiwa afisa elimu Geita DC alikua afisa elimu wake wa takwimu na vifaa na sasa amemuajiri makao makuu kwenye idara ya huduma kwa walimu?



Kuhusu suala la Tshirt za Meimosi, Jerry amechochewa na Deus kulisema jambo hili. Huu ni uongo kwani mchakato wa Tshirt anaufahamuje wakati hana nafasi ya kujua mchakato wake na akiwa kama nani ndani ya chama, Habari alizozitoa kwenye mazungumzo yake na vyombo vya habari alizipata wapi? Alichoongea ni umbea na uzishi Hapa lengo lake ni kuzusha taharuki miongoni mwa walimu. Na kama ana ushahidi wowote si angepeleka mahakamani au TAKUKURU?

Kwa nini hasemi kwamba kuna suala la Deus Seif na Abubakari Alawi na baadhi ya maafisa wa chama waliofanya ufisadi kwenye manunuzi ya Tshirt za 2021 ambapo TAKUKURU hata baada ya kukamilishiwa kila aina ya ushahidi bado wamekaa kimya?

Suala hili ni la muda mrefu na gumu, na siku ya Mei Mosi walimu watabeba mabango ya kumuomba mheshiwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatilia suala la ufisadi kupitia manunuzi ya fulana na kofia 2021 uliofanywa na chama na suala hili TAKUKURU wanalo kwa miaka 2 hakuna kinachofanyika. Walimu wamepania na utaratibu wa kukamilisha namna ya kumfahamisha mheshimiwa Rais kwa njia ya mabango ya walimu umeshakamilika na utaratibiwa vema.



Kinachoonekana kuhusiana na kinachoendelea ndani ya CWT ni vurugu na propaganda zinazoanzishwa na kusimamiwa na genge linalofadhiliwa na Deus Seif na Abubakari Alawi linalofanya mambo mawili.

1. Kuupotosha umma na wanachama wa CWT

2. Kutoa picha isiyo sahihi kuhusu viongozi wa CWT, Kamati ya utendaji ya taifa na namna wanavyokiendesha chama.

Ni vema ifahamike kw554df55dd 66 6, 6 ya 6666611111 kuu kutoa maamuzi ya kuwafutia makosa Deus Seif na Abubakari Alawi kama yalivyokuwa yemebainishwa na mahakama ya Kisutu, taarifa ya viongozi hao kuwa huru imewapa matumaini ya wao kurejea tena ndani ya chama cha walimu kuendelea kukihujumu hujambo hujambo j j hujambo chama na ndio maana wanawatumia watu kama J555251erry Msangi, Erick Msangi, Evod Kanyayangio na Mwandala Nachacha kuendelea kukichafua chama. Ifahamike kuwa wanayoyazungumza sio msimamo wa walimu bali ni misimamo yao, matumbo yao na ya Mabwana zao. Ni vema tukasubiri hukumu ya mahakama ya rufaa baada ya Jamhuri kukata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyowasafisha Deus Seif na Abubakari Alawi ambao ni miongoni mwa walimu matajiri zaidi Tanzania waliojipatia fedha kwa kuwahujumu walimu wenzao wakimiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.

a
 
Watajwa hapo juu, Deus Seif aliyekuwa Katibu Mkuu wa CWT na Abubakari Alawi aliyekuwa mwekahazina wa taifa wa CWT mnamo tarehe 28 Juni 2022 walitiwa hatiani na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la uhujumu uchumi, Uchepushaji wa fedha za walimu na matumizi mabaya ya madaraka. Katika hali ya kushangaza kwa kosa kubwa kama hilo, walihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani ambapo walikaa siku 5 tu kisha wakawa nje kwa falsafa yao ya kwamba “HAKUNA MKATE MGUMU MBELE YA CHAI” Baada ya kumaliza kifungo chao, wamekuwa wakifanya harakati kadhaa ikiwemo kujisafisha, na kwa kutumia mbinu wanazozijua wao walifutiwa makosa yao na kuwa huru hii inathibishwa na mwenendo wa kesi (court proceedings). Baada ya hapo walianza harakati za kuuchafua uongozi uliopo madarakani kwenye vyombo vya habari na kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwatumia baadhi ya waliokuwa viongozi wa CWT lengo likiwa ni kujaribu kurejea tena madarakani.

Mmoja ya watu hao ni mwalimu Jerry Paulo Msangi mwalimu wa Shule ya Sekondari Tandika aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Temeke ambaye aliondolewa madarakani na mkutano mkuu wa CWT wilaya kwa makosa ya utovu wa nidhamu kwa viongozi ikiwemo kuwatukana na kuwadhalilisha kwenye mitandao ya kijamii(picha yake hapo juu). Deus na Alawi wamekuwa wakiwafadhili watu wa aina hiyo huku wakikosa hoja za msingi katika kuthibitisha tuhuma na madai yao.

View attachment 2588697
Tarehe 12 April 2023, Jerry aliongea na vyombo vya habari akizusha tuhuma zifuatazo.



  1. Kuwatuhumu viongozi wa CWT Bi Leah Ulaya Rais wa Chama na Japhet Maganga Katibu Mkuu akidai wamekataa uteuzi wa Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania katika nafasi za ukuu wa wilaya; Je taarifa ya kwamba wamekataa uteuzi na kwamba wamemuandikia Rais barua za kukataa uteuzi yeye alizipata wapi? Kwa nini hakuthibitisha kwenye vyombo vya habari? Na Je yeye anajua ni kipi viongozi hao walichozungumza na mamlaka ya uteuzi? Viongozi anaowatuhumu, waliomba na kuchaguliwa na wanachama kuwa kwenye nafasi walizopo. Kwa nini haoni kama walikuwa na haki ya kuendelea kutumikia nafasi walizochaguliwa na wanachama? Kwa mfano wangekuwa wamekataa nafasi walizoteuliwa kwazo, je hili ni kosa la kinidhamu kwenye utumishi? Je hawa ni viongozi wa kwanza kuteuliwa na kutoenda kwenye nafasi walizoteuliwa? Jibu ni hapana. Viongozi waliowahi kupata uteuzi na kutokwenda waliwahi kuwajibishwa? Jibu ni hapana. Jerry anachokisema hakielewi kwa sababu ametumwa tu kusema.
  2. Kuutuhumu Mkutano Mkuu wa CWT Disemba 2022 kuwa ulihongwa kumrejesha Bi. Leah Ulaya Rais wa Chama Madarakani. Mwaka 2020 mwezi Julai, Deus na Alawi kupitia kamati ya Utendaji ya Taifa na kupitia hoja binafsi zilizoletwa na mwalimu Westenslaus Leo aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Manyara na Mwalimu Chacha wa Karatu, Seif na Alawi kwa kuwahonga wajumbe wa baraza la taifa walimsimamisha uongozi Bi. Leah Ulaya ambaye alikuwa kikwazo cha upigaji wa fedha na rasilimali za chama. Sanjari na hilo, ililetwa pia hoja binafsi iliyoandaliwa na Seif na Alawi ya kumsimamisha Japhet Maganga nafasi ya Unaibu Katibu Mkuu lakini haikukidhi vigezo kwa kuwa ililetwa siku 5 badala ya siku 7 kabla ya kikao hivyo ikatupiliwa mbali. Mkutano wa Disemba 2022 uliletewa hoja ya baraza la taifa ya kuthibitisha kuondolewa madarakani kwa Leah Ulaya, Mkutano Mkuu kama chombo cha mwisho cha maamuzi kwa mujibu wa katiba ya CWT kilitengua maamuzi ya baraza la taifa na kumrejesha madarakani Bi. Leah Ulaya aliyeonewa na baraza la taifa.
  3. Kutotambua uhalali wa Japhet Maganga kuwa Katibu Mkuu; Huu ni uthibitisho wa kwamba aliyekuwa Mwenyekiti wa CWT wilaya ya Temeke ni ama haifahamu vema katiba ya Chama chake ama anatumika na baadhi ya watu wenye maslahi binafsi wanaojaribu kupindisha Katiba ya CWT iliyobainisha wazi kwamba Katibu Mkuu anapokua au amefariki, au kujiuzulu, au kuondolewa madarakani kwa namna yoyote naibu katibu mkuu moja kwa moja (Automatically) anakuwa ndiye katibu mkuu na nafasi ya naibu inajazwa na baraza la taifa ambalo limekaimishwa mamlaka hiyo na mkutano mkuu wa chama. Ukifananisha na Katiba ya Nchi yetu ni sawa sawa na leo hii mtu kuhoji uhalali wa uwepo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kigezo cha kwamba eti hakupigiwa kura kuwa Rais. Huu ni upunguwani wa mawazo. Jerry ni mmoja wa vibaraka wanaotumika na watu kufanya jambo asilolijua pengine ufadhili wa kifedha aliokuwa akipatiwa na Deus na Alawi siku zilizopita ndio ulikuwa unamponza.
  4. Kumtuhumu Katibu Mkuu kufanya hamisho mbalimbali za watumishi na baadhi kutowapangia vituo; Jerry ni mbumbumbu wa katiba ya chama chake, ninamshauri akasome katiba ya CWT toleo la VI 2014 na kanuni za utumishi za chama cha walimu kanuni ya 2.17(a) ambayo inampa Katibu Mkuu uhalali au mamlaka kumhamisha mtumishi yeyote mahala popote kadri atakavyoona inafaa ili kumsaidia kwenye utekelezaji wa majukumu ikiwemo kurahisisha kutoa utoaji wa huduma kwa walimu. Kuhusu Makatibu kutokuwepo kwenye vituo na kulipwa mishahara, ametoa mifano ya Abubakari Mpimbi na Amani Msanga, asichokifahamu jerry ni kwamba wakati wa swahiba yake Deus, makatibu wafuatao walisimamishwa kazi wakakaa nyumbani na kulipwa mishahara kwa miaka kadhaa na wengine hadi leo.
Jina la Katibu Alipokuwepo

