Wizara ya Afya - Nini tatizo elimishaji kuhusu HIV/AIDS?

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,699
3,350
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na juhudi kubwa na za wazi za kuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Lakini kadiri muda unavyozidi kusonga juhudi na jitihada hizi ni kama zimeendelea kufifia kwa spidi kubwa kama sio kutoweka kabisa, na kama juhudi bado zipo, basi hazijawa za uwazi na kina kama ilivyokuwa hapo nyuma.

Kwa sasa nafasi ya kuelimisha imeachwa kwa wanafamilia na wananzengo wenyewe kuonya vijana wao kuepuka tabia na mienendo hatarishi inayoweza kuwaingiza kwenye hatari ya maambukizi.

Nje ya familia elimu nyingi ipo huko mitandaoni kupitia waelimishaji binafsi. Kwa kupitia njia ya mitandao wahusika huwafikia watu wengi zaidi hasa vijana maana hao ndio watumiaji wakuu.

Lakini tukumbuke njia hizi za uelimishaji bado una ombwe kwa kuwa si lazima ufanywe na mtu mwenye utaalam wa mambo ya afya. Mtu yoyote tu anaweza akajirekodi akaposti kwenye mtandao. Kwa maana ingine, kama wizara imeona huu ndio mwelekeo sahihi, basi hapana budi kujenga uwezo wa wahusika ili elimu wanayotoa iweze kuwa uthabiti na isiyoacha shaka.

Kutokana hali hii watu walio wengi hasa hawa vijana mabarubaru wengi wao hawana elimu na ufahamu wa kutosha kuhusiana na ugonjwa huu kiasi cha wengi wao kuuchukulia poa kiasi cha kujiingiza kwenye mienendo hatarishi inayowaweka kwenye mazingira ya kupata maambukizi.

Kwa kiasi fulani hali hii inachangiwa na elimu hizi za mitandaoni zinazotolewa pasipo udhibiti. Elimu inayotolewa humfanya mhusika kuamini kuwa HIV/AIDS ni ugonjwa mwepesi tu na hata ikitokea amepata, basi atakunywa dawa atakuwa sawa!

Wizara husika iangalie vizuri eneo hili la elimu kuhusu HIV/AIDS kama kweli ina nia ya kunusuru taifa na vizazi.

Mnisamehe kwa gazeti.
 
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na juhudi kubwa na za wazi za kuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Lakini kadiri muda unavyozidi kusonga juhudi na jitihada hizi ni kama zimeendelea kufifia kwa spidi kubwa kama sio kutoweka kabisa, na kama juhudi bado zipo, basi hazijawa za uwazi na kina kama ilivyokuwa hapo nyuma.

Kwa sasa nafasi ya kuelimisha imeachwa kwa wanafamilia na wananzengo wenyewe kuonya vijana wao kuepuka tabia na mienendo hatarishi inayoweza kuwaingiza kwenye hatari ya maambukizi.

Nje ya familia elimu nyingi ipo huko mitandaoni kupitia waelimishaji binafsi. Kwa kupitia njia ya mitandao wahusika huwafikia watu wengi zaidi hasa vijana maana hao ndio watumiaji wakuu.

Lakini tukumbuke njia hizi za uelimishaji bado una ombwe kwa kuwa si lazima ufanywe na mtu mwenye utaalam wa mambo ya afya. Mtu yoyote tu anaweza akajirekodi akaposti kwenye mtandao. Kwa maana ingine, kama wizara imeona huu ndio mwelekeo sahihi, basi hapana budi kujenga uwezo wa wahusika ili elimu wanayotoa iweze kuwa uthabiti na isiyoacha shaka.

Kutokana hali hii watu walio wengi hasa hawa vijana mabarubaru wengi wao hawana elimu na ufahamu wa kutosha kuhusiana na ugonjwa huu kiasi cha wengi wao kuuchukulia poa kiasi cha kujiingiza kwenye mienendo hatarishi inayowaweka kwenye mazingira ya kupata maambukizi.

