Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
Hivi pale Serena ukitaka kupata mihogo inabidi aende uelekeo upi au inabidi hawara aende danta kule melini akanunue


Utakulaje mihogo na wewe wakati uko kwenye full board pack?

Hapo ni tumbo lake tu....kama ana mahaba na mihogo wanaweza kumtafutia kwani inawezekana yuko kwenye VIP rooms!
 
Nasikia kule home kwake li-Mushumbusi limeloweka nguo zake kwenye maji ili asitoke, hivyo mpaka dakika hii tunapogonga keyboard hapa JF babu yuko kwenye taulo.


Kwa wale watu wenye uzoefu na Kagera wanaweza kuwa ni hisia kwamba hiyo ni kazi ya shuntama..!!
 
Kachanganyikiwa naamini anaemlipa hawezi kukubali aendelee kuharibu Slaa kaisha
 
Hivi huyu Shujaa wenu leo mnamsema maneno yote machafu ana kweli siasa TZ bado sana. Muwe na adabu kwa viongozi wenu bila dr Slaa na Zitto mngeijulia wapi Chadema? HOja zao nzito bungeni ndizo zimeinua Chadema hawa jamaa walikuwa hawasusi vikao vya bunge wanapigana tu mpk kieleweke lakini walivykuja kina Lissu full kususia vikao vya bunge kwa hoja za kitoto ili wakale bata mtaani

Bila Chadema na yeye pamoja na Zitto wangejulikania wapi?
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Kumbuka huo ni muda wa ibada? ! Be careful. ALIPO DR SLAA SISI TUPOOO NYUMA YAKE. MPAKA KIELEWEKE
 
kwa hiyo hii live ya saa 3 asubuhi imeshindikana mkuu? kwanini?

Taarifa za tangu juzi ni kwamba kipindi sio ''live'', kilisharekodiwa na kilikuwa kirushwe leo saa tatu kupitia Azam Tv [Kituo chako cha kura] na marudio leo tena usiku saa moja.
Nadhani kama hakijarushwa hewani ni jambo jingine.
 
Hata kama mimi ndio ningekuwa Dkt Slaa,
nisingekubali kufanya interview na Tido Mhando,
Jamaa ana maswali magumu sana!
Pongezi kwako Dkt Slaa kwa kutoka Nduki.
 
Habari nilizopewa kutoka chanzo cha uhakika, zinasema huenda Dr.Slaa ameamua kukacha kipindi hicho cha Azam TV baada ya Said Kubenea kutangaza jana kuwa atamuumbua na kuelezea ukweli wote juu ya kilichopo nyuma ya pazia baada ya uvumilivu kushindikana. Wachambuzi wa mambo wanasema huenda Dr.Slaa amepanga amsikilize kwanza Said Kubenea ili aweze kujipanga kujibu mapigo.

Jana Said Kubenea alitoa taarifa kwenye vyombo vya habari, kuwa sasa ameamua kukabiliana na Dr.Slaa kila hatua ili ukweli wote ujulikane kuhusu Richmond, na sakata zima la yeye kukikacha chama chake. Hii ilitokana na Dr.Slaa kumtaja Said Kubenea wkt akiwa kwenye mahojiano na Star TV siku ya Ijumaa.

Hivi taarifa ni kwamba kipindi kilirekodiwa na leo ilikuwa ni siku ya kurusha tu hewani. Je Dr. Slaa hakuenda kufanya mahojiano na Tido au kipindi hakujarushwa. Kama hakuenda kufanya mahojiano ni kwanini Azam hawakutoa taarifa kama ambavyo walitujuza kuwa wangefanya mahojiano?
 
Nyie mnaopelekwa tu kama nyumbu bila hata kujua chama chenu kinasimamia misingi gani ndio wa kuhurumiwa, chama mmeuza kwa wachumia tumbo hata mkawasahau waliowafikisha hapo.
Shame on you CHADEMA

Chama chako ndiyo cha wachumia tumbo na wewe unaonekana unanufaika na hilo.
Chama ndicho kilichowafanya watu wafikie hapo walipo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom