Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
Habari nilizopewa kutoka chanzo cha uhakika, zinasema HUENDA Dr.Slaa ameamua kukacha kipindi hicho cha Azam TV baada ya Said Kubenea kutangaza jana kuwa atamuumbua na kuelezea ukweli wote juu ya kilichopo nyuma ya pazia baada ya uvumilivu kushindikana. Wachambuzi wa mambo wanasema HUENDA Dr.Slaa amepanga amsikilize kwanza Said Kubenea ili aweze kujipanga kujibu mapigo.

Jana Said Kubenea alitoa taarifa kwenye vyombo vya habari, kuwa sasa ameamua kukabiliana na Dr.Slaa kila hatua ili ukweli wote ujulikane kuhusu Richmond, na sakata zima la yeye kukikacha chama chake. Hii ilitokana na Dr.Slaa kumtaja Said Kubenea wkt akiwa kwenye mahojiano na Star TV siku ya Ijumaa.

Inawezekana uelewa wangu wa jinsi habari za uhakika zinavyoripotiwa ni mdogo sana, hilo neno Huenda ulilolitumia kwa tafsiri yangu (sio lazima iwe ndio ukweli) ni kuwa hicho ulichoandika umetunga na kulitumia hilo neno ili utakapoulizwa kuthibitisha useme haukuwa na uhakika.
Ifike mahali tusijifanye tuko karibu na vyanzo vya habari ili tu tupate heshima kwenye jamvi, kama ni ukweli nashukuru kwa taarifa, lakini kama ni uzushi wako tu unawapoteza wanaotegemea habari za kuaminika humu.
 
Inawezekana uelewa wangu wa jinsi habari za uhakika zinavyoripotiwa ni mdogo sana, hilo neno Huenda ulilolitumia kwa tafsiri yangu (sio lazima iwe ndio ukweli) ni kuwa hicho ulichoandika umetunga na kulitumia hilo neno ili utakapoulizwa kuthibitisha useme haukuwa na uhakika.
Ifike mahali tusijifanye tuko karibu na vyanzo vya habari ili tu tupate heshima kwenye jamvi, kama ni ukweli nashukuru kwa taarifa, lakini kama ni uzushi wako tu unawapoteza wanaotegemea habari za kuaminika humu.

"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo poro
 
Nyie mnaopelekwa tu kama nyumbu bila hata kujua chama chenu kinasimamia misingi gani ndio wa kuhurumiwa, chama mmeuza kwa wachumia tumbo hata mkawasahau waliowafikisha hapo.
Shame on you CHADEMA

Lengo ni kuitoa CCM hata angekuja Lucifer Shetani mwenyewe kutusaidia kuitoa ccm tungemuunga mkono
 
Inawezekana uelewa wangu wa jinsi habari za uhakika zinavyoripotiwa ni mdogo sana, hilo neno Huenda ulilolitumia kwa tafsiri yangu (sio lazima iwe ndio ukweli) ni kuwa hicho ulichoandika umetunga na kulitumia hilo neno ili utakapoulizwa kuthibitisha useme haukuwa na uhakika.
Ifike mahali tusijifanye tuko karibu na vyanzo vya habari ili tu tupate heshima kwenye jamvi, kama ni ukweli nashukuru kwa taarifa, lakini kama ni uzushi wako tu unawapoteza wanaotegemea habari za kuaminika humu.

Nina uhakika na nilichokisema. Hiyo ni lugha tu imetumika. Lkn hiyo ndiyo taarifa niliyopewa na kuifikisha km ilivyo. Samahani kama nimekukwaza mkuu
 
"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo poro

Akili ileile, mtamtesa sana na rais wenu (kama kweli atapata ridhaa) maana mmejengwa kwa misingi ya Ukasuku kurudia unachokaririshwa usiku hata mtu akikuuliza jina lako utajikuta unaropoka ujinga.
 
