Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Basi mkubali kulizwa tukashatosheka utamu mmoja kila siku banaaa,,,alikua anatest laza mpya
Basi mkubali kulizwa tukashatosheka utamu mmoja kila siku banaaa,,,alikua anatest laza mpya
Basi mkubali kulizwa tu
Hata magonjwa utapewa bure tumimi hua sitagi pesa wala kuhonga...swaga tuu napewa buree adi nakinai
We subiri tu,utakipata unachokitafuta huko njesipigi kavu weweeee
Diva, Ukiwa na nia, then ukajikubali na kuwa na hofu ya Mungu, mbona utaweza tu..., ila mh unatetea sana uchepukaji Mkuu.Najizuia kwa njia gani labda hebu nambie
Sasa mkuu wife nae umemfungulia kiduka nae?Mkuu umeongea pointi maana sasa hivi pesa ni ngumu sana halafu michepuko inazingua ila nimejifunza kitu kupitia hii issue mkuu.
we nawe kinachokuuma ni nini sasa?? ulitaka ufanywe wewe mchepuko au?Badala roho ikuume kumsaliti mke wako roho inakuuma kuona mchepuko unagegedwa mxiouuu
Kiendacho kwa mgema.....Mchepuko ni starehe kama unavyokwenda bar, kesho unaweza kuuliza kwanini kiti chako bar kuna mtu amekalia? Matatizo wengine mnajisahau mnafikiri mmeoa😛😛
Wanaume bana wakati mwingine sijui mmerogwa.
Hilo duka ungemfungulia mkeo si ingechangia hata nguo za watoto???
Hahaha duh hapo nachagua nyota ya madukaKuna watu wananyota, mkewe anamiliki pete ya ndoa wengine wanamiliki maduka.
unamuongezea presha wewe,mwizi siku zote hapendi kuibiwaMke wako naye mchepuko Wa mwingine
mh hii michepuko iko na hela nyingi bila shaka!! unqpokea huku na kule afu maskini unakuta kwenye familiaza hiyo midume hali mbaya mwendo wa ugali mirungi(tembele). Mungu anawaona!!Mara nyingi ndivyo ilivyo, kuwa unalipia kodi ya chumba/nyumba, biashrara umemfungulia, gari umemnunulia lakini bado kuna Msaidizi wako. Hapo wala usiwe mkali, endelea naye tu maana hata wewe ni mwizi hapo, huenda aliye kuwemo ndani ndiye mume mtarajiwa naye analipia hicho chumba na biashara kamfungulia.
Mke wangu sio mama wa nyumbani ni mjasilia mali tena biashara zake ni mazao ya nafaka kwa huu msimu wa mpunga sasa hivi yupo huko Ifakara anasimamia uvunaji wa masahamba yake na kwa mataji wa mke wangu huyu mchepuko haufikii hata kwa mara kumi yake.Umejuaje mke hajafunguliwa Besti?