Kwa kiasi fulani hali hii inachangiwa na elimu hizi za mitandaoni zinazotolewa pasipo udhibiti. Elimu inayotolewa humfanya mhusika kuamini kuwa HIV/AIDS ni ugonjwa mwepesi tu na hata ikitokea amepata, basi atakunywa dawa atakuwa sawa!

Wizara husika iangalie vizuri eneo hili la elimu kuhusu HIV/AIDS kama kweli ina nia ya kunusuru taifa na vizazi.

Mnisamehe kwa gazeti.
Kumekuwa na mgogoro mkubwa unaohusisha kupungua kwa external donation ya miradi hii ndo mana mashirika mengi yamekuwa dormant sana.


Lakin kwa sasa tuna 95-95-95, inaelekea kufanya vizur kama ilivyofanya kazi 90-90-90. Lakin ukimwi umekuwa unapiga sana tabaka la vijana kati ya 15-29/34 na tabaka hili ukiliangalia kutoa elimu sio sufficient method. Hao wanataka economic, life skills and livelihood skills/support.

Tatioz la ukimwi ambalo ni kubwa kwa sasa labda ni stigma au viral load suppression. Lakin rate ya wagonjwa imepungua kwa kias kikubwa. Maambukizi mapya ynakadiriwa kuwa 72000 kwa mwaka.


Take: Kuna hela nyingi za miradi zimeobdolewa na kuathiri uwezekan wa kuwepo hizi kampeni Viral-wise
 
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na juhudi kubwa na za wazi za kuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Lakini kadiri muda unavyozidi kusonga juhudi na jitihada hizi ni kama zimeendelea kufifia kwa spidi kubwa kama sio kutoweka kabisa, na kama juhudi bado zipo, basi hazijawa za uwazi na kina kama ilivyokuwa hapo nyuma.

Kwa sasa nafasi ya kuelimisha imeachwa kwa wanafamilia na wananzengo wenyewe kuonya vijana wao kuepuka tabia na mienendo hatarishi inayoweza kuwaingiza kwenye hatari ya maambukizi.

Nje ya familia elimu nyingi ipo huko mitandaoni kupitia waelimishaji binafsi. Kwa kupitia njia ya mitandao wahusika huwafikia watu wengi zaidi hasa vijana maana hao ndio watumiaji wakuu.

Lakini tukumbuke njia hizi za uelimishaji bado una ombwe kwa kuwa si lazima ufanywe na mtu mwenye utaalam wa mambo ya afya. Mtu yoyote tu anaweza akajirekodi akaposti kwenye mtandao. Kwa maana ingine, kama wizara imeona huu ndio mwelekeo sahihi, basi hapana budi kujenga uwezo wa wahusika ili elimu wanayotoa iweze kuwa uthabiti na isiyoacha shaka.

Kutokana hali hii watu walio wengi hasa hawa vijana mabarubaru wengi wao hawana elimu na ufahamu wa kutosha kuhusiana na ugonjwa huu kiasi cha wengi wao kuuchukulia poa kiasi cha kujiingiza kwenye mienendo hatarishi inayowaweka kwenye mazingira ya kupata maambukizi.

Kwa kiasi fulani hali hii inachangiwa na elimu hizi za mitandaoni zinazotolewa pasipo udhibiti. Elimu inayotolewa humfanya mhusika kuamini kuwa HIV/AIDS ni ugonjwa mwepesi tu na hata ikitokea amepata, basi atakunywa dawa atakuwa sawa!

Wizara husika iangalie vizuri eneo hili la elimu kuhusu HIV/AIDS kama kweli ina nia ya kunusuru taifa na vizazi.

Mnisamehe kwa gazeti.
Ugonjwa wowote ule, unalipuka zaidi pakiwa na ‘Funding’, funds za kuupromote ugonjwa kama Corona kwenye vyombo vya habari zikikata, basi ugonjwa ndio unaishia hapo.., maana fungu la kuutangaza halipo tena.

Hata HIV, likitoka fungu la kueleweka toka kwa watengenezaji wa ARV, basi utashangaa unalipuka upya.., media zote zinachangamkia fursa
 
Ugonjwa wowote ule, unalipuka zaidi pakiwa na ‘Funding’, funds za kuupromote ugonjwa kama Corona kwenye vyombo vya habari zikikata, basi ugonjwa ndio unaishia hapo.., maana fungu la kuutangaza halipo tena.

Hata HIV, likitoka fungu la kueleweka toka kwa watengenezaji wa ARV, basi utashangaa unalipuka upya.., media zote zinachangamkia fursa
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 
Baada ya MABEBERU kuondoa GAWIO LA MAPESA YA UKIMWI, na ugonjwa ukatoweka jumla!

PESA, PESA, PESA, DOLARI, CHAPAA!

Ugonjwa ni pesa, shimo la maokoto! Unavuna tu kiulainiii huku ukiendelea kuwashindilia watu madonge yenye sumu ili waendelee kuwa wagonjwa zaidi!

MAOKOTO NDO HABARI.
Kama kipindi cha Corona, makampuni kama Pfizer yaliingiza karibu faida ya Trillion 200 kwa ajili ya chanjo, tena walifosi chanjo zipigwe booster hadi Mara 4, Israel walipigwa chanjo za booster hadi 5. Hapa tulipewa mkopo wa chanjo za trillion 2 baada ya kumuondoa JPM, chanjo zenyewe waliochoma hata 100 hawafiki, zingine zote zijui zimetuowa wapi..,

Hadi sasa tunakamuliwa tozo za miamala kuwalipa Pfizer..
 
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na juhudi kubwa na za wazi za kuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Lakini kadiri muda unavyozidi kusonga juhudi na jitihada hizi ni kama zimeendelea kufifia kwa spidi kubwa kama sio kutoweka kabisa, na kama juhudi bado zipo, basi hazijawa za uwazi na kina kama ilivyokuwa hapo nyuma.

Kwa sasa nafasi ya kuelimisha imeachwa kwa wanafamilia na wananzengo wenyewe kuonya vijana wao kuepuka tabia na mienendo hatarishi inayoweza kuwaingiza kwenye hatari ya maambukizi.

Nje ya familia elimu nyingi ipo huko mitandaoni kupitia waelimishaji binafsi. Kwa kupitia njia ya mitandao wahusika huwafikia watu wengi zaidi hasa vijana maana hao ndio watumiaji wakuu.

Lakini tukumbuke njia hizi za uelimishaji bado una ombwe kwa kuwa si lazima ufanywe na mtu mwenye utaalam wa mambo ya afya. Mtu yoyote tu anaweza akajirekodi akaposti kwenye mtandao. Kwa maana ingine, kama wizara imeona huu ndio mwelekeo sahihi, basi hapana budi kujenga uwezo wa wahusika ili elimu wanayotoa iweze kuwa uthabiti na isiyoacha shaka.

Kutokana hali hii watu walio wengi hasa hawa vijana mabarubaru wengi wao hawana elimu na ufahamu wa kutosha kuhusiana na ugonjwa huu kiasi cha wengi wao kuuchukulia poa kiasi cha kujiingiza kwenye mienendo hatarishi inayowaweka kwenye mazingira ya kupata maambukizi.

Kwa kiasi fulani hali hii inachangiwa na elimu hizi za mitandaoni zinazotolewa pasipo udhibiti. Elimu inayotolewa humfanya mhusika kuamini kuwa HIV/AIDS ni ugonjwa mwepesi tu na hata ikitokea amepata, basi atakunywa dawa atakuwa sawa!

Wizara husika iangalie vizuri eneo hili la elimu kuhusu HIV/AIDS kama kweli ina nia ya kunusuru taifa na vizazi.

Mnisamehe kwa gazeti.
Gigi kapiga Acapella live
 
Kama kipindi cha Corona, makampuni kama Pfizer yaliingiza karibu faida ya Trillion 200 kwa ajili ya chanjo, tena walifosi chanjo zipigwe booster hadi Mara 4, Israel walipigwa chanjo za booster hadi 5. Hapa tulipewa mkopo wa chanjo za trillion 2 baada ya kumuondoa JPM, chanjo zenyewe waliochoma hata 100 hawafiki, zingine zote zijui zimetuowa wapi..,

Hadi sasa tunakamuliwa tozo za miamala kuwalipa Pfizer..
Daaaaahhh!
 
Elimu kwa serikali yetu inatolewa sana kuhusu huu ugonjwa ila naona wanakazia sana kwenye maeneo amabayo yako more affected.

Kwa mfano maeneo ya vijijini,mikoa ya kusini mwa nchi wataalamu wanapita kila nyumba kuelimisha watu juu ya huu ugonjwa.

Hawaishii tu kutoa elimu lakini pia pamoja na kuwapatia watu vipimo vya damu(test kits)kujipima wenyewe (vipimo wanavyotumia ni hivi vya kuweka mdomoni) au oral HIV test kits na baadae hurudi kuja kuchukua majibu.
 
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na juhudi kubwa na za wazi za kuelimisha kuhusu HIV/AIDS.

Lakini kadiri muda unavyozidi kusonga juhudi na jitihada hizi ni kama zimeendelea kufifia kwa spidi kubwa kama sio kutoweka kabisa, na kama juhudi bado zipo, basi hazijawa za uwazi na kina kama ilivyokuwa hapo nyuma.

Kwa sasa nafasi ya kuelimisha imeachwa kwa wanafamilia na wananzengo wenyewe kuonya vijana wao kuepuka tabia na mienendo hatarishi inayoweza kuwaingiza kwenye hatari ya maambukizi.

Nje ya familia elimu nyingi ipo huko mitandaoni kupitia waelimishaji binafsi. Kwa kupitia njia ya mitandao wahusika huwafikia watu wengi zaidi hasa vijana maana hao ndio watumiaji wakuu.

Lakini tukumbuke njia hizi za uelimishaji bado una ombwe kwa kuwa si lazima ufanywe na mtu mwenye utaalam wa mambo ya afya. Mtu yoyote tu anaweza akajirekodi akaposti kwenye mtandao. Kwa maana ingine, kama wizara imeona huu ndio mwelekeo sahihi, basi hapana budi kujenga uwezo wa wahusika ili elimu wanayotoa iweze kuwa uthabiti na isiyoacha shaka.

Kutokana hali hii watu walio wengi hasa hawa vijana mabarubaru wengi wao hawana elimu na ufahamu wa kutosha kuhusiana na ugonjwa huu kiasi cha wengi wao kuuchukulia poa kiasi cha kujiingiza kwenye mienendo hatarishi inayowaweka kwenye mazingira ya kupata maambukizi.

Kwa kiasi fulani hali hii inachangiwa na elimu hizi za mitandaoni zinazotolewa pasipo udhibiti. Elimu inayotolewa humfanya mhusika kuamini kuwa HIV/AIDS ni ugonjwa mwepesi tu na hata ikitokea amepata, basi atakunywa dawa atakuwa sawa!

Wizara husika iangalie vizuri eneo hili la elimu kuhusu HIV/AIDS kama kweli ina nia ya kunusuru taifa na vizazi.

Mnisamehe kwa gazeti.
Tatizo la Wizara ya Afya ni Waziri wake kwani bado hatambui wajibu wake, yupo tu pale kuuza sura ambayo ni ya kawaida sana.
 
Ugonjwa wowote ule, unalipuka zaidi pakiwa na ‘Funding’, funds za kuupromote ugonjwa kama Corona kwenye vyombo vya habari zikikata, basi ugonjwa ndio unaishia hapo.., maana fungu la kuutangaza halipo tena.

Hata HIV, likitoka fungu la kueleweka toka kwa watengenezaji wa ARV, basi utashangaa unalipuka upya.., media zote zinachangamkia fursa

Hii unafanya ramli au inahusiano gani fund na kuambikizana?

Kwamba ukisema watu kuweni makini ndio wanapata zaidi? Kivipi?

Karibu
 
Kama kipindi cha Corona, makampuni kama Pfizer yaliingiza karibu faida ya Trillion 200 kwa ajili ya chanjo, tena walifosi chanjo zipigwe booster hadi Mara 4, Israel walipigwa chanjo za booster hadi 5. Hapa tulipewa mkopo wa chanjo za trillion 2 baada ya kumuondoa JPM, chanjo zenyewe waliochoma hata 100 hawafiki, zingine zote zijui zimetuowa wapi..,

Hadi sasa tunakamuliwa tozo za miamala kuwalipa Pfizer..

Hizo habari za ndani kabisa
 
Hii unafanya ramli au inahusiano gani fund na kuambikizana?

Kwamba ukisema watu kuweni makini ndio wanapata zaidi? Kivipi?

Karibu
Mi naongea ninachokiona, case study ni corona, misaada ikitolewa tu, ugonjwa unalipuka kote!

Nikuulize, unaamini Corona imeisha? , subiri media wapewe fungu uone, sasa hivi unalipuka na tutakipeshwa tena chanjo za trillion 5, na hata tukigoma kuchoma, tutakamuliwa tozo za miamala kulipa deni
 
Ndo maana watu kama wakina Deception wanasema huu ugonjwa una kanjanja nyingi
Hapana, ukimwi upo watu wanakufa, korona pia ipo watu wanakufa.
Ukitaka kujua korona ipo tembela clinic ya TB ya hospital ya tarafa yako!
UKIMWI kwa sasa priority sio viral education au sensitization ya watu wote kupima au behavioral change campaign.

Ukimwi sasa hiv una prioritize prevention kama key strategic plan kuondoa maambukizi mapya lakin Taasisi ziko more concentrated na Key Vulnerable population mana hao ndo handlers wa ueneaj wake. Sex worker, Men sex with men (MSM), Substance users, prisoners na long distance track drivers.

Huko ndo miradi ilipoegemea kwa sasa, lakini pia miradi tofautitogaut ya economic support na skills empowerment kwa vulnerable population hasa idle youth ndo Iko motoo.


It's very strategic plan
 
Hapana, ukimwi upo watu wanakufa, korona pia ipo watu wanakufa.
Ukitaka kujua korona ipo tembela clinic ya TB ya hospital ya tarafa yako!
UKIMWI kwa sasa priority sio viral education au sensitization ya watu wote kupima au behavioral change campaign.

Ukimwi sasa hiv una prioritize prevention kama key strategic plan kuondoa maambukizi mapya lakin Taasisi ziko more concentrated na Key Vulnerable population mana hao ndo handlers wa ueneaj wake. Sex worker, Men sex with men (MSM), Substance users, prisoners na long distance track drivers.

Huko ndo miradi ilipoegemea kwa sasa, lakini pia miradi tofautitogaut ya economic support na skills empowerment kwa vulnerable population hasa idle youth ndo Iko motoo.


It's very strategic plan
URONGO MTUPU.
 
Kumekuwa na mgogoro mkubwa unaohusisha kupungua kwa external donation ya miradi hii ndo mana mashirika mengi yamekuwa dormant sana.


Lakin kwa sasa tuna 95-95-95, inaelekea kufanya vizur kama ilivyofanya kazi 90-90-90. Lakin ukimwi umekuwa unapiga sana tabaka la vijana kati ya 15-29/34 na tabaka hili ukiliangalia kutoa elimu sio sufficient method. Hao wanataka economic, life skills and livelihood skills/support.

Tatioz la ukimwi ambalo ni kubwa kwa sasa labda ni stigma au viral load suppression. Lakin rate ya wagonjwa imepungua kwa kias kikubwa. Maambukizi mapya ynakadiriwa kuwa 72000 kwa mwaka.


Take: Kuna hela nyingi za miradi zimeobdolewa na kuathiri uwezekan wa kuwepo hizi kampeni Viral-wise
Kama tatizo ni hilo basi itakuwa ni ishu ya vipaumbele maana kuna mambo mengine mengi tu yanafanyika kwa pesa zetu wenyewe.

na kama ni hivyo basi tutakuwa na shida kubwa sana ktk izo Sera sijui miongozo ya kuweka vipaumbele maana unajenga madaraja, mabarabara hlf mwisho wa siku walengwa wa kuvitumia hawapo
 
Back
Top Bottom