Huwezi kunikamata coz siibi.
Sasa mpenzi unachukia nini?!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Aisee.....wewe m'baba Arushaone mbona hujanistua kwenye huu mnuso bana? Lady doctor niaje my dear uko poa?
Sasa mpenzi unachukia nini?
Si tumeambiwa tupendane jamani?
Kwani kumpenda mwanadamu mwenzako ni kosa?
Au umetufumania?mh nawewe bby una wivu sana jamani lol
Haya nafuta kauli eeeeh
Mwaaaaaah
Love you so much mke wangu Chocs
Hahahahahahahahha....sikua nimecheka siku nzima...heheheheeh
Siwezi kukikata mpenzi si unajua tena mambo yetu yalee
that's my lolpop..!!!!! U make me want u more each day!!!!!!
i'm sorry rafiki ila shemeji yako ametutusi sisi wanawake kwa kutuambia sisi ni waongo tuliobobea nami nilishindwa kuvumilia ndipo ikatokea iliyotokea nisameheni wadau
There are currently 11 users browsing this thread. (2 members and 9 guests)
Shem mzima wewe? Nakushauri umpe mumeo Erickb52 'vitu vyote' ili aache kusumbua wake za marafiki na ndg zake kina sisi.
....na ndo mana nakupenda wangu wa moyoHuwezi kunikamata coz siibi.
Nimetosheka na mautamu yako love...yan uko juuu sana aisee
Erickb52 ananipa raha,nahisi namiliki bahari.. siwezi kumuacha hata wasemeje..!Teh ! teh ! teh !
umesamehewa rafiki.