Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,256
heheheheheheheeee.....aight man.....any update(s) on that takbiru ala walibaru package?
.... got confirmation mail, heading up city to collect early 2moro. t2ul
heheheheheheheeee.....aight man.....any update(s) on that takbiru ala walibaru package?
Limbaugh wa kibongo ni Mwanakijiji....
Mwana kjj, kwa hili hatuko pamoja,ameomba msamaha kwa kitu gani? au unasikia kaumba msamaha na wewe unasema "nimemsamehe".
Nikikupiga kibao halafu nikaomba msamaha kwa wewe "kukwazika" utakubali msamaha wangu?
Mwanakijiji;
Inaonyesha mzee unapata raha sana viongozi kujiuzulu... hili la Mh. Pinda... andika maandiko unayoandika mara 1000 lakini sidhani utaweza fanikiwa kama ulivyofanikiwa kwa Mh. Edward Lowassa.
Tunaiishi kwenye dunia ya viumbe dhaifu.. makosa kama hayo yatakuwepo na mengi tu... hata mahakamani wanaangalia ulitoa tamko gani? ukiwa kwenye hali gani? Na mazingira gani?
Ndio maana kuna mada case, na man slaughter ingawa zote ni kuua.
Hapo sijaelewa chochote.
Kwa vyovyote nitakavyong'ata maneno Magobe, fani ya uandishi wewe mwenyewe unakubali indirectly kwamba imeingiliwa (kama ulivyotaja kwenye post yako iliyotangulia. Wengi wa waandishi hawajali ubora wa kazi, zaidi ya kutoa habari (prestige au mshiko).
Waandishi wa habari wa Tanzania wana kiwango cha chini sana sio tu cha kuripoti, bali hata knowledge wa wanachoripoti. Tueleze background ya habari na tupashe ipasanyo.
Kama unaona circumstances zimekunyima kupata actual information at that particular time and place, subiri na endelea kutafuta habari kamili. Sio kudesa one to one mwishowe unajikuta umelishwa kasa.
Ingieni kwenye news outlets kubwa duniani, angalieni wenzenu wanavyohabarisha. Elimu ni bahari, hivyo videgree vya IJMC, SAUT na Times kudesa ili kufaulu mtihani ndio vinavyowaangusha bandugu.
Dear Mwanakijiji,
I do respect your views, but I beg to disagree with you on this matter of the PM's resignation. Why don't you assume that the PM has been overwhelmed by the ongoing killings of the Albinos and that's what led him to that statement. I have tried to imagine if one of us had a close family member who happened to be an Albino and suddenly disappeared? How would you retaliate if you catch a person on the process of trying to kidnap your family member? I rarely post articles on this forum, but I felt compelled to add my few cents. I am worried sometimes how the opposition parties react to some issues. Their solution is always for one to resign, but instead of accepting it as a human error and lay down their solution to the problems. Any caring citizen who believes in humanity would react the same way the PM did. I would rather accept his apology and unity to find solutions to this problem, which is becoming a national crisis.
I think there is a need of declaring a national crisis that requires collective efforts to fight the perpetrators. This is not a time to gain political leverage on the expense of the Albinos. All interest stakeholders have to come together and find a solution. I would have been so impressed if Dr. Slaa himself would take initiative and host some albinos from his own constituency. At least Waziri Mkuu has adopted a child who might have become a victim and another number. Resignation would not solve the problem. I am not defending his statement, but the statement does not require his resignation. We should bear in mind resignation is also costly for our nation.
Tatizo law enforcement bodies such as the police are cuaght on this nonsense belief.
Lets put our political interests aside and put constructive suggestions on how the victims could be protected.
Ciao
Unajua, Magobe, unaposema "bila kujua mazingira yalikuwaje" unakubali kwamba waandishi na kazi zao ni dhaifu, na sababu ni mazingira ya kazi.
Kwa hiyo chochote kile utakachosema kuelezea sababu za udhaifu, iwe mazingira, iwe mshahara mdogo, iwe wanapokea rushwa, iwe wanacheleweshewa mshahara wao, iwe uongozi mbaya, iwe umaskini wa makampuni yao, mwisho wa siku umekubali kwamba waandishi na kazi yao ni dhaifu. Hizo unazoeleza wewe ni sababu za udhaifu. Kwa hiyo unakubaliana na mimi kwamba kazi yao ni dhaifu. Nukta.
Mkuu,
Sasa kumbe unakubali umekosea, na umesema uliposhtuliwa umerekebisha, sasa badala ya kuuchuna unanilaumu mimi kwamba nimefanya "scathing attacks on Tanzanian journalists...rightly or wrongly" wakati uliyoambiwa umekubali yamefanya usahihishe makosa. Sasa kosa langu nini hapo?
Halafu kama nimesema kitu "rightly or wrongly" basi huwezi kunilaumu kwa hilo maana inawezekana nimekisema rightly.