Wivu kwa mchepuko

Wivu kwa mchepuko

Kama wanapatikana kibwege hivyo alikua anasubili nini mpaka kawezeshwa?

Kama una mume shukulu mume mwenye nafasi hapatikani hovyo angalia warembo wanavyo jiuza
Ni tamaa tu ndugu yangu, ukiwa ngangali huwezi kukosa shughuli ya kufanya. Kama wewe ni wa 100 na unataka matumizi ya 1000 lazima utatafuta njia mbadala.
 
Hii option yako akifikiria investment mpya lazima kichwa kiume. Kodi nyingine, mtaji wa duka, furniture, halafu nauli tena ya kutoka Dodoma ha ha ha haaaaaaaa. Halafu sasa itabidi aongeze motisha wa ka Vitz! kazi kweli kweli mimi namshauri asitafute replacement mpaka Magufuli amalize muda wake! Mimi nimefanya hivyo bila shuruti!
Haingii kama mwanzo mkuu au huoni kama kajifunza?
 
Ujue Mpaka mtu achepuke kuna kitu anatafta cha kumridhisha mana kero za ndoa zisiporekebishwa shida mchepuko unajua Ku peti peti mno wote mnajiachia tu kwa raha bila stress
Hiyo ni kwa mwanamke kwa sisi ni nyama ikisimama tu sio mambo ya kurdhishana ndo mana wazee wetu walikua na msululu wa wake
 
Hiyo ni kwa mwanamke kwa sisi ni nyama ikisimama tu sio mambo ya kurdhishana ndo mana wazee wetu walikua na msululu wa wake
Dah ila kwingine kujiendekeza tu sasa mumezidi mno yani mkiona makalio tu shida
 
Habari za wakati huu wana MMU,

Juma mosi ya juzi nilivyotoka kazini nikawa sina mahali pakwenda kupumzika kama mnavyojua hiyo siku huwa tunafanya kazi nusu siku .

Mke wangu kipenzi alikuwa amesafiri so nikaona niende kwa mchepuko wangu bila kutoa taarifa kwake. Nilivyofika mlangoni nikaona kuna sandals za kiume sikuwa na shaka ila radio ilifunguliwa kwa sauti ya juu sana.

Niligonga mlango wala sikupata majibu yoyote ikabidi nimpigie simu lakini haikupokelewa.Ikabidi nisepe ila roho ilikuwa inaniuma sana.

Baada ya dakika tano wala sikuwa nimefika mbali akanibip nikampigia.Akasema nipo kwenye gari simu ilivyoita sikuisikia, Nikamuuliza nyumbani kuna mtu akasema nyumba ameifunga so hakuna mtu. Nikasikia hasira sana yaani amenifanya mimi boya.

Ikabidi nigeuze nirudi mpaka pale kwake ili nihakikishe kama kweli hakuna mtu au niliangalia vibaya.Bahati nzuri pale nilimfungulia biashara ya kuuza duka na duka lilikuwa wazi nikaenda dukani nikajifanya nahitaji kununua bidhaa pale mara akatoka yeye alivyoniona alipata mshtuko mpaka akawa ameganda tu pale hata hajanisemesha mbaya zaidi alikuwa amevaa upande tu wa kanga.

Nikamuuliza umerudi saa ngapi hakujibu nikamwaambia endelea na maisha yako mama siwezi kupigana mimi.

Jana jumapili ilipita kimya hakunisumbua wala nini ila leo nashangaa ghafla nakuta msg ya kuomba msamaha na maelezo kibao wala sijamjibu mpaka sasa na nilishatia nia ya kumuacha moja kwa moja kwa sababu sina nguvu za kupigania papuchi.

Kwa wale wazoefu hivi roho inapouma kwa mchepuko wako kuchepuka katika nyumba unayolipia kodi ni dalili ya wivu au ni kujihisi umefanywa mjinga?
YAANI UNAMFUNGULIA BIASHARA MCHEPUKO? UJINGA GANI HUO. MCHEPUKO KUPEWA HELA YA FAMILIA NI NUKSI NA LAANA. ACHA UJINGA HUO. WEWE KU HIT AND RUN!!
 
Na ile mimba ameshajifungua? Au nayo unamsusia mchepuko wake?
Huyu ni mwengine mkuu yule hata kuhudumia sihudumii halafu amejifungua juma nne ya wiki iliyopita.Kule nilikuwa sina hesabu nako kabisa ila kwa alivyonitenda huyu itabidi nirudi kule nikalee mtoto wangu.Amenipigia simu nikamuangalie mtoto wala sijaenda kwa sababu nahofia sana usalama wa ndoa yangu yule ni king'ang'anizi sana.
 
Dah ila kwingine kujiendekeza tu sasa mumezidi mno yani mkiona makalio tu shida
Ndo maumbile Diva haya sio ya leo tatizo hiki kizazi chenu ndo kinakosa heshima kwa vidume ndomana ywajificha ha haaa
 
Huyo atakua na michepuko hasa kwenye boda ili wapate mteremko
Ukisema hivyo utakuwa unaiumiza moyo kwa sababu mke wangu ndio kila kitu kwangu huwa najiheshimu sana na pia ninaitunza familia yangu ili isije ikaharibikiwa.
 
Kwani yeye kakataa kulizwa mwenzio ndo anasumbua sasa hivi au hujamuelewa hapo atakae umia ni mchepuko ilitakiwa mumponde huyo mdada mana alihifadhiwa kimaisha au unapenda aende kujipanga na yeye?
Rudi nyuma utaona nimeanzaje na huyo niliemjibu hivo

Uko poa lakini wewe?
 
Back
Top Bottom