With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

Hahahahaha Paloma nshaanza kuogopa mbona lol.... Naweza kuja na mwanasheria wangu?

hahahaa sweetlady mie si mungu ukaanza kuogopa mama!
ila ungekuja na mwanasheria wako ikiwa ni yeye ndiye aliyekuelekeza kuandika ulichoandika humu!
 
Last edited by a moderator:
siku zote nilikuwa najihisi kama nimepungukiwa kitu,mpana nikawa naenda kuomba ushauri kule jf doctor nikizani pengine naumwa kumbe nilikuwa nimekumic mkuu Erickb52 kaka mkubwa sasa naweza kula na kunywa...
Slave nimerudi kaka wala usijali....tuko pamoja sasa...kazi ni kwako!
Ila nimemmiss sana mke wangu Chocs ukimuona muulize mbona simwoni maeneo?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom