Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,628
nimesikiliza BBC hata hivyo na wao wameweka kipande kidogo sana na wala hakikaribiani na hiyo nukuu ya Mwananchi. Naamini kuwa hotuba nzima si rahisi kupatikana.
Nadhani baada ya kushtukia PM amechemsha, huo mkanda umeshageuka dili. Kuna jamaa wa PM anarekodi kila kitu ila kwa hii soo lazima atasita. Hata ikipatikana hotuba yake rasmi, hayo maneno aliyasema impromptu na kesho mwandishi wake wa habari atakanusha kuwa PM alinukuliwa vibaya.