Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

Status
Not open for further replies.
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.

Uko sahihi sana mkuu, mimi saa 2.50 asubuhi nimetune Azam 2 nikakuta kuna mwanasheria wa AZAK anahojiwa na mdada mmoja, ambaye kipindi chake kilipoisha akasema kinafuata kipindi cha mahojiano kati ya Tido na Slaa. Nikasubiri ghafla saa 3.00 nikaona wameweka vikatuni, nikamuita mtoto wangu mpenda vikatuni aje aangalie ila yakianza mahojiano aje aniite. Mpaka karibu saa 4 sikuona kitu na wala Azam hawakutoa maelezo ya kutuomba radhi. Ila asubuhi saa 2 stat Tv walikuwa wanarudia yale mahojiano ya juzi.
 
Nasikia kule home kwake li-Mushumbusi limeloweka nguo zake kwenye maji ili asitoke, hivyo mpaka dakika hii tunapogonga keyboard hapa JF babu yuko kwenye taulo.

Hahahah...kwenye Taulo 😂😂😂
 
babu yangu slaa nakukumbusha tu kuwa huyu edo anatakiwa na watanzania na si chadema ulikosaliti,huyu ni kete pekee kwa upinzani kuingia ikulu,sasa wewe ukibwabwaja watanzania wengine watakuona unawehuka,hata angeanzisha chams chake angelamba washabiki kinoma.baki na mushumbuzi muendelee kuuza mkaa maana hujaenda vatcan kutubu kuasi nadhiri uloweka na pia hujatubu kufanya zinaa na mke wa mtu.
 
Ki babu kimezoea maswali mepesi ! Kameona maswali ya Tido yata kauwa kifo cha mende. Lowasa daima !!!
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.
Tido ni TEAM lowassa
 
Last edited by a moderator:
Yaani babu atakuwa na msongo wa mawazo....kwenye siasa kanyea kambi, kanisani kwa kuwa hana ndoa basi nako katengwa haruhusiwi kushiriki ekaristi takatifu...nyumbani kwake nako anapaogopa baada ya kuwasaliti wenzie kimbilio pekee ni ccm na usalama wao...salama ya babu ni ukawa kuingia madarakani wakishindwa tu hasira za watu zinaweza mshukia akipita mitaani tu lazima watamzomea tu
 
Habari nilizopewa kutoka Azam media ni kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema ndugu Wilbrod Slaa ameshindwa kufika ndani ya studio za Azam media bila kuwepo kwa taarifa yoyote kutoka kwake.

Kuna jambo lipo nyuma ya pazia. Soon litajulikana.

.
khe! kaamua kuingia mitini? uongo hauna professionalism. pale tu katika star tv ya Dialo aliyemkodi alipoteza network alipobanwa na mwandishi yule kutiririsha waliyokuwa wamepanga pamoja, sembuse Tido atakaetaka ufafanuzi kwa mujibu wa yale aliyoropoka slaa bila kuwa na ushahidi wowote?
at kuwatuhumu maaskofu wa kuluteri na katoliki kuhongwa ni maneno niliyoambiwa na askofu wa kipentekoste... kipentekoste?? Tutaamini vipi kuwa kakuambia? kwa nini wewe ndie upeleke hadharani ktk media usimtake huyo askofu wa kipentekoste apeleke kwenye media? Slaa udokta wako ni wa nini? canon/sheria za kidini? mbona hata hivyo bado una mke wa mtu kama kweli wewe ni dr wa sheria za dini? mashaka kila mahali. hii ni kwa sababu umeipenda uongo kwa kuusaliti ukweli. kwa Tiido ung3jivua nguo kweli na wanaokuratibu kwa sasa wameliona hilo wakakuepusha na aibu kabla.
.
 
Kipindi cha FUNGUKA kitakua Live saa 3:00 mpaka saa 4:00 kamili usiku, kwa hiyo mnaotaka kufuatilia kumbukeni muda huo
 
.
khe! kaamua kuingia mitini? uongo hauna professionalism. pale tu katika star tv ya Dialo aliyemkodi alipoteza network alipobanwa na mwandishi yule kutiririsha waliyokuwa wamepanga pamoja, sembuse Tido atakaetaka ufafanuzi kwa mujibu wa yale aliyoropoka slaa bila kuwa na ushahidi wowote?
at kuwatuhumu maaskofu wa kuluteri na katoliki kuhongwa ni maneno niliyoambiwa na askofu wa kipentekoste... kipentekoste?? Tutaamini vipi kuwa kakuambia? kwa nini wewe ndie upeleke hadharani ktk media usimtake huyo askofu wa kipentekoste apeleke kwenye media? Slaa udokta wako ni wa nini? canon/sheria za kidini? mbona hata hivyo bado una mke wa mtu kama kweli wewe ni dr wa sheria za dini? mashaka kila mahali. hii ni kwa sababu umeipenda uongo kwa kuusaliti ukweli. kwa Tiido ung3jivua nguo kweli na wanaokuratibu kwa sasa wameliona hilo wakakuepusha na aibu kabla.
.

Hii intavyuu ilisharekodiwa siku kadhaa nyuma,kabla hajaojiwa star tv....na baadhi ya vipande akiwa anahojiwa tulishaviona...so acha kumaliza mb zako bure
 
Tido anajua kuhoji! Nimemegewa taarifa kuwa zuio la Slaa limetoka kwa Kinana! Kweli!!! Kinana leo amekuwa mtu wa maamuzi juu ya Slaa! Josephine ni shetani!!

Mfadhili wake Benard membe naye kashiriki kumzuia asiende huko wanaogopa Babu anaweza kuteleza Ulimi akaropoka siri zilizosalia zikasamaa wakazidi kuumbuka zaidi.
 
Mke wake babu bi josephine sasa yupo bega kwa bega na wana ccm wengine wanachepuka naye ili iwe rahisi kupenya kumfikia Babu Slaa na kumjaza Ujinga azidi kujidhalilisha pasipo kujua kuwa wananchi wa sasa wapo makini wamegundua kuwa Babu kanunuliwa na pesa anakula peke yake na Josephine kisha anataka wamwonee Huruma kirahisi rahisi hawataki kabsa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom