Wingu kubwa na mvua huku Mbagala

Wingu kubwa na mvua huku Mbagala

Kamanda mzima unaogopa wingu kubwa na radi, utaweza kuandamana kweli tarehe 26/4?!.
Hahahahahahhahha
d91675f1779230469781d9afa5436954.jpg
 
mvua ya dsm ya ajabu.
inaweza kunyesha kwa jirani kwako haipo.
hapa nilipo imepiga mvua ya kufa mtu, klm chache tu kwa mbele hakuna hata tone.
ila kufika kkoo mvua kufa mtu...
Tulinyeshewa na mvua baharini tu kufika baggage room hakuna mvua, jua linawaka, mabasi ya kazini hayana mafuta, hivyo tukapande daladala halafu tunavuja maji nguo zote chapachapa, unapanda daladala watu wanakushangaa, sitoisahau hiyo siku [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom