kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,405
hapo dar, mmeambiwa mtubu mkang'ang'ana kuombewa, mi ngoja niwaombee ishuke mvua nzito ya mavi! maana hamna namna!
Hahahahahahahahahahahah we jamaa wewe nawe konyo sana weweMnatolewa kafara
Nimekuja huku kuhamasisha watu wajitokeze kwa wingi kama mvua
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahahahahahahahahahahah we jamaa wewe nawe konyo sana wewe
Haahahaahahahahahhahahahahahaahhahapo dar, mmeambiwa mtubu mkang'ang'ana kuombewa, mi ngoja niwaombee ishuke mvua nzito ya mavi! maana hamna namna!
Mimi sijaribiwi, muwajaribu wengine Hahahahahaha
Chuki itakuuahamia sehemu ingine kusiko na mawingu
Wakuu kuna wingu kubwa sana na radi za hapa na pale huku Mbagala naomba tupeane updates kupitia uzi huu
Hata huku wingu limeanza kupoteaHuyu Jimboni kwa Halima Mdee nilipo kuna Jua tena Kali tu na wala hakuna chochote angani labda hiyo hali inatuvutia Kasi.
Hahahahahata huku airport now inapiga mvua ya maana tu
nikiripoti kutoka airport jki
mimi ni jerry banks wa jamiifurum[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]