1. Nuru Shenkalwa Katibu Mkoa Manyara

2. Veronica Mtalo Katibu Mkoa Arusha

3. Fraten Kwahison Katibu Mkoa Rukwa

4. Leonard Kisamba Katibu Mkoa Lindi

5. Steven Mnguto Katibu Wilaya Kibaha

6. Prosper Lubuva Katibu Bukoba Manispaa

7. Salum Musoma Katibu Wilaya Namtumbo

8. Godfrey Irumba Katibu Moshi Manispaa

9. Alphonse Mbasa Katibu Wilaya Mkalama

10. Joyce Maisa Katibu Wilaya Ubungo

11. Sarabanzi Katibu Wilaya Chato

Makatibu hawa 11 kwa uchache, Jerry Hafahamu kama walisimamishwa kazi na Deus?

Hafahamu pia kwamba maafisa wa CWT Makao Makuu, Mwandile Kiguhe, Prosper Lubuva, Simon Keha na Dagobeth Deogratius aliwashusha vyeo kutoka ukuu wa idara na ukuu wa idara wasaidizi makao makuu kuwa makatibu wa wilaya?

Jerry hafahamu utitiri wa wafanyakazi wa CWT walioamua kustaafu kabla ya muda wa lazima kwa kumuogopa Deus kuwaangamiza?

Mwalimu Jerry mbona hasemi kwamba makatibu Muhtasi 27 wa ngazi za wilaya na mikoa Deus aliwaondoa kazini bila kuwalipa stahiki zao?

Mwalimu Jerry kwa nini hasemi kwamba Deus alimuajiri aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Taifa akiwakilisha mkoa wa Mara, Munubi Sabato aliyebainishwa na serikali kuwa na cheti feki kumuajiri kuwa katibu wa wilaya ya Mpanda?

Kwa nini hasemi pia kwamba Deus Seif aliajiri wafanyakazi 8 wote kutoka Geita alikokua afisa elimu kuwa wafanyakazi wa makao makuu akiwemo dereva wa familia yake Faraji Kanyama na mtoto wa Shemeji yake dada wa mke wake Ancila Protas kama katibu wake Muhtasi?

Kwa nini Jerry habainishi kwamba Queen Augustino Luvanda(aliyebainishwa na jerry kama mwanasheria mkuu wa chama cheo ambacho hakipo) Deus alifanikisha kumuajiri kama mwanasheria akitokea Geita huku akiwa na ajira mbili, ile ya likizo bila malipo na ile ya kudumu ya CWT kwa wakati mmoja ambayo ni makosa makubwa?

Kwa nini jerry hasemi kwamba Deus alimuajiri kwa nafasi ya uhasibu Marietha Masanja aliyekuwa nae kama Mhasibu wa manispaa Geita akiwa na mikataba 2, ule wa likizo bila malipo miaka 3 na ule wa ajira ya kudumu CWT? Haoni kwamba hawa wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa na ajira 2?

Kwa nini Jerry hasemi kwamba mwalimu Alexander wakati Deus akiwa afisa elimu Geita DC alikua afisa elimu wake wa takwimu na vifaa na sasa amemuajiri makao makuu kwenye idara ya huduma kwa walimu?



