Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
Makoti chapa watuNi Dar karibu yote sasa hivi inapiga mvua, wale wenzangu na mimi ni muda wa kupata makoti ya mvua na miamvuli mapema.
Makoti chapa watuNi Dar karibu yote sasa hivi inapiga mvua, wale wenzangu na mimi ni muda wa kupata makoti ya mvua na miamvuli mapema.
Ahaaa vipi umefika mkuu hali ikoje nowNdo nilikua naelekea huko!
Ni Kweli nimepita hapo wakati natoka mtoni kijichikwa Aziz Ally inanyesha ya kutosha
Nilighairi nikarudi nyumbani naogopa sana mvua,Ahaaa vipi umefika mkuu hali ikoje now
Baraka hiyo. Huku kwetu Verkhoyansk ni baridi ya kufa mtu, -16 degree. Nimeongea na msimamizi wa mashamba yangu yapo Mkuranga anasema hakuna mvua,wadau ni kweli?
Baraka hiyo. Huku kwetu Verkhoyansk ni baridi ya kufa mtu, -16 degree. Nimeongea na msimamizi wa mashamba yangu yapo Mkuranga anasema hakuna mvua2,wadau ni kweli?
Kunywa tu mzee babaKawe giza limeanza saa hiz ila mvua haijaanza kudondoka.
Hii hali ya hewa sema inanihamasisha kunywa Heineken hadi basi. Naendelea kuishinda hii nguvu ya kunitaka ninywe saa hizi.
Mkuu mi nipo kingugi huu mziki kama awamu iliyopita ndo najiandaa kutoa vitu nje nshachoka hasara ntarudi msimu ukiisha naenda mbezi ukweni.Wakuu kuna wingu kubwa sana na radi za hapa na pale huku Mbagala naomba tupeane updates kupitia uzi huu
Pole sana mkuuMkuu mi nipo kingugi huu mziki kama awamu iliyopita ndo najiandaa kutoa vitu nje nshachoka hasara ntarudi msimu ukiisha naenda mbezi ukweni.
Huwezi ombewa bila kwanza kutubu maombi ya mwenye haki upokelewa,maana hakuna siri chini ya jua.hapo dar, mmeambiwa mtubu mkang'ang'ana kuombewa, mi ngoja niwaombee ishuke mvua nzito ya mavi! maana hamna namna!
Mvua zimeanza inabidi wayahamishe wayatoe kwenye mkondo wa MAJI pale,yasijeyapiga shoti.Hili wingi limekata network zote za UDART/BRT, mabasi yote leo "Sorry out of service" sasa hawajabandika hata maandishi kuonyesha hili basi linaelekea wapi na je ni Express? dereva nae kutangaza mzito ni kuingia na kutoka taabu tupu. Bandikeni bna maandishi na ondoeni hayo mabasi hapo jangwani mvua ndo zinaanza.
Nipitie nipo hapa kwa BurudaNatoka mtoni Kijichi naelekea mission mvua ni kubwa sana ya kufa mtu
Nipo mwananyamala tayari