Wivu kwa mchepuko

Wivu kwa mchepuko

Tukitulia wake zetu wasiolewa fulsa watazipataje?huyo kafanyiwa kilakitu na maisha yanaenda wataka uongeze ugumu kwa wenzio wewe sio bure
Ni kweli kabisa mkuu pia na magonjwa mnawasaidia kuyabeba na kuwaletea wake zenu.
 
Ni kweli mkuu, hawa wawili wote ni wezi, inabidi wawe wadogo kwa muda. Wayamalize kiutu uzima
Ukumbuke huyu mwanamke anaendesha maisha yake kupitia jamaa subili baada myezi kazaaa kama hujamkuta mchepuko unauza nyama
 
Kiendacho kwa mgema.....Mchepuko ni starehe kama unavyokwenda bar, kesho unaweza kuuliza kwanini kiti chako bar kuna mtu amekalia? Matatizo wengine mnajisahau mnafikiri mmeoa😛😛
Ndo kishatemwa sasa nani ataumuia zaidi kwa mtazmo wako?
 
Hata ukipata usalama wa damu yake, ile wiki wewe uko na my wife wako yeye hujui yuko na nani.
Kweli kabisa Mkuu na hivi nilikuwa nina hisi pale sikuwa peke yangu though alikuwa ananishangaa wakati nikivaa kinga anajisemesha kuwa eti simuamini.Ila nilikuwa namtoa shaka tu kuwa hata mimi mwenyewe sijiamini so asiwe na hofu kinga ni kwa usalama wetu wote.
 
Watu "mnakolezwa"!!...Yaani haikutosha kuchepuka nae tu na nyumba kumpangia,ukaona umfungulie na duka kabisa??.
Hivi huwa mnaingiza "mwili wote" ama kitu gani hasa?.
Ukiwa na pesa jambo dogo sana hili mkuu acha tu wenzio wale maisha
 
Hapo ndio nimeshajipiga chini mkuu sirudi nyuma sijui kwa ile biashara kama ataweza kulipa kodi ya nyumba ikiisha.

Duh! nimesoma stori nikakuonea hurumaaa, nkataka jibu ila hapa naona ushajishauri na kujijibu.

kama biashara ndogo tembea tu kwa amani ukafanye mingine, suala langu lilikua kwenye huo mtaji, lakini kama hataweza kulipa kodi we mwache tu uende na uwe na amani.

Ngoja nifanye recap; kipindi cha ujana nilihongaga ile nokia tochi kwa mwanamke mmoja, baada ya muda na wingi wa mapenzi nikaja jua anachepuka. roho iliniumaaaaa, ila nkakaa nikawaza kumbe nlikua naumia na ile simu bana hahahaha si ndo mara ya kwanza nahongaa sasa. Anyways point ni kwamba HESHIMU PESA YAKO.
 
Kuna mzee Mmoja wa kanisa kaja kumpangia mchepuko wake sehemu nilipopanga...... mzee anakuja mara moja moja sana.. basi mm namgegeda kama mke wngu vile....... usiku nalala naye sina wasiwasi kabisa....... Maisha raha sana sana..... Mungu nijaalie niwe kijana
daima....
Kula maisha unazani asingemuezesha apo angekua na mabwana wangapi labda

Kila mwenye fedha afanye hivyo kupunguza uzinzi
 
What ever you are doing in this world comes around. Huo ni uzinzi na hapo mnashare magonjwa kati yenu watatu kwa raha na furaha. Hivi kijana kama wewe kwanini usiwe na girl friend ambae mnaendana ki umri, ki mawazo, hata kwa malengo. Sasa huo mchepuko mnaongea nini au ni kugegedana tu? Akija huyo mzee si unaona wivu sasa ya nini yote hayo kijana mdogo?
Ukishauri mtu ukumbuke na maisha hayafanani pia
 
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana ila ninachoshukuru ni kuwa katika familia nilishawekeza vya kutosha yaani mke wangu ana miradi mikubwa tu hivyo hiyo jumamosi alisafiri katika biashara kwa wale wafuatiliaji wa zao la mpunga sasa hv ifakar ni kipindi cha kuvuna mpunga hivyo mke wangu yupo huko ameenda kusimamia uvunaji wa shamba lake so sidhani hata kama nikifa leo ghafla kama watatetereka kimaisha na huyu mchepuko duka lake hata milioni tano haifiki kwa huo mtaji wake ndio niaamini kama huyo mwizi wangu hajiwezi hatoweza kulipa kodi ya pale anapoishi nilimfungulia ile biashara ili aweze kununu vocha, nguo na vipodozi tu asiwe na virungu visivyo na tija.
Hayo mengine sio lazima kujibu yawezakanaje kwako iwe njaa hafu uwekeze nnje?
 
Ukishauri mtu ukumbuke na maisha hayafanani pia
1. Katika dunia ya hesabu y*x jibu litakua moja hata kama njia ni tofauti
2. Pschology, criminal minds zinakua na kitu kimoja in common.
Hii ndiyo sababu kubwa ya threads hapa kufunguliwa na watu kujulishana yaliyotokea na kuombana ushauri.
 
Back
Top Bottom