Kuhusu suala la Tshirt za Meimosi, Jerry amechochewa na Deus kulisema jambo hili. Huu ni uongo kwani mchakato wa Tshirt anaufahamuje wakati hana nafasi ya kujua mchakato wake na akiwa kama nani ndani ya chama, Habari alizozitoa kwenye mazungumzo yake na vyombo vya habari alizipata wapi? Alichoongea ni umbea na uzishi Hapa lengo lake ni kuzusha taharuki miongoni mwa walimu. Na kama ana ushahidi wowote si angepeleka mahakamani au TAKUKURU?

Kwa nini hasemi kwamba kuna suala la Deus Seif na Abubakari Alawi na baadhi ya maafisa wa chama waliofanya ufisadi kwenye manunuzi ya Tshirt za 2021 ambapo TAKUKURU hata baada ya kukamilishiwa kila aina ya ushahidi bado wamekaa kimya?

Suala hili ni la muda mrefu na gumu, na siku ya Mei Mosi walimu watabeba mabango ya kumuomba mheshiwa Rais ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatilia suala la ufisadi kupitia manunuzi ya fulana na kofia 2021 uliofanywa na chama na suala hili TAKUKURU wanalo kwa miaka 2 hakuna kinachofanyika. Walimu wamepania na utaratibu wa kukamilisha namna ya kumfahamisha mheshimiwa Rais kwa njia ya mabango ya walimu umeshakamilika na utaratibiwa vema.



Kinachoonekana kuhusiana na kinachoendelea ndani ya CWT ni vurugu na propaganda zinazoanzishwa na kusimamiwa na genge linalofadhiliwa na Deus Seif na Abubakari Alawi linalofanya mambo mawili.

1. Kuupotosha umma na wanachama wa CWT

2. Kutoa picha isiyo sahihi kuhusu viongozi wa CWT, Kamati ya utendaji ya taifa na namna wanavyokiendesha chama.

Ni vema ifahamike kwamba, baada ya mahakama kuu kutoa maamuzi ya kuwafutia makosa Deus Seif na Abubakari Alawi kama yalivyokuwa yemebainishwa na mahakama ya Kisutu, taarifa ya viongozi hao kuwa huru imewapa matumaini ya wao kurejea tena ndani ya chama cha walimu kuendelea kukihujumu chama na ndio maana wanawatumia watu kama Jerry Msangi, Erick Msangi, Evod Kanyayangio na Mwandala Nachacha kuendelea kukichafua chama. Ifahamike kuwa wanayoyazungumza sio msimamo wa walimu bali ni misimamo yao, matumbo yao na ya Mabwana zao. Ni vema tukasubiri hukumu ya mahakama ya rufaa baada ya Jamhuri kukata rufaa kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyowasafisha Deus Seif na Abubakari Alawi ambao ni miongoni mwa walimu matajiri zaidi Tanzania waliojipatia fedha kwa kuwahujumu walimu wenzao wakimiliki mali kadhaa tutakazozibainisha wakati ukifika ambao bado hawajatosheka na wanataka kurudi tena.

Yote tisa, 10 nendenni Kibaha kwa Matias muone apartments za huyo Alawi Kama hamtazimia
 
Yote tisa, 10 nendenni Kibaha kwa Matias muone apartments za huyo Alawi Kama hamtazimia
Eeeh alawi ni mwizi wa Mali za walimu Tanzania
Na analoga Sana
Ila siku zake zinahesabika
Watamtaba muda si mrefu
Takukuru fanyeni kazi yenu kwa alawi
 
Anaefahamu nini kinaendelea cwt atujuze. Huyu KATIBU MKUU anasitishiwa kibali chake sababu ni kukataaa uteuzi au kuna sababu nyingine nyuma ya pazia tujulishane
 
Majaliwa ni mwalimu
Biteko ni mwalimu
Hayati magufuli alikuwa mwalimu
Hao wote wameshindwa kuwasaidia walimu pamoja na kushika nyadhifa kubwa sana kwenye serikali itoshe kusema CWT. Kuna tatizo kubwa zaidi ya hlo mpaka mama salma ameshindwa kuwasaidia walimu wenzake.
 
Majaliwa ni mwalimu
Biteko ni mwalimu
Hayati magufuli alikuwa mwalimu
Hao wote wameshindwa kuwasaidia walimu pamoja na kushika nyadhifa kubwa sana kwenye serikali itoshe kusema CWT. Kuna tatizo kubwa zaidi ya hlo mpaka mama salma ameshindwa kuwasaidia walimu wenzake.
Nikikumbushe tuu PM MAJALIWA aliwahi kuwa katibu wa cwt wilaya ya singida mjini
 
Back
Top Bottom