roma hana jipya..muziki hawezi analazimisha,bahati ni mara moja ilishapita .[/Q
UOTE]
mkuu una bifu na jamaa...?
au ndio matumbo yako..mmmh
mkuu una bifu na jamaa...?
au ndio matumbo yako..mmmh
haya bwana
Kama kweli mtu anaijua hip hop na haumelewi Roma basi itakua kwa sababu binafsi zaidi lakini sio za kimuziki naamini anafanya kile kipo kufuata utamaduni huu unless nitamuelewa yule atakaesema hampendi kwa sababu yy mtu wa viduku na mambo km hizo.
"Aliyepata ziro form 4 mnamsukumia VETA,
mnaamini umeme wa magari unahitaji MAZEZETA?"
roma mkatoliki