Wito kwa Miss Neddy

Wito kwa Miss Neddy

hahahaaaa!!! yaligomaje wewe? huna zana ama?

sema nikuazime sera ufanye mapinduzi salama!
Niliamua kumuachia jamaa alilalamika mno mpaka aliposingizia kuwa alikuwa bondeni si unajua watoto wakisikia bondeni network zinakata
 
Niliamua kumuachia jamaa alilalamika mno mpaka aliposingizia kuwa alikuwa bondeni si unajua watoto wakisikia bondeni network zinakata

hahahaaa!!! uliogopa tu.. mbna na yeye alimnyang'anya Tonykp hatusemi!!
 
Last edited by a moderator:
ahaaaa.. hapo sawa! kwa hio uko unataka mke wa kuoa au ndo unazidi kung'a sharubu?
Sharubu zimeng'aa mpaka zinapauka sasa akipatikana wa kuzipiga brash itakuwa poa
 
mwaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaàaàaaaàaaaaaaaaaa hapo je

ewaaaaaaa!!!!! sasa.... kwa spidi hiyo hiyo ya 120km/dakika... waambie woooote waliovimba macho kuangalia hilo busu kwamba, wajinyonge kwa wivu!!!
 
Sharubu zimeng'aa mpaka zinapauka sasa akipatikana wa kuzipiga brash itakuwa poa

naona wewe uko tayari kuishi stendi ya ubungo.. nimekuuliza hiviiii.. ukipewa, utachukuaaaa?
 
ewaaaaaaa!!!!! sasa.... kwa spidi hiyo hiyo ya 120km/dakika... waambie woooote waliovimba macho kuangalia hilo busu kwamba, wajinyonge kwa wivu!!!

hahahahahahHahahhahahah watanuachia radhi kuna dada zangu na ntuzu kati yao
 
Kaizer... habari za saa hizi paroko?

nakupenda sana mtumishi wa BWANA! pole sana kwa majukumu yako ya kila siku!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom