With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

.
Mkuu,
Ukware mi niliacha baada ya kuona ulivyoumizwa pale Korogwe aisee babaangu!
Nilishuhudia ulivyomgharamia Arabela mavituvitu mengi, nauli, matunda aina ya peas na yale matunda-damu, Kitambaa cha SoSo, na Airtime, lakini baadae, kwa maringo kabisa akaondoka Filipo kuelekea Makorora, na wakaishi kwa siku 4 ndani ya chandarua moja!!!.

Kama marejesho hakujua hili, basi na ajue leo!

i missed you PakaJimmy.. Mbona umetoa siri tena utaacha nipotezwe
 
Last edited by a moderator:
Nimemuona my dia..... Natamani na klorokwini nae atokee sahivi lol
Dah akitokeza nitafurahi sana aisee
Kiukweli namiss sana Jukwaa la kipindi kile....tulikuwa tunalala saa sita hahahaaaa
Salamu sana kwa Dada yangu kipenzi AshaDii (Miss you so much sister)
 
Last edited by a moderator:
Dah akitokeza nitafurahi sana aisee
Kiukweli namiss sana Jukwaa la kipindi kile....tulikuwa tunalala saa sita hahahaaaa
Salamu sana kwa Dada yangu kipenzi AshaDii (Miss you so much sister)


Umeonae? Kipindi kile ukiingia jf....unasahau kula, kuoga, kulala daah.... Jamani zamani ilikuwa tamuuuuu .... Heheehehhe nimekumbuka mambo mengi asee
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom