hahahahaaKamanda mzima unaogopa wingu kubwa na radi, utaweza kuandamana kweli tarehe 26/4?!.
Natoka mtoni Kijichi naelekea mission mvua ni kubwa sana ya kufa mtuTabata pia tupo pamoja inaanguka yani kama jioni kumbe asubuhi
Mbezi luis hipi mkuuMwisho wa dunia...
Anza kutubu.....
Bt mbezi luis huku hamna kitu...
Joto kali sana mpaka watu wamevua nguo si wa kike si wa kiume....
Ni Dar karibu yote sasa hivi inapiga mvua, wale wenzangu na mimi ni muda wa kupata makoti ya mvua na miamvuli mapema.Wakuu kuna wingu kubwa sana na radi za hapa na pale huku Mbagala naomba tupeane updates kupitia uzi huu
hahahahahahahahahahaah alafu nadhani hiyo tarehe 26/04 itakuwa ni vema na haki kama kwenye hayo maandamano kwenye mstari wa mbele atakuwepo Mbowe na familia yake, Mnyika na familia yake, Lowassa na Familia yake, Mage Kimambi, Halima Mdee na sumaye na familia yake alafu wale makamanda wa bodaboda na machinga wafuatie kwa nyuma sio kila siku wao wawe mstari wa mbeleKamanda mzima unaogopa wingu kubwa na radi, utaweza kuandamana kweli tarehe 26/4?!.
Sinza naona msimu wa kufungulia chemba umefika sasa!Narudi sinza muda huu wingu limetanda kubwa lkn hakuna mvua...
Nipo mbezi luiz, mvua ni kubwa sana!Huku maeno ya Tazara napo inapiga ile mbaya
Fungulia threads usivuruge ya mwenzakohahahahahahahahahahaah alafu nadhani hiyo tarehe 26/04 itakuwa ni vema na haki kama kwenye hayo maandamano kwenye mstari wa mbele atakuwepo Mbowe na familia yake, Mnyika na familia yake, Lowassa na Familia yake, Mage Kimambi, Halima Mdee na sumaye na familia yake alafu wale makamanda wa bodaboda na machinga wafuatie kwa nyuma sio kila siku wao wawe mstari wa mbele
Una manisha nin mkuu??Nyimbo za makabila yote zitakwisha mtanyooka tu!
hahahahahahahaha......naona imekugusaFungulia threads usivuruge ya mwenzako
Tupo tunapashana kuhus mvua wewe unaleta siasa???
Ama kweli siasa haikwepwki