Sergeant Stonebridge
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 573
- 5,014
..mna haraka sn hebu tulieni taarifa itatoka mnaweweseka nn.!
Sasa utulie na muda uliosemwa umeishapita?
hiyo taarifa ni ya lini
Kesho tena ama?
hahahah!
..mna haraka sn hebu tulieni taarifa itatoka mnaweweseka nn.!
Kanisani katoka?
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Gazeti LA Mtanzania limemmaliza
Kipindi kiko recorded...Iweje unasema amemkacha?..
Kilisharekodiwa tangu last week...Leo kilikuwa kinarushwa hewani tu Chifu...
Huyo aliyekuletea hiyo habari amekupotosha na wewe bila kujiongeza umekuja kupotosha jamvini...
Wa kuulizwa ni Azam TV kwa nini hawajakirusha hewani?..
Kwani mahojiano ya leo yalikuwa yawe live au ya ku record, mimi sijaelewa nielewsheni maana nilishayaona kwa sehemu fupi.
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Huu ni uongo wa dhahiri,kipindi hiki sio live program ni cha kurekodi na Dr slaa ameishafanya mahojiano na tido,sasa azam wasene tu kwanini hawajakirusha kipindi CA kama Dr kakacha wangetoka hadharani kysema
Hivi huyu Shujaa wenu leo mnamsema maneno yote machafu ana kweli siasa TZ bado sana. Muwe na adabu kwa viongozi wenu bila dr Slaa na Zitto mngeijulia wapi Chadema? HOja zao nzito bungeni ndizo zimeinua Chadema hawa jamaa walikuwa hawasusi vikao vya bunge wanapigana tu mpk kieleweke lakini walivykuja kina Lissu full kususia vikao vya bunge kwa hoja za kitoto ili wakale bata mtaani
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Haisaidii unakwenda medical school kwa miaka mitano shule ngumu, unashidwa kwenda intern mwaka mmoja..alafu unakosa cheti cha kupractice, haina maana hata kidogo na watanzania wngi ndo tulivyo, papara, mihemko na tamaa tunakua na maisha nusu nusuHivi huyu Shujaa wenu leo mnamsema maneno yote machafu ana kweli siasa TZ bado sana. Muwe na adabu kwa viongozi wenu bila dr Slaa na Zitto mngeijulia wapi Chadema? HOja zao nzito bungeni ndizo zimeinua Chadema hawa jamaa walikuwa hawasusi vikao vya bunge wanapigana tu mpk kieleweke lakini walivykuja kina Lissu full kususia vikao vya bunge kwa hoja za kitoto ili wakale bata mtaani
Slaa hajamsema Tido.Sasa Tudo anaingiaje humu?Maswali yake atayatoa wapi.Tido angeleta wenye kujibu hoja za Slaa
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
kivipi mkuu hebu fafanua hizo stailiAje Mbeya alafu atapata majibu mazuri kabisa ya kufanyia Research anayofanya.
Au amwite magufuli amuulize mbona watu walikushangilia kwa staili tofauti Mbeya
Kipindi recorded hakina mvuto.