Akili ileile, mtamtesa sana na rais wenu (kama kweli atapata ridhaa) maana mmejengwa kwa misingi ya Ukasuku kurudia unachokaririshwa usiku hata mtu akikuuliza jina lako utajikuta unaropoka ujinga.


"CCM mkitaka #KURA yangu semeni ukweli nani anahusika na hizi tuhuma? na wahusika wamechukuliwa hatua gani?
-Katiba pendekezwa nani aliyaondoa maoni ya wananchi ambayo yalikuwepo kwenye rasimu ya Warioba?
-Mabehewa feki
-Kiwira
-Richmond
-Epa
-Escrow
-Epa
-Dowans
-IPTL
-NET GROUP SOLUTIONS
-Usafirishaji wa wanyama nje ya nchi mfano twiga alipandaje ndege?
-Biashara ya pembe za ndovu
-Biashara ya madawa ya kulevya
-Meremeta
-Mikataba ya gesi na mafuta
-Uuzwaji wa nyumba za serikali
Nahitaji majibu ya hayo maswali siyo poro
 
Hana jipya kashajikaanga
Ccm ndo washamteka👊👊
 
Nina uhakika na nilichokisema. Hiyo ni lugha tu imetumika. Lkn hiyo ndiyo taarifa niliyopewa na kuifikisha km ilivyo. Samahani kama nimekukwaza mkuu

Kama ni uhakika tunashukuru kwa taarifa, basi siku nyingine usilirudie hilo neno kama utataka tukuelewe vizuri maana linapunguza kuaminika kwako.
 
Akili ileile, mtamtesa sana na rais wenu (kama kweli atapata ridhaa) maana mmejengwa kwa misingi ya Ukasuku kurudia unachokaririshwa usiku hata mtu akikuuliza jina lako utajikuta unaropoka ujinga.

Kwanza, wewe ni mpya hapa JF. Ni walewale majizi, walaghai na matapeli wa CCM. Malofa tutawaonesha kazi mwaka huu. Rais wng ni Edward Lowassa. Piga ua. Hata ukiweka Jiwe na Dr.Magufuli wa CCM niko tyr kulipigia kura yangu
 
Kama ni uhakika tunashukuru kwa taarifa, basi siku nyingine usilirudie hilo neno kama utataka tukuelewe vizuri maana linapunguza kuaminika kwako.

Asante mkuu. Sitarudia. Ila waambie CCM kuwa mwaka huu hata jiwe tutalipigia
 
Inasemekana kilichomchelewesha DR LOVE PIMBI siyo mihogo ni maharage.
 
Amakweli siasa mchezo mchafu, siamini kama anayebanangwa nakunangwa nawafuasi wa chadema ni dr.slaa.mmesahau alipokitoa chama mpaka kukifikisha hapo kilipo..tenda kwema uende zako.
 
Ndugu wananchi wasiopenda na munaopenda mabadiliko. Ni muhimu kufahamu kuwa vyombo vya habari Tanzania vimejaa wanahabari wasio na weledi juu ya mada wanazoongoza na pia kushindwa kusimamia nafasi na majukumu ya katika kuongoza vipindi.

Kwa sababu hiyo hapo juu, waalikwa wa vipindi vya mahojiano hujikuta wakiwa ndio waongozaji wa vipindi na kumtawala mtangazaji wa kipindi. Mojawapo ya udhaifu wao ni kuwaacha wageni wanaohojiwa kukacha maswali ya msingi na kurukaruka kama njiwa , hii ni staili ya DR Slaa. Hajibu swali anarukaruka na kumhamisha mtangazaji katika hoja '


Ni wazi kuwa KWA Tido Mhando Slaa atapata wakati mgumu si kama alivokuwa Star TV ni LAZIMA AJIANDAE VYA KUTOSHA na awe na utulivu vinginevyo ataadhirika vibaya ,kwa Tido lazima ujibu swali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom