Wivu kwa mchepuko

Wivu kwa mchepuko

Kwani mkuu wewe ukiwa na uwezo simnamiliki wote na mkeo au inakuaje kwni?
Kufungua biashara different locations na wife inasaidia kuongeza mapato kuliko kuwa na one location. Pia kumfungulia wife duka lake inamfanya awe mjasirimali.
 
Kufungua biashara different locations na wife inasaidia kuongeza mapato kuliko kuwa na one location. Pia kumfungulia wife duka lake inamfanya awe mjasirimali.
Kwa maelezo yake tayar ni mjasilia mana hakai hata wiki nyumbani
 
Poleee...
Sasa we hupendi ajitafutie maisha ya uhakika pande ingine? We c upo pale kama party time?
 
Ukweli mchungu ila unaponya mkuu hapo kuna vitu najifunza kupitia ushauri wenu.Lakini usipouambia mchepuko kuwa umeoa si atasumbua sana kupiga simu huku akijihisi yupo peke yake mwisho wa siku atakuharibia ndoa yako mkuu?
kama umeoa inabidi tu umwambie mchepuko otherwise utagundulika tu na mkeo. Huyo jamaa anaumia moyo kwa kuwa aliwekeza sana kwa mchepuko. Elewa wazi kabisa kuwa unapokuwa umelala na mkeo na mchepuko nae amelala na wake unadhani nani anayeweza kuhimili baridi usiku peke yake wakati nae ana roho kama yeye
 
Maisha bana wakati mkeo anahangaika kutafuta riziki ya familia we unahangaika kutafuta uke
Hata mimi pia nahangaika kutafuta riziki ya familia sio mariyoo.Kila mtu anatafuta kwa uapnde wake ili tufikie target tuliyojiwekea.
 
Hata mimi pia nahangaika kutafuta riziki ya familia sio mariyoo.Kila mtu anatafuta kwa uapnde wake ili tufikie target tuliyojiwekea.
Embu acha kuwekeza kwenye uke za Nje .. Wanakupotezea malengo kwanza unaishi na mkeo kiwizi wizi si vizuri
 
point mdau unakuta mtu anakuwa na mume wa mtu jion mchepuko anabak mwenyewe .Wewe uko n mkeo nani atampa faraja lazima awe n mtu n yy pia anataka kuolewa
 
sio wote mie mwaka wa tano sijawahi kuchepuka n sina mpango muda mwing natumia kusali hvy nakuwa n hofu ya mungu
 
Huyu ni mwengine mkuu yule hata kuhudumia sihudumii halafu amejifungua juma nne ya wiki iliyopita.Kule nilikuwa sina hesabu nako kabisa ila kwa alivyonitenda huyu itabidi nirudi kule nikalee mtoto wangu.Amenipigia simu nikamuangalie mtoto wala sijaenda kwa sababu nahofia sana usalama wa ndoa yangu yule ni king'ang'anizi sana.
Daah! Kwa hiyo mkuu una michepuko mangapi? Na hiyo michepuko nayo ina michepuko, nakushauri utulie kwa mkeo.
 
Daah! Kwa hiyo mkuu una michepuko mangapi? Na hiyo michepuko nayo ina michepuko, nakushauri utulie kwa mkeo.
Nadhani yule nilishasema kuwa yeye ndiye aliyekuwa ananiganda sana wala sikuwa nikimuhitaji ila sasa hivi baada ya kutokea haya itabidi nirudi tu kwa yule ili nilee mtoto wangu kwa sababu hapa hakuna jinsi.
 
Ukisema hivyo utakuwa unaiumiza moyo kwa sababu mke wangu ndio kila kitu kwangu huwa najiheshimu sana na pia ninaitunza familia yangu ili isije ikaharibikiwa.
Pole mkuu unavyo mu cheat naye anagawa mipakani apunguziwe gharama za kuvuka boda mkuu wanawake na bizness kikubwa heshima na usimfumanie
 
Habari za wakati huu wana MMU,

Jumamosi ya juzi nilivyotoka kazini nikawa sina mahali pakwenda kupumzika kama mnavyojua hiyo siku huwa tunafanya kazi nusu siku.

Mke wangu kipenzi alikuwa amesafiri so nikaona niende kwa mchepuko wangu bila kutoa taarifa kwake. Nilivyofika mlangoni nikaona kuna sandals za kiume sikuwa na shaka ila radio ilifunguliwa kwa sauti ya juu sana.

Niligonga mlango wala sikupata majibu yoyote ikabidi nimpigie simu lakini haikupokelewa.Ikabidi nisepe ila roho ilikuwa inaniuma sana.

Baada ya dakika tano wala sikuwa nimefika mbali akanibip nikampigia. Akasema nipo kwenye gari simu ilivyoita sikuisikia, nikamuuliza nyumbani kuna mtu akasema nyumba ameifunga so hakuna mtu. Nikasikia hasira sana yaani amenifanya mimi boya.

Ikabidi nigeuze nirudi mpaka pale kwake ili nihakikishe kama kweli hakuna mtu au niliangalia vibaya. Bahati nzuri pale nilimfungulia biashara ya kuuza duka na duka lilikuwa wazi nikaenda dukani nikajifanya nahitaji kununua bidhaa pale mara akatoka yeye alivyoniona alipata mshtuko mpaka akawa ameganda tu pale hata hajanisemesha mbaya zaidi alikuwa amevaa upande tu wa kanga.

Nikamuuliza umerudi saa ngapi hakujibu nikamwaambia endelea na maisha yako mama siwezi kupigana mimi.

Jana Jumapili ilipita kimya hakunisumbua wala nini ila leo nashangaa ghafla nakuta msg ya kuomba msamaha na maelezo kibao wala sijamjibu mpaka sasa na nilishatia nia ya kumuacha moja kwa moja kwasababu sina nguvu za kupigania papuchi.

Kwa wale wazoefu hivi roho inapouma kwa mchepuko wako kuchepuka katika nyumba unayolipia kodi ni dalili ya wivu au ni kujihisi umefanywa mjinga?
Bro usiwe kama cofee olomide nawewe mchepuko tu unaona wivu si una mke wako??
 
Back
Top Bottom