Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
hatujakutana barabarani,,,,,
thubutuuu kitu wowowo
thubutuuu kitu wowowo
thubutuuu kitu wowowo
Jamani mnanionea kwakuwa mimi sijui niniriu!!Heee ladyfurahia sijaiona PM yako hebu cheki labda umemmtumia KakaKiiza ukifikiri ni mimi? LOL
PM zote huwa zinajibiwa....
ewaaa ntaanza na majiii
Acha kabisa dada binamu.... Inabidi anishukuru sana manake bado kidogo angefia kwenye chupa lol
Acha kabisa dada binamu.... Inabidi anishukuru sana manake bado kidogo angefia kwenye chupa lol
Aisee.....wewe m'baba Arushaone mbona hujanistua kwenye huu mnuso bana? Lady doctor niaje my dear uko poa?
Cousin achana nae huyo.... Ye muache alete vurugu hapa, ntamrudisha kwenye chupa yake siku sio nyingi manake bado hiyo chupa nnayo!