Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Cha kushangaza na yeye humdaganya mkewe ila kwa mchepuko anaumia solution wabaki njia kuu muosha huoshwa.Ndo malipo hayo... Tulieni na wake zenu
Cha kushangaza na yeye humdaganya mkewe ila kwa mchepuko anaumia solution wabaki njia kuu muosha huoshwa.Ndo malipo hayo... Tulieni na wake zenu
Papuchi si alikupa lakini sasa ufilisi nini tena hapo we ni mwizi kwa mkeo acha hyo tabia si deal kwa mkeo ndo unapata free papuchi mana umeilipia mahariKwa unataka kusema nirudi tena mkuu ili niweze kufanya hizo za kufilisi?
What ever you are doing in this world comes around. Huo ni uzinzi na hapo mnashare magonjwa kati yenu watatu kwa raha na furaha. Hivi kijana kama wewe kwanini usiwe na girl friend ambae mnaendana ki umri, ki mawazo, hata kwa malengo. Sasa huo mchepuko mnaongea nini au ni kugegedana tu? Akija huyo mzee si unaona wivu sasa ya nini yote hayo kijana mdogo?Kuna mzee Mmoja wa kanisa kaja kumpangia mchepuko wake sehemu nilipopanga...... mzee anakuja mara moja moja sana.. basi mm namgegeda kama mke wngu vile....... usiku nalala naye sina wasiwasi kabisa....... Maisha raha sana sana..... Mungu nijaalie niwe kijana
daima....
Wanaume ni selfish sana, akiwa na mkewe hafirii huyu mchepuko amejikunja mwenyewe kitandani.Papuchi si alikupa lakini sasa ufilisi nini tena hapo we ni mwizi kwa mkeo acha hyo tabia si deal kwa mkeo ndo unapata free papuchi mana umeilipia mahari
Tunatulia sana tu labda mtutibuenyie mnatulia??
Yani waendelee kukomeshwa hivohivo na hiyo michepuko yaoCha kushangaza na yeye humdaganya mkewe ila kwa mchepuko anaumia solution wabaki njia kuu muosha huoshwa.
Sana tuKwani wewe umetulia na mume wako?
Mkuu ushauri wako ni mzuri sana ila ninachoshukuru ni kuwa katika familia nilishawekeza vya kutosha yaani mke wangu ana miradi mikubwa tu hivyo hiyo jumamosi alisafiri katika biashara kwa wale wafuatiliaji wa zao la mpunga sasa hv ifakar ni kipindi cha kuvuna mpunga hivyo mke wangu yupo huko ameenda kusimamia uvunaji wa shamba lake so sidhani hata kama nikifa leo ghafla kama watatetereka kimaisha na huyu mchepuko duka lake hata milioni tano haifiki kwa huo mtaji wake ndio niaamini kama huyo mwizi wangu hajiwezi hatoweza kulipa kodi ya pale anapoishi nilimfungulia ile biashara ili aweze kununu vocha, nguo na vipodozi tu asiwe na virungu visivyo na tija.Kaka naomba uwe na akili na muelewa wa maisha.Badala ya kuinvest zaidi kwa mke wako na watoto,wewe unaangaika kumfungulia biashara mchepuko.Assume siku ukawa ovyo like umefilisika au unaumwa na umelazwa yani hali ni mbaya,unahisi mchepuko utakukumbuka??
Tuzijali familia na si nyumba ndogo
Kwa kuteteana nyie...Papuchi si alikupa lakini sasa ufilisi nini tena hapo we ni mwizi kwa mkeo acha hyo tabia si deal kwa mkeo ndo unapata free papuchi mana umeilipia mahari
Mkuu ushauri wako pia mzuri ila lazima kuwe na tafauti hizo wewe unadhani huyu mwanamke hakupenda kuishi huko mkoani kwao nilikomtoa (Dodoma) ila na yeye alitamani kuja kula raha za Tanzania ambazo zinaptikana Dar.Yaani wanaume wa dar siwaelewi kabisa yaani kupewa papuchi unaanza kulipia MTU kodi ya nyumba isitoshe unampa na mtaji kabisa wa biashara??? Hizo pesa kwa nini usiweke kwa saving account kwa ajili ya watoto wako. This hoes ain't loyal![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nahisi kwa sababu mimi ndiye ninayemlipia hela na ya ile pango katika nyumba anayoishi na biashara ya duka nimefungulia .Lakini bado analeta kidume kwenye hiyo nyumba na kitanda nilichonunua mimi nahisi ndio kitu kinachoniuma roho.
Ukweli mchungu ila unaponya mkuu hapo kuna vitu najifunza kupitia ushauri wenu.Lakini usipouambia mchepuko kuwa umeoa si atasumbua sana kupiga simu huku akijihisi yupo peke yake mwisho wa siku atakuharibia ndoa yako mkuu?Nilifundishwa na wazee wangu kuwa. Mwanamke akishajua umeoa unamke hawezi kuwa na mapenzi nawe kamwe, atakuektia anakupenda ili apate huduma zako za kipesa mapenzi kwa wengine. Rule namba moja, Usimpangie hawara coz ukitoka tu kuna njemba inaingia kula mzigo, Rule namba mbili, Nipe nikupe habari za kufunguliana biashara au kujengeana nyumba sahau unless uwe umemzalisha. Golden rule, mchepuko usijue kama umeoa ukijua tu mapenzi kwishney...unatafutiwa msaidizi anapewa mzigo free of charge coz boya unalipia gharama zote. Ukweli